Kheeeeh wee bibi upooo?? Nimekumic mnoo.Hilo siyo kwa wanawake tu, wanaume ndiyo zaidi wanahitaji wanawake katika kila mambo yao, tika wapo tumboni mpaka wanakufa, hawawezi kuwa na maisha bora bila mwanamke.
Akikujibu unitagNi kweli ila wanaume HAWAJAPINGA kua hawawahitaji wanawake mkuu. Ila wanawake na harakati zao za "kujikomboa" mathalani feminism wana propaganda za wazi kabisa kuhusu "kujikomboa" na wazizi kuwapiga vita wanaume, na kwamba hawawahitaji na hata kwenda mbali na kujilinganisha na wanaume au hatatkujiona boraView attachment 2514327 je kwa wanaume unaweza kunitajia movement yoyote ya kuwapiga vita wanawake ?!!
View attachment 2514328
sidhani hata kama anaweza kuthubutu kujibuAkikujibu unitag
Duh [emoji4]Hivi bado anaishi mwananyamala nihamie huko Next week kumbe jimbo lipo wazi na alivyo tipwa tipwa ni kufyonza mirija ya uzazi mpka Zuchu aone wivu
Ebhana eh 😀😀Hivi bado anaishi mwananyamala nihamie huko Next week kumbe jimbo lipo wazi na alivyo tipwa tipwa ni kufyonza mirija ya uzazi mpka Zuchu aone wivu
Kakituliza sasa kiwe na mwenyewe sio kinakosa mwenye nacho mwisho atakufa nacho hakijatumika wakati mumewe alishakwenda mbele za haki,Ameamua kutulia kiaje yani
Bado mbichi kabisa huyu, hata 60 hajavukaHivi hajafikisha sabini huyu, nimeanza kumsikia kitambo sana
Unajifariji sioHilo siyo kwa wanawake tu, wanaume ndiyo zaidi wanahitaji wanawake katika kila mambo yao, tika wapo tumboni mpaka wanakufa, hawawezi kuwa na maisha bora bila mwanamke.