Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya papaMaana yake nini?
Kwanini hua mnawaza ushoga tu?Inaonekana huko Kwao ushoga ulianza zamani sana.
Huyo mmama ana kipaji sana.Lakin ukisikiliza nyimbo zake na ukiwa unelewa lugha zina message Sana...
Mfano wimbo wake wa Kaisiki...unaongelea kuhusu wasichana wanaotoa mimba..na madhara yake ya kukosa mtoto..
Wimbo wake wa kereme unaongelea mke mvivu hasiyejishughulusha...
Wimbo wake wa Jeni unaongelea wasichana wanaoacha wapenzi wao na kuolewa na watu wengine...
Wimbo wake wa mukaile kilinjwi..anashauri wanaume waoe wanawake wanaowapenda vinginevyo ndoa hazitadumu...
Nk...
So nyimbo zote za Saida zina message Kali Sana...sijui Nani alimtungia mashairi aisee bila kusahau beat...na imagine ni miaka ya 2000 huko
Wakuu habari zenu,
Katika wimbo wa Saida Karoli unaoitwa Maria Salome' kuna mashairi yanasema
'Khalidi na Filimoni walipendana,mapenzi yao yakadumu,
Wenye wivu wajinyonge sana,wenye wivu wajinyonge'
Sasa Khalidi na Filimoni walipendana mapenzi ya namna gani hayo yakadumu?
Hao wote si ni wanaume au kuna mmoja ni mwanamke hapo maana nimejaribu kutafuta mashairi sikupata.
Labda wenzetu mtusaide kwakua mnaelewa maneno mwanzo mwisho inawezekana stori mmeielewa au pengine katika tamaduni zenu kuna majina ya kike yanafanana na hayo?
Karibuni mtujuze
Uko serious au masiala ?Naomba kujua njia rahisi ya kupotea bila kujulikana ulipo hata ukitafutwa usiweze kupatikana popote ni njia ipi?
Nataka kupotea na nisipatikane kokote milele,
Kifela eki [emoji16][emoji16]Toina magezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Serious kabisa sina utani katika hili n I'm clean sina any kind of offense but I want to disappear without interferenceUko serious au masiala ?
Huu ndio ukweli halisi hata yeye mwenyewe Saida kuna siku alihojiwa akasema hivyo. Alikosea baada ya kusema Philomena akasema Philimony.
Case closed....shukrani wadau.Mama usimchukulie hivyo Saida
Hujui kihaya ingesikiliza nyimbo za kilugha na kuelewa usingekomenti hivi.
Yaani,upotee milele halafu uendelee kuwa hai?au haijalishi kama uwe hai au umekufa ilimradi we upotee tuNaomba kujua njia rahisi ya kupotea bila kujulikana ulipo hata ukitafutwa usiweze kupatikana popote ni njia ipi?
Nataka kupotea na nisipatikane kokote milele,
Niwe hai Ila nisiweze kupatikana na nisiweze kuonekana au kua traced popoteYaani,upotee milele halafu uendelee kuwa hai?au haijalishi kama uwe hai au umekufa ilimradi we upotee tu
Siju status yake kwa sasa ila miaka minne nyuma alirudi tena kuimba vijijini kwa kingilio cha bukubuku kwenye viwanja vya kijijini,nakumbuka nikimkuta kijiji fulani ndani sana huko Tabora.Huyo mmama ana kipaji sana.
Nilimjua kabla hamjamjua kipindi anaimba nyimbo sehemu za walevi wale local local sana sehemu za rwamishenye kwenye vilabu vya bilolo
Nikamuona tena kemondo akiwa anaimba vilabuni itoshe kusema yule binti ana kipaji sana.
Kupendana tu, urafiki wa kawaida kama na rafiki yako yoyote mlioshibana(kama unaye rafiki wa hivyo).Wakuu habari zenu,
Katika wimbo wa Saida Karoli unaoitwa Maria Salome' kuna mashairi yanasema
'Khalidi na Filimoni walipendana,mapenzi yao yakadumu,
Wenye wivu wajinyonge sana,wenye wivu wajinyonge'
Sasa Khalidi na Filimoni walipendana mapenzi ya namna gani hayo yakadumu?
Hao wote si ni wanaume au kuna mmoja ni mwanamke hapo maana nimejaribu kutafuta mashairi sikupata.
Labda wenzetu mtusaide kwakua mnaelewa maneno mwanzo mwisho inawezekana stori mmeielewa au pengine katika tamaduni zenu kuna majina ya kike yanafanana na hayo?
Karibuni mtujuze
Uli kifelwa Farolito🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣Nakutania bhanaFafanua mkuu
Basi atakuwa alichezea pesa maana miaka kumi nyuma alitengeneza sana helaSiju status yake kwa sasa ila miaka minne nyuma alirudi tena kuimba vijijini kwa kingilio cha bukubuku kwenye viwanja vya kijijini,nakumbuka nikimkuta kijiji fulani ndani sana huko Tabora.
No way,stow away,inaonekana kuna kitu kinakusumbua,rudi kwenye imani yako usaidiwe haraka,muone mchungaji/Sheikh au muone mwanasaikolojia mueleze maelezo hayahaya atakupa majibu.Niwe hai Ila nisiweze kupatikana na nisiweze kuonekana au kua traced popote