'Khalid na Philemon walipendana' - Saida Karoli alimaanisha nini hapa?

'Khalid na Philemon walipendana' - Saida Karoli alimaanisha nini hapa?

...Chambua kama karanga mama, chambua kama karangaaaaa....
... Halidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu....
...wenye wivu wajinyinge mama, wenyewe wivu wajinyongeeeee...
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyongeeee....

My Take
Naupenda snaa mziki wa Saida, kwangu mimi ndio mwanamziki wa kike mwenye sauti inayonivutia zaidi.
Shida yangu ni kujua hasa ujumbe wake kuhusu Halidi na File. Alitaka kutuambia nini dada Saida. Walipendania nini hawa ndugu wawili tena wa kiume, kiasi cha kuwataka wenye wivu wajinyonge?
Saida bwana .
Alitisha sana yaan Halidi anampenda Filimoni .

Ngoja tumuite HAYA LAND atoe neno labda
 
Alimaanisha Khalid na Philomena labda....


Lakin kwenye video huoni ya kuwa vijana wawili walikuwa wanastruggle kuwapproach wasichana wawili waliokuwa wanatoka mtoni?....

Lakin huu wimbo unamuongelea Maria Salome na yaliyomkuta
Hiyo Philomena unamtoa wapi, mbona sisi tunasikia Phelemoni
 
Alimaanisha Khalid na Philomena labda....


Lakin kwenye video huoni ya kuwa vijana wawili walikuwa wanastruggle kuwapproach wasichana wawili waliokuwa wanatoka mtoni?....

Lakin huu wimbo unamuongelea Maria Salome na yaliyomkuta
Huu ndio ukweli halisi hata yeye mwenyewe Saida kuna siku alihojiwa akasema hivyo. Alikosea baada ya kusema Philomena akasema Philimony.
 
...Chambua kama karanga mama, chambua kama karangaaaaa....
... Halidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu....
...wenye wivu wajinyinge mama, wenyewe wivu wajinyongeeeee...
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyongeeee....

My Take
Naupenda snaa mziki wa Saida, kwangu mimi ndio mwanamziki wa kike mwenye sauti inayonivutia zaidi.
Shida yangu ni kujua hasa ujumbe wake kuhusu Halidi na File. Alitaka kutuambia nini dada Saida. Walipendania nini hawa ndugu wawili tena wa kiume, kiasi cha kuwataka wenye wivu wajinyonge?
Alimaanisha filomena kwa habari nilizokuja kuzipata Bkb
 
Hiyo Philomena unamtoa wapi, mbona sisi tunasikia Phelemoni
Matamshi ya majina kwa kihaya ni tofauti na Kiswahili chenu mkuu...

Mfano Clementina...kwa kihaya ni keleme...ndo maana kuna wimbo wa Saida unaitwa Keleme alimaanisha Clementina..

Mfano Filmon ..kwa kihaya ni filemoni...


So matamshi na majina kwa kihaya ni tofauti na Kiswahili....
 
Alimaanisha Khalid na Philomena labda....


Lakin kwenye video huoni ya kuwa vijana wawili walikuwa wanastruggle kuwapproach wasichana wawili waliokuwa wanatoka mtoni?....

Lakin huu wimbo unamuongelea Maria Salome na yaliyomkuta
Wahaya na lafudhi mbaya mbaya kami sie akina ngosha.
 
Back
Top Bottom