Kibabage amegoma kubadilika, mbadala wake huyu anatufaa sana aletwe..

Kibabage amegoma kubadilika, mbadala wake huyu anatufaa sana aletwe..

Nipo tofauti kidogo mtaalam adambwile ndiye aliyesababishwa yanga kutanguliwa goal ile match ya yanga day kwa uzembe wake. Na match nyingine japo sizikumbuki amekuwa akifanya makosa
Upo OK

Ni andambwile ndiyo alichomesha lile goli sababu ya uzembe wa kuruka alimuangalia tu mpigaji kichwa

Kwahiyo tutafute beki wa kati au gift arudishwe
Andambwile aendelee kucheza nafasi yake mama
 
Huyu kibabage inabidi atafutiwe mbadala wake mapema. Akipanda harudi kukaba kwa wakati. Huko mbele cross zake ndo ovyo kabisa
 
Coach awape nafasi wachezaji wengine
Ampe mechi Farid Musa badala ya Pacome
Ampe dakika Nkane
Kibabage hana hadhi ya kucheza Yanga
 
Huyu kibabage inabidi atafutiwe mbadala wake mapema. Akipanda harudi kukaba kwa wakati. Huko mbele cross zake ndo ovyo kabisa
Yaani sijui haonagi video zake.?
Coach awape nafasi wachezaji wengine
Ampe mechi Farid Musa badala ya Pacome
Ampe dakika Nkane
Kibabage hana hadhi ya kucheza Yanga
Mkuu naona hujaamua kupepesa maneno umenyoosha straight
 
Wakuu.
Ingawa mnaweza kuwa mpo sahihi kwenye hili, lakini napenda kutoa angalizo..

Yanga tunabahati mbaya ya miaka na miaka ya full back ya kushoto! Tangu Keneth Mkapa sijui kama tumeshawahi kupata beki ya kushoto wa kuaminika.

Hao mnaowalilia Sasa tuliwakimbiza sisi wenyewe kwa mapungufu yao!

Lomalisa alishafika mwisho wa career kama Aucho alikuwa hatoi mchango kama mwanzo!

Hiki kipindi Cha kufungwa kimetusaidia kujua uhalisia wa kikosi chetu! Tumejua panapo vuja!
 
Yaani sijui haonagi video zake.?

Mkuu naona hujaamua kupepesa maneno umenyoosha straight
Hao akina Pacome, Azizi, Yao na Baleke ni wachezaji wasiotambua kazi zao
Yao amekosea fitness yake ya mwanzo anaanguka ovyo
Nadhani Eng awateme tu washakuwa mapapai
Kocha awape nafasi zaidi Chama, Farid, Nkane na Kibwana
 
Wakuu.
Ingawa mnaweza kuwa mpo sahihi kwenye hili, lakini napenda kutoa angalizo..

Yanga tunabahati mbaya ya miaka na miaka ya full back ya kushoto! Tangu Keneth Mkapa sijui kama tumeshawahi kupata beki ya kushoto wa kuaminika.

Hao mnaowalilia Sasa tuliwakimbiza sisi wenyewe kwa mapungufu yao!

Lomalisa alishafika mwisho wa career kama Aucho alikuwa hatoi mchango kama mwanzo!

Hiki kipindi Cha kufungwa kimetusaidia kujua uhalisia wa kikosi chetu! Tumejua panapo vuja!
Hukumshuhudia Oscar Joshua na Mwinyi Hajji
 
Hao akina Pacome, Azizi, Yao na Baleke ni wachezaji wasiotambua kazi zao
Yao amekosea fitness yake ya mwanzo anaanguka ovyo
Nadhani Eng awateme tu washakuwa mapapai
Kocha awape nafasi zaidi Chama, Farid, Nkane na Kibwana
Kwanini awateme wote hao mkuu?
 
Wakuu.
Ingawa mnaweza kuwa mpo sahihi kwenye hili, lakini napenda kutoa angalizo..

Yanga tunabahati mbaya ya miaka na miaka ya full back ya kushoto! Tangu Keneth Mkapa sijui kama tumeshawahi kupata beki ya kushoto wa kuaminika.

Hao mnaowalilia Sasa tuliwakimbiza sisi wenyewe kwa mapungufu yao!

Lomalisa alishafika mwisho wa career kama Aucho alikuwa hatoi mchango kama mwanzo!

Hiki kipindi Cha kufungwa kimetusaidia kujua uhalisia wa kikosi chetu! Tumejua panapo vuja!
Upo sawa japo tulishawahi kupata mabeki wazuri pia kama gadiel Michael na mwinyi haji ingawaje hawakukaa sana
 
I salute you kinsmen..
Huyu bwana mdogo mwanzo tulikuwa na matarajio naye makubwa sana

Lakini siku zinavyozidi kwenda kibabage amegoma kuwa modern full back ..

Yaani anacheza hovyo sana sana, kwanzia mechi mbili zilizopita amegoma kubadilika.

Yaani akifika kwenye box tu ndiyo utaona ujinga wake kwanza anapiga mpira kaangalia chini, analenga kwenye miguu ya watu!
Halafu anapaparika sana kama amepagawa.

Sikuhizi hata kukaba pia nako anachelewa sana

Nashauri acheze winga kama alipokuwa huko Morocco na kule singida.

Sielewi kwanini David bryson aliuzwa
Huyu alikuwa beki anayetufaa kabisa, ana uwezo mkubwa sana wa kupanda na kushuka sana yupo pale jkt kwanini asirudishwe tu kwa dau la kitanzania la kawaida?

Halafu kuna huyu Boka amekuwa akishinda hospital zaidi kuliko uwanjani, tulimuacha lomalisa sababu tuliambiwa kuwa hakutaka kusaini mwanzo ila mwishoni akabadilika na kutaka kusaini ila uongozi ukawa umeshamfungia milango!

Lakini huyu jamaa alikuwa ni mbavu ya kushoto ya viwango vikubwa sana licha ya umri wake, hawa Boka na kibabage wote hawafiki hata nusu ya lomalisa!

Wabadilike ama mabadiliko yatawabadilikia! Kibabage anashindwa nini kuangalia video clip za lomalisa ajifunze? Aangalie ile match ya yanga na club africain kule Tunisia aone jinsi beki ya kushoto inavyochezwa na mzee mzima Joyce mutambala lomalisa.

Kama huyu boka anatabirika kirahisi sana unajua tu huyu anataka kupiga Cross basi wanamuwahi miguuni kwa tackling.

Wabadilike hao wawili
Unazungumzia tümü gani
 
Back
Top Bottom