Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Unanikosea jiraniyangu...🤣Jirani muhuni wewe! 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanikosea jiraniyangu...🤣Jirani muhuni wewe! 😀
Hilo siyo kwa wanawake tu, wanaume ndiyo zaidi wanahitaji wanawake katika kila mambo yao, toka wapo tumboni mpaka wanakufa, hawawezi kuwa na maisha bora bila mwanamke.labda leo nirudie maneno yangu. - Mwanamke hata awe na mapesa yote, au madaraka yote au madegree yoote doc yeye, prof yeye takataka zote hizo haziwezi kuziba ombwe ndani yake. Mwanamke yeyote anamuhitaji mwanaune.
licha ya harakati za mafeminist kuwapumbaza wanawake ati wanaweza kua na furaha wenyewe hata wao wenyewe mafeminists wanawaka moto wa upweke ndani yao.
Kikongwe naona umekuja kumkingia kifua ajuza mwenzioHilo siyo kwa wanawake tu, wanaume ndiyo zaidi wanahitaji wanawake katika kila mambo yao, tika wapo tumboni mpaka wanakufa, hawawezi kuwa na maisha bora bila mwanamke.
YeahDuuh nadhani wa bagamoyo aliyefariki huyo.
Sure aisee,uzee wote ule anachotafuta ni nini sasa badala ya kutulia,anataka kumpa stress mwanaeMtu mzima kama yeye kutafuta Mume kwenye media ,anamuaibisha mwanae Zuchu ,kwani wale wa mwanzo nao aliwatafuta online?
Aaiii! Nimekosa mimi jirani nisamehe bure! Ila ukikamilisha hiyo mishe usisahau kunialika kwenye mpunga wa mkekani.Unanikosea jiraniyangu...🤣
Ni kweli ila wanaume HAWAJAPINGA kua hawawahitaji wanawake mkuu. Ila wanawake na harakati zao za "kujikomboa" mathalani feminism wana propaganda za wazi kabisa kuhusu "kujikomboa" na wazizi kuwapiga vita wanaume, na kwamba hawawahitaji na hata kwenda mbali na kujilinganisha na wanaume au hatatkujiona boraHilo siyo kwa wanawake tu, wanaume ndiyo zaidi wanahitaji wanawake katika kila mambo yao, tika wapo tumboni mpaka wanakufa, hawawezi kuwa na maisha bora bila mwanamke.
kwa hiyo hamtaki tena "kujikomboa" na kuachana na wanaume makatili hua mnasema "wanaume wote ni mbwa" vipi tena kumbe mnawahitaji hao "mbwa"Kwa kweli upweke sio mzuri kabisaaaaaaaa
"Kaamua kutulia" Inamana siku zote kumbe alikua hajatulia?Queen wa Mwanyamala asiyekwisha utamu mama Zuchu A.K.A Makopa ameweka wazi kuwa sasa amechoka kukaa peke yake, anatafuta mwenza ila awe mtu mzima. Sasa ameamua kutulia.
USSR View attachment 2513463
Haya sasa uwanja uko wazi [emoji1]Aiseee inasikitisha sana.
mwanaume kumhitaji mwanamke kwa dunia ya sasa ni pesa yako tu unapata kila unachotaka na bado ukawa bachelor ila mwanamke hata awe na pesa vipi atahitaji kidume hamnaga ubavu wa kuvumilia upweke, utadanga wee lakini dakika za maheruhi utatafuta tu wa kutulia nae la sivyo utakufa na sonona huna furaha hata chembe, ila mwanaume akifa single anakufa na furaha hana stress tena huwa wanapiga umri mwingi ukilinganisha na wale wanaoishi na wanawake maana pressure na visugari haviwaachagi salamaHilo siyo kwa wanawake tu, wanaume ndiyo zaidi wanahitaji wanawake katika kila mambo yao, tika wapo tumboni mpaka wanakufa, hawawezi kuwa na maisha bora bila mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi bado anaishi mwananyamala nihamie huko Next week kumbe jimbo lipo wazi na alivyo tipwa tipwa ni kufyonza mirija ya uzazi mpka Zuchu aone wivu