'Khalid na Philemon walipendana' - Saida Karoli alimaanisha nini hapa?

'Khalid na Philemon walipendana' - Saida Karoli alimaanisha nini hapa?



...Chambua kama karanga mama, chambua kama karangaaaaa....
... Halidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu....
...wenye wivu wajinyinge mama, wenyewe wivu wajinyongeeeee...
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyongeeee....

My Take
Naupenda snaa mziki wa Saida, kwangu mimi ndio mwanamziki wa kike mwenye sauti inayonivutia zaidi.
Shida yangu ni kujua hasa ujumbe wake kuhusu Halidi na File. Alitaka kutuambia nini dada Saida. Walipendania nini hawa ndugu wawili tena wa kiume, kiasi cha kuwataka wenye wivu wajinyonge?
Daaaah, umewaza nini mkuu? [emoji16]
 
Hata kwa elimu ya Saida huenda hakujua hata anachoimba
Usimshushe Saida hivyo akiwa ni msanii pekee aliyeimba Kilugha (Kihaya) na kusikika Tanzania nzima.

Kuhusu Khalid na Philimon alishatolea ufafanuzi kuwa ni Khalid na Philimonia.

Ana elimu ya kujua kuwa mapenzi ya jinsia moja hayakubaliki na siyo tamadumu za kihaya.
 
Usimshushe Saida hivyo akiwa ni msanii pekee aliyeimba Kilugha (Kihaya) na kusikika Tanzania nzima.

Kuhusu Khalid na Philimon alishatolea ufafanuzi kuwa ni Khalid na Philimonia.

Ana elimu ya kujua kuwa mapenzi ya jinsia moja hayakubaliki na siyo tamadumu za kihaya.
Wewe alihojiwa na akasema mwenyewe.
Vipi kwani au una nongwa
 
Ni halidi na filimona. Ila ktk kuimba ndo ikasikika kama filimoni
 


...Chambua kama karanga mama, chambua kama karangaaaaa....
... Halidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu....
...wenye wivu wajinyinge mama, wenyewe wivu wajinyongeeeee...
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyongeeee....

My Take
Naupenda snaa mziki wa Saida, kwangu mimi ndio mwanamziki wa kike mwenye sauti inayonivutia zaidi.
Shida yangu ni kujua hasa ujumbe wake kuhusu Halidi na File. Alitaka kutuambia nini dada Saida. Walipendania nini hawa ndugu wawili tena wa kiume, kiasi cha kuwataka wenye wivu wajinyonge?


Halidi na filimoni ni marafiki walioshibana na watu wengi ukisikia neno mapenzi mnakimbilia ngono .ndio maana kiswahili sikipendi hakinipi pesa.

Tunaomba baraza la kiswahili ili neno mpenzi kugawanywa neno ili watu wajue.

maana ukisema "jamaa ana mapenzi na ccm"

basi akili yako itakuja unazini na ccm
 
Wewe alihojiwa na akasema mwenyewe.
Vipi kwani au una nongwa
Lakin ukisikiliza nyimbo zake na ukiwa unelewa lugha zina message Sana...

Mfano wimbo wake wa Kaisiki...unaongelea kuhusu wasichana wanaotoa mimba..na madhara yake ya kukosa mtoto..

Wimbo wake wa kereme unaongelea mke mvivu hasiyejishughulusha...

Wimbo wake wa Jeni unaongelea wasichana wanaoacha wapenzi wao na kuolewa na watu wengine...

Wimbo wake wa mukaile kilinjwi..anashauri wanaume waoe wanawake wanaowapenda vinginevyo ndoa hazitadumu...

Nk...


So nyimbo zote za Saida zina message Kali Sana...sijui Nani alimtungia mashairi aisee bila kusahau beat...na imagine ni miaka ya 2000 huko
 
Lakin ukisikiliza nyimbo zake na ukiwa unelewa lugha zina message Sana...

Mfano wimbo wake wa Kaisiki...unaongelea kuhusu wasichana wanaotoa mimba..na madhara yake ya kukosa mtoto..

Wimbo wake wa kereme unaongelea mke mvivu hasiyejishughulusha...

Wimbo wake wa Jeni unaongelea wasichana wanaoacha wapenzi wao na kuolewa na watu wengine...

Wimbo wake wa mukaile kilinjwi..anashauri wanaume waoe wanawake wanaowapenda vinginevyo ndoa hazitadumu...

Nk...


So nyimbo zote za Saida zina message Kali Sana...sijui Nani alimtungia mashairi aisee bila kusahau beat...na imagine ni miaka ya 2000 huko
Saida ana kipaji, hawa kina Zuchu ni promo tu
 
Naomba kujua njia rahisi ya kupotea bila kujulikana ulipo hata ukitafutwa usiweze kupatikana popote ni njia ipi?

Nataka kupotea na nisipatikane kokote milele,
 
Ni Khalid na flomena aliiweka sawa ilivyo hojiwa pale mawingu,nikwambwa flomena ilikataa kukaa kwenye hiyo bars ndio ikawa filimoni.
Uko sahihi lakini hata saida mwenyewe kiswahili alikuwa anakijua kweli usikute hakujua anachoimba
 
Back
Top Bottom