Naomba mwenye namba ya huyu binti please....😋Queen wa Mwanyamala asiyekwisha utamu mama Zuchu A.K.A Makopa ameweka wazi kuwa sasa amechoka kukaa peke yake, anatafuta mwenza ila awe mtu mzima. Sasa ameamua kutulia.
USSR View attachment 2513463
Under 50 wametengwa.Queen wa Mwanyamala asiyekwisha utamu mama Zuchu A.K.A Makopa ameweka wazi kuwa sasa amechoka kukaa peke yake, anatafuta mwenza ila awe mtu mzima. Sasa ameamua kutulia.
USSR View attachment 2513463
🤣🤣🤣unaifaham ile nyumba karibu na uwanja??Hivi bado anaishi mwananyamala nihamie huko Next week kumbe jimbo lipo wazi na alivyo tipwa tipwa ni kufyonza mirija ya uzazi mpka Zuchu aone wivu
Wanawake wengi sana wanajidanganya.labda leo nirudie maneno yangu. - Mwanamke hata awe na mapesa yote, au madaraka yote au madegree yoote doc yeye, prof yeye takataka zote hizo haziwezi kuziba ombwe ndani yake. Mwanamke yeyote anamuhitaji mwanaune.
licha ya harakati za mafeminist kuwapumbaza wanawake ati wanaweza kua na furaha wenyewe hata wao wenyewe mafeminists wanawaka moto wa upweke ndani yao.
Watashindana kwa kuwa kwa mujibu wa Wananzengo wa humu janvini yule bonge Lemutuz ni 'mini-cooper'.Humu jf babu Lemutuz anatumia id ipi?,anaejua amtag bibi anataka babu.
Kwa nn bloangu?Aiseee inasikitisha sana.
Ng'ombe hazeeki maini [emoji23]Ajuza kabisa....
Jirani muhuni wewe! 😀Naomba mwenye namba ya huyu binti please....😋
Kwa nn bloangu?
Ma zuu angetafuta kimya kimya.All the best ma zuu
Kwann mkuuMa zuu angetafuta kimya kimya.
Kwann mkuu
Alibebaga kamume katoto kabisaAna watoto wakubwa inaleta ukakasi kuona mama yao anatafuta Mume kwa kutangaza, maana wa mwanzoni aliwapata kimya kimya atumie strategies zile zile za awali.
Duuh nadhani wa bagamoyo aliyefariki huyo.Alibebaga kamume katoto kabisa