Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Sahihi 💯Alimaanisha Khalid na Philomena labda....
Lakin kwenye video huoni ya kuwa vijana wawili walikuwa wanastruggle kuwapproach wasichana wawili waliokuwa wanatoka mtoni?....
Lakin huu wimbo unamuongelea Maria Salome na yaliyomkuta
Those were the days...Nimecheka sana ila zilikuwa nyakati tamu sana
Saida bwana ....Chambua kama karanga mama, chambua kama karangaaaaa....
... Halidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu....
...wenye wivu wajinyinge mama, wenyewe wivu wajinyongeeeee...
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyongeeee....
My Take
Naupenda snaa mziki wa Saida, kwangu mimi ndio mwanamziki wa kike mwenye sauti inayonivutia zaidi.
Shida yangu ni kujua hasa ujumbe wake kuhusu Halidi na File. Alitaka kutuambia nini dada Saida. Walipendania nini hawa ndugu wawili tena wa kiume, kiasi cha kuwataka wenye wivu wajinyonge?
Acha kiongozi wanguThose were the days...
Hiyo Philomena unamtoa wapi, mbona sisi tunasikia PhelemoniAlimaanisha Khalid na Philomena labda....
Lakin kwenye video huoni ya kuwa vijana wawili walikuwa wanastruggle kuwapproach wasichana wawili waliokuwa wanatoka mtoni?....
Lakin huu wimbo unamuongelea Maria Salome na yaliyomkuta
Huu ndio ukweli halisi hata yeye mwenyewe Saida kuna siku alihojiwa akasema hivyo. Alikosea baada ya kusema Philomena akasema Philimony.Alimaanisha Khalid na Philomena labda....
Lakin kwenye video huoni ya kuwa vijana wawili walikuwa wanastruggle kuwapproach wasichana wawili waliokuwa wanatoka mtoni?....
Lakin huu wimbo unamuongelea Maria Salome na yaliyomkuta
Tuwekee hiyo video hapa aliyosema amekoseaHuu ndio ukweli halisi hata yeye mwenyewe Saida kuna siku alihojiwa akasema hivyo. Alikosea baada ya kusema Philomena akasema Philimony.
Alimaanisha filomena kwa habari nilizokuja kuzipata Bkb...Chambua kama karanga mama, chambua kama karangaaaaa....
... Halidi na Filimoni walipendana, mapenzi yao yakadumu....
...wenye wivu wajinyinge mama, wenyewe wivu wajinyongeeeee...
Wenye wivu wajinyonge sana, wenye wivu wajinyongeeee....
My Take
Naupenda snaa mziki wa Saida, kwangu mimi ndio mwanamziki wa kike mwenye sauti inayonivutia zaidi.
Shida yangu ni kujua hasa ujumbe wake kuhusu Halidi na File. Alitaka kutuambia nini dada Saida. Walipendania nini hawa ndugu wawili tena wa kiume, kiasi cha kuwataka wenye wivu wajinyonge?
Ni Filomena (Philomena)Mwenye namba ya Saida ampigie amuulize tupate jibu sahihi
Matamshi ya majina kwa kihaya ni tofauti na Kiswahili chenu mkuu...Hiyo Philomena unamtoa wapi, mbona sisi tunasikia Phelemoni
Mkuu alimaanisha Filimonia lakini katika kurekodi ikatokea hivyo nadhani unakumbuka zamani katika kurekodi studio ulikuwa unarekodi maramoja tu.Saida bwana .
Alitisha sana yaan Halidi anampenda Filimoni .
Ngoja tumuite HAYA LAND atoe neno labda
Mama usimchukulie hivyo SaidaHata kwa elimu ya Saida huenda hakujua hata anachoimba
Sawa ndugu wakora wa maweMkuu alimaanisha Filimonia lakini katika kurekodi ikatokea hivyo nadhani unakumbuka zamani katika kurekodi studio ulikuwa unarekodi maramoja tu.
Ikumbukwe na Kiswahili kilikuwa kinampiga chenga,Alimaanisha filomena kwa habari nilizokuja kuzipata Bkb
Wahaya na lafudhi mbaya mbaya kami sie akina ngosha.Alimaanisha Khalid na Philomena labda....
Lakin kwenye video huoni ya kuwa vijana wawili walikuwa wanastruggle kuwapproach wasichana wawili waliokuwa wanatoka mtoni?....
Lakin huu wimbo unamuongelea Maria Salome na yaliyomkuta