Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Sawa lakini ikiwa genuine hata ukitumia karatasi uta enjoy tuu Kama unazungumzia Kiko ni kwa ajili ya kuweka kiasi kingi kuepuka usumbufu wa kunyonga Mara kwa mara na kumbuka kunyonga kunataka utalaam binafsi licha ya kuwa mvutaji kunyonga sijui.Wenzenu walioendelea hawavuti kwenye misokoto ya magazeti ; hiyo bangi huvutwa kwenye pipe inayochuja uchafu wote kwahiyo unapata moshi mtupu!!!
Mkuu nitakufuata PM tuyajenge.Unielekeze huko zinakopatikana.Mkuu hiyo grade one ni Kali balaa Kuna kipindi nilikuwa nakaa masaki nikaenda kwa pusha alinipa bange moja tu aroo iliingia hadi kwenye mifupa wakati huku uswazi naweza vuta hata vijiti saba (koshabu) lakini ile moja tu sikutaka ingine nikatimua mbio..[emoji125][emoji125] Sasa unajua Kule masaki wanawauzia wazungu, mzungu ukimpa makapi anaweza akakuzaba makofi.
Uzi bado una survive mpaka muda huu, mods nao hujifunza maarifa kama haya kupitia hizi nyuziHuu uzi uki survive najinyonga this night. Auone Modereta
Heshimu dawa za watu.
Wewe sio mwera kweli....[emoji44][emoji44][emoji125][emoji125][emoji125]Mkuu nitakufuata PM tuyajenge.Unielekeze huko zinakopatikana.
Mkuu kuna Bangi ukivuta stiki moja tuu unapata stata swafii😁 hizo za kuvuta sana utaishia kuchoka mwili na hata njaa na kuumwa na kichwaBangi bangi tu. Me majamaa zangu wangu wa mbezi wakivuta Sana skanka Ila sijaona jipya Zaid inaleta usingizi tu Tena ile ya purple ..Haina maajabu ya kushangaza ujanja TU wa watu
🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu tujuze anakuwajeKuna mmoja huku anaichukua bangi anaifunga vizuri anaeda kwenye karo la choo anafunua karo anafunga kamba na mfuniko afu bangi inakuwa ina ning'inia nday ya karo ikibeba mvuke wa mavi[emoji23][emoji23][emoji23]
babu akivuta hiyo bangi hadi utamuonea hurumaaa[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wewe sio mwera kweli....[emoji44][emoji44][emoji125][emoji125][emoji125]
Huu uzi uki survive najinyonga this night. Auone Modereta
Hahahah kuna sadali mmoja kino hapo alituwasha na vijiti high grade aisee nilikula stiki moja tu nikasizi kinoma. Ilibidi nimwambie muhuni aisee hii tosha kmmmk.Mkuu hiyo grade one ni Kali balaa Kuna kipindi nilikuwa nakaa masaki nikaenda kwa pusha alinipa bange moja tu aroo iliingia hadi kwenye mifupa wakati huku uswazi naweza vuta hata vijiti saba (koshabu) lakini ile moja tu sikutaka ingine nikatimua mbio..[emoji125][emoji125] Sasa unajua Kule masaki wanawauzia wazungu, mzungu ukimpa makapi anaweza akakuzaba makofi.
Mapolisi wenyewe wakiwa chimbo wanamoka😅Nchi nyingi Bangi imehalalishwa, sisi nao tuhalalishe ili Polisi wakimbizane na Majambazi sio kila saa wao ni kutafuta Bangi na Mirungi.
Ninakumbuka miaka ya tisini muanzoni kuna Polisi walikamata gongo wakaanza kulinywa wakakutwa chakari 😂🤣Mapolisi wenyewe wakiwa chimbo wanamoka😅
Changamoto nyingine bongo,ni kutambua strain za bangi kama ni sativa(inayokufanya uwe active na huvutwa mara nyng asubuh/mchana) na indica ile inayokufanya usizi,unarelax, nzuri kuvuta baada ya mishe.View attachment 2068813
Kushabu/Koshabu ni bangi ambayo haijakidhi viwango, unaweza kusema ni makapi pia. Ni kama mabaki ya kaya baada ya kutoa grade ya kwanza ile yenyewe, Inakuaga ina vimbegu na vijiti vingi mno... haina stimu, kelele nyingi, ukivuta utaishia kuumiza kichwa, kuwa mkali, n.k.
Ndio aina ya bangi ambayo huuzwa kwa kiasi kikubwa sana, sana, sana hapa nchini. Ni nadra sana kukuta sehemu wanauza high grade
Wengi wakivuta siku ya kwanza watalia ni vipofu kumbe wamesahau kuwasha taa, hukimbia mawingu, hubeba toroli badala ya kusukuma, hutukana ovyo ovyo, n.k. hii ndio gharama ya kuigiza uchafu kichwani
Ukizoea sana kushabu tayari wewe kichwa panzi, unaweza kuwa kichaa kabisa
Wanaokula kushabu ni masikini wanaoshindwa kupata grade one aidha hawana pesa au hawana maarifa ya kujua viwango wao wanavuta ilimradi iwe bangi tu.
Ukiishi sehemu zenye bangi iliyo na kiwango hata muuzaji anaojua bidhaa anayouza, uta enjoy sana bangi
Mzee wa skanka