Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #41
HakikaDickson Job ni mwamba
Kibabage timu imemzidi ukubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaDickson Job ni mwamba
Kibabage timu imemzidi ukubwa
Upo OKNipo tofauti kidogo mtaalam adambwile ndiye aliyesababishwa yanga kutanguliwa goal ile match ya yanga day kwa uzembe wake. Na match nyingine japo sizikumbuki amekuwa akifanya makosa
Yaani sijui haonagi video zake.?Huyu kibabage inabidi atafutiwe mbadala wake mapema. Akipanda harudi kukaba kwa wakati. Huko mbele cross zake ndo ovyo kabisa
Mkuu naona hujaamua kupepesa maneno umenyoosha straightCoach awape nafasi wachezaji wengine
Ampe mechi Farid Musa badala ya Pacome
Ampe dakika Nkane
Kibabage hana hadhi ya kucheza Yanga
Hao akina Pacome, Azizi, Yao na Baleke ni wachezaji wasiotambua kazi zaoYaani sijui haonagi video zake.?
Mkuu naona hujaamua kupepesa maneno umenyoosha straight
Hukumshuhudia Oscar Joshua na Mwinyi HajjiWakuu.
Ingawa mnaweza kuwa mpo sahihi kwenye hili, lakini napenda kutoa angalizo..
Yanga tunabahati mbaya ya miaka na miaka ya full back ya kushoto! Tangu Keneth Mkapa sijui kama tumeshawahi kupata beki ya kushoto wa kuaminika.
Hao mnaowalilia Sasa tuliwakimbiza sisi wenyewe kwa mapungufu yao!
Lomalisa alishafika mwisho wa career kama Aucho alikuwa hatoi mchango kama mwanzo!
Hiki kipindi Cha kufungwa kimetusaidia kujua uhalisia wa kikosi chetu! Tumejua panapo vuja!
Kwanini awateme wote hao mkuu?Hao akina Pacome, Azizi, Yao na Baleke ni wachezaji wasiotambua kazi zao
Yao amekosea fitness yake ya mwanzo anaanguka ovyo
Nadhani Eng awateme tu washakuwa mapapai
Kocha awape nafasi zaidi Chama, Farid, Nkane na Kibwana
Nadhani Gadiel Michael mbaga angendelea yanga angekuja kuwa beki mzuri wa kushotoHukumshuhudia Oscar Joshua na Mwinyi Hajji
Hao ni masela tuKwanini awateme wote hao mkuu?
Upo sawa japo tulishawahi kupata mabeki wazuri pia kama gadiel Michael na mwinyi haji ingawaje hawakukaa sanaWakuu.
Ingawa mnaweza kuwa mpo sahihi kwenye hili, lakini napenda kutoa angalizo..
Yanga tunabahati mbaya ya miaka na miaka ya full back ya kushoto! Tangu Keneth Mkapa sijui kama tumeshawahi kupata beki ya kushoto wa kuaminika.
Hao mnaowalilia Sasa tuliwakimbiza sisi wenyewe kwa mapungufu yao!
Lomalisa alishafika mwisho wa career kama Aucho alikuwa hatoi mchango kama mwanzo!
Hiki kipindi Cha kufungwa kimetusaidia kujua uhalisia wa kikosi chetu! Tumejua panapo vuja!
Yao alikuwa ma discipline sana naye anaenda bar siku hizi?Hao ni masela tu
Kila weekend wako bar
Mpira ni kazi ngumu haitaki ulevi, ngono na sigara
Unazungumzia tümü ganiI salute you kinsmen..
Huyu bwana mdogo mwanzo tulikuwa na matarajio naye makubwa sana
Lakini siku zinavyozidi kwenda kibabage amegoma kuwa modern full back ..
Yaani anacheza hovyo sana sana, kwanzia mechi mbili zilizopita amegoma kubadilika.
Yaani akifika kwenye box tu ndiyo utaona ujinga wake kwanza anapiga mpira kaangalia chini, analenga kwenye miguu ya watu!
Halafu anapaparika sana kama amepagawa.
Sikuhizi hata kukaba pia nako anachelewa sana
Nashauri acheze winga kama alipokuwa huko Morocco na kule singida.
Sielewi kwanini David bryson aliuzwa
Huyu alikuwa beki anayetufaa kabisa, ana uwezo mkubwa sana wa kupanda na kushuka sana yupo pale jkt kwanini asirudishwe tu kwa dau la kitanzania la kawaida?
Halafu kuna huyu Boka amekuwa akishinda hospital zaidi kuliko uwanjani, tulimuacha lomalisa sababu tuliambiwa kuwa hakutaka kusaini mwanzo ila mwishoni akabadilika na kutaka kusaini ila uongozi ukawa umeshamfungia milango!
Lakini huyu jamaa alikuwa ni mbavu ya kushoto ya viwango vikubwa sana licha ya umri wake, hawa Boka na kibabage wote hawafiki hata nusu ya lomalisa!
Wabadilike ama mabadiliko yatawabadilikia! Kibabage anashindwa nini kuangalia video clip za lomalisa ajifunze? Aangalie ile match ya yanga na club africain kule Tunisia aone jinsi beki ya kushoto inavyochezwa na mzee mzima Joyce mutambala lomalisa.
Kama huyu boka anatabirika kirahisi sana unajua tu huyu anataka kupiga Cross basi wanamuwahi miguuni kwa tackling.
Wabadilike hao wawili
Kipi hujaelewaUnazungumzia tümü gani
Yao yeye halewi sanaYao alikuwa ma discipline sana naye anaenda bar siku hizi?
Tatizo aziz hana game time ya kutosha, ni kama duke abuya, duke ni midfielder mzuri sana sema ndo hivyoAziz Andambwile ni beki wa kati nadhani ndio replacement ya Gift Fred kwa Lomalisa walikosea sana japo Boka sio mbaya shida ni majeruhi
Ila gift fred ... hahaha 😀😀Tuache mzaha andambwile hawezi hiyo position
Match ile yanga day qlicheza mliona madudu yake?
Gift hakutakiwa kuachwa ile ilikuwa spear kulia na kati anacheza
Andambwile mwenyewe ndiyo kama hivi majeraha mengi
Gift angekuwa spear nzuri mfano game na tabora aziz hiyo aliingia na hakumaliza hata dakika 40 sasa nani angezima kati pale beki?Ila gift fred ... hahaha 😀😀
Mwisho wa siku aucho anaenda kucheza centerback huu ni upuuzi wa hali ya juuGift angekuwa spear nzuri mfano game na tabora aziz hiyo aliingia na hakumaliza hata dakika 40 sasa nani angezima kati pale beki?