Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahaya ni watu wanaoharibu Sana majinaAlihojiwa akasema alimaamisha Philomena,,,sasa sijui philimon na Philomena vinafananaje?? Nasisi tungejuaje anamaanisha philomena
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂maa kelemeWahaya ni watu wanaoharibu Sana majina
Kule uhayani mambo yapo hiv
Clementina- wao huita keleme
sisi wahaya kiswahili ni chenga sana alimanisha hawa washikaji walikuwa wana saidiana sana kwa shida na rahaWakuu habari zenu,
Katika wimbo wa Saida Karoli unaoitwa Maria Salome' kuna mashairi yanasema
'Khalidi na Filimoni walipendana,mapenzi yao yakadumu,
Wenye wivu wajinyonge sana,wenye wivu wajinyonge'
Sasa Khalidi na Filimoni walipendana mapenzi ya namna gani hayo yakadumu?
Hao wote si ni wanaume au kuna mmoja ni mwanamke hapo maana nimejaribu kutafuta mashairi sikupata.
Labda wenzetu mtusaide kwakua mnaelewa maneno mwanzo mwisho inawezekana stori mmeielewa au pengine katika tamaduni zenu kuna majina ya kike yanafanana na hayo?
Karibuni mtujuze
Na hajawai kutokea shoga muhayaHakunaga ushoga na wala hautakujaga kutokea ushoga uhayani.
Au anageuka kua mchawi pia.Urafiki wa kuchanjana damu unaobadilika kuwa undugu ndiyo anaoongelea. Mhaya akifanya urafiki unageuka undugu.
mhu hiyo mpya sasa.Au anageuka kua mchawi pia.
Hakujawahi na haitakuja kutokea mhaya Shoga.Inaonekana huko Kwao ushoga ulianza zamani sana.
Zamani ilikua kawaida kusema nampenda zamoyoni mogella,kizota,pepe kale,siku hizi ukisema nampenda Aziz ki watu wanakuangalia vibaya..yaani neno 'penda' linahusishwa na ngono...Chambua kama karanga mama, chambua kama karangaaaaa....
... Halidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu....
...wenye wivu wajinyinge mama, wenyewe wivu wajinyongeeeee...
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyongeeee....
My Take
Naupenda snaa mziki wa Saida, kwangu mimi ndio mwanamziki wa kike mwenye sauti inayonivutia zaidi.
Shida yangu ni kujua hana ujumbe wake kuhusu Halidi na File. Alitaka kutuambia nini dada Saida. Walipendania nini hawa ndugu, kiasi cha kuwataka wenye wivu wajinyonge?
Sio, ila nae Filimina/filimoni 🤣🤣🤣🤣🤣Mashoga hao