'Khalid na Philemon walipendana' - Saida Karoli alimaanisha nini hapa?

'Khalid na Philemon walipendana' - Saida Karoli alimaanisha nini hapa?

Wadau

Naomba kujua njia rahisi ya kupotea bila kujulikana ulipo hata ukitafutwa usiweze kupatikana popote ni njia ipi?

Nataka kupotea na nisipatikane kokote milele,
 
Lakin ukisikiliza nyimbo zake na ukiwa unelewa lugha zina message Sana...

Mfano wimbo wake wa Kaisiki...unaongelea kuhusu wasichana wanaotoa mimba..na madhara yake ya kukosa mtoto..

Wimbo wake wa kereme unaongelea mke mvivu hasiyejishughulusha...

Wimbo wake wa Jeni unaongelea wasichana wanaoacha wapenzi wao na kuolewa na watu wengine...

Wimbo wake wa mukaile kilinjwi..anashauri wanaume waoe wanawake wanaowapenda vinginevyo ndoa hazitadumu...

Nk...


So nyimbo zote za Saida zina message Kali Sana...sijui Nani alimtungia mashairi aisee bila kusahau beat...na imagine ni miaka ya 2000 huko
Huyo mmama ana kipaji sana.

Nilimjua kabla hamjamjua kipindi anaimba nyimbo sehemu za walevi wale local local sana sehemu za rwamishenye kwenye vilabu vya bilolo

Nikamuona tena kemondo akiwa anaimba vilabuni itoshe kusema yule binti ana kipaji sana.
 
Toina magezi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakuu habari zenu,
Katika wimbo wa Saida Karoli unaoitwa Maria Salome' kuna mashairi yanasema
'Khalidi na Filimoni walipendana,mapenzi yao yakadumu,
Wenye wivu wajinyonge sana,wenye wivu wajinyonge'

Sasa Khalidi na Filimoni walipendana mapenzi ya namna gani hayo yakadumu?
Hao wote si ni wanaume au kuna mmoja ni mwanamke hapo maana nimejaribu kutafuta mashairi sikupata.

Labda wenzetu mtusaide kwakua mnaelewa maneno mwanzo mwisho inawezekana stori mmeielewa au pengine katika tamaduni zenu kuna majina ya kike yanafanana na hayo?

Karibuni mtujuze


 
Naomba kujua njia rahisi ya kupotea bila kujulikana ulipo hata ukitafutwa usiweze kupatikana popote ni njia ipi?

Nataka kupotea na nisipatikane kokote milele,
Yaani,upotee milele halafu uendelee kuwa hai?au haijalishi kama uwe hai au umekufa ilimradi we upotee tu
 
Yaani,upotee milele halafu uendelee kuwa hai?au haijalishi kama uwe hai au umekufa ilimradi we upotee tu
Niwe hai Ila nisiweze kupatikana na nisiweze kuonekana au kua traced popote
 
Huyo mmama ana kipaji sana.

Nilimjua kabla hamjamjua kipindi anaimba nyimbo sehemu za walevi wale local local sana sehemu za rwamishenye kwenye vilabu vya bilolo

Nikamuona tena kemondo akiwa anaimba vilabuni itoshe kusema yule binti ana kipaji sana.
Siju status yake kwa sasa ila miaka minne nyuma alirudi tena kuimba vijijini kwa kingilio cha bukubuku kwenye viwanja vya kijijini,nakumbuka nikimkuta kijiji fulani ndani sana huko Tabora.
 
Wakuu habari zenu,
Katika wimbo wa Saida Karoli unaoitwa Maria Salome' kuna mashairi yanasema
'Khalidi na Filimoni walipendana,mapenzi yao yakadumu,
Wenye wivu wajinyonge sana,wenye wivu wajinyonge'

Sasa Khalidi na Filimoni walipendana mapenzi ya namna gani hayo yakadumu?
Hao wote si ni wanaume au kuna mmoja ni mwanamke hapo maana nimejaribu kutafuta mashairi sikupata.

Labda wenzetu mtusaide kwakua mnaelewa maneno mwanzo mwisho inawezekana stori mmeielewa au pengine katika tamaduni zenu kuna majina ya kike yanafanana na hayo?

Karibuni mtujuze


Kupendana tu, urafiki wa kawaida kama na rafiki yako yoyote mlioshibana(kama unaye rafiki wa hivyo).
Wengine huwa hatuna marafiki zaidi ya business associates.
 
Watu wanajifanya wanaamka sasa kuhusu ushoga ......
 
Siju status yake kwa sasa ila miaka minne nyuma alirudi tena kuimba vijijini kwa kingilio cha bukubuku kwenye viwanja vya kijijini,nakumbuka nikimkuta kijiji fulani ndani sana huko Tabora.
Basi atakuwa alichezea pesa maana miaka kumi nyuma alitengeneza sana hela
 
Niwe hai Ila nisiweze kupatikana na nisiweze kuonekana au kua traced popote
No way,stow away,inaonekana kuna kitu kinakusumbua,rudi kwenye imani yako usaidiwe haraka,muone mchungaji/Sheikh au muone mwanasaikolojia mueleze maelezo hayahaya atakupa majibu.
 
Back
Top Bottom