atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Kajifunze kwanza kiswahili fasaha ndio uje uchangie hoja hapa!mbafuuuuuuuuuu"Mtanikumbuka..."
Kumumisi munamumisi sana.. hayo ya kabuki nani amekuambia kwamba kuna kupelekesha familia za watu na jinsi wanaona kwao iwe hivyo?? Tuliza boli.. kwako utakuta pachafu kupita hayo yaliuokauka..
Heshimu ya watu na yao...
Legacy inalindwa babuHivi hilo hapo ni Kaburi au banda la mifugo? Hii ni aibu.
Sikuona mantiki ya Makamu wa Rais kwenda kuzuru hilo kaburi wakati hata miezi miwili haijaisha toka awepo hapo kwa mazishi.
All in all, Makamu wa rais angeweza kufika kwenye hilo kaburi, lakini picha zisipigwe ili kulinda utu na hadhi ya marehemu aliyezikwa hapo. Busara zilipaswa kutangulia kwanza.
Sawa hakuna shida familia itajenga kwa fedha alizokwapuaMjengo unaloendelea nyuma ya hilo bati ukiisha mtasaga meno.ni swala la muda tu. Tumeweka kwa wajili ya waombolezaji wanaokuja kila siku, huku ujenzi ukiendelea.
Mtulie sindano itawaangia vizuri njengo ukiisha
Hao ni ndg zake na jiwe wale wa nchi jiranHivi wewe muda wote umelewa au kuandika ndio hujui?
Sidhani kama kuna aliyekuelewa
Sio familia ni Serekali na Mwenge unaenda kuzimwa pale na kuzindua mosaleam ya hatariSawa hakuna shida familia itajenga kwa fedha alizokwapua
Ww ndio umebaki na akili za kufikir hapo matagaKila kukicha mnaanzisha thread mpya humu...mkiambiwa mumuenzi kwa vitendo hamtaki....twendeni tukajitolee kusafisha na kujenga maktaba ya kisasa na makumbusho kaburi likiwa ndani...iwe sehemu ya utalii kwa mzalendo namba moja..
Ndiyo tumekusikia! Lakini, status yake ya sasa ni ndani ya banda la Ma ba ti.Mna haraka na kiherehere....tuvute subira tutaona wanachotaka kujenga pale MATAGA hawaaamini ukuu wa Mungu
Jamaa zake wanamsaliti jiweHivi kwanini wameruhusu picha Zipigwe..
Anyway.. Zimepigwa. Kwanini zisambazwe.
Dahh.. Too bad.
Dah, mdada uliyejitoa ufaham katika utawala wa magufuli, nakuinea huruma aisee, Mungu ni muweza wa yote"Mtanikumbuka..."
Kumumisi munamumisi sana.. hayo ya kabuki nani amekuambia kwamba kuna kupelekesha familia za watu na jinsi wanaona kwao iwe hivyo?? Tuliza boli.. kwako utakuta pachafu kupita hayo yaliuokauka..
Heshimu ya watu na yao...
Kama Mwinyi alivyopewa zawadi ya Benz,ilikuwa ni upumbavu wa Hari ya juu na matumizi mabaya ya pesa ya umma,hata kulitunza kaburi la JPM ni matumizi mabaya ya pesa ya umma,JPM ana familia yake,yenye ukwasi mkubwa tu wanashindwa nini kutunza kaburi la dingi yao,kwetu wabongo huo mzoga hauna faida Tena,watunze wenyeweHivi wale wanaopiga mbinja kila siku kuwa wanaenzi matendo ya mwenda zake na kuonyesha mapenzi yaliyopitiliza wanaliona hili na kulinyamazia?
Lile banda la bati kwenye kaburi mbona linatia aibu? Yaani halifanyiwi usafi kiasi imekuwa kama zizi la mbuzi?
Yapo mashada ya maua ambayo yaliwekwa siku ya mazishi miezi miwili iliyopita na hivi sasa yamekauka na kuwa uchafu ulio lundikwa kaburini.
Je, hakuna mtu wa kutunza eneo hilo au ni dharau tu?
Wahusika na familia wajitafakari hata kama walikuw hawampendi.
View attachment 1786719
Hahahaaaa....... Huyo dogo wa Ufipa tumempa kibarua!Bwashe na ww umekuwa msaliti[emoji23][emoji23]
Serikali ya Bi. Mkubwa haishughuliki na mambo ya kipumbavu, umesahau msemo " malipo ni hapa hapa duniani ". Wajerumani hawataki kabisa kumsikia mtu anayeitwa Hitler maana unawakumbusha machungu yaliyowapata. Kumbuka watu wamepoteza wapendwa wao na wanahisi uchungu mkubwa. Wee unaongea nini?Sio familia ni Serekali na Mwenge unaenda kuzimwa pale na kuzindua mosaleam ya hatari
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Wangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.
Kwa hadhi yake wasingeshindwa kujenga kwa nguzo na kuezekwa kwa vigae .lakini hili si kama jiko la kijijini?
Ni bora wasingeweka hayo mabati.
Ujenzi unaendelea bwashee!
Labda kuna ujenzi unaendelea kwa nje, mpiga picha alitakiwa kupiga picha kwa nje pia
Hapa ni kama unabahatisha tuu. Tuombe iwe kweli
Bora angepotelea tu kusiko julikana kama Adolph Hitler! Hii ingewasaidia wafuasi wake kuacha kwenda kumuabudu/kuendelea kumtukuza.
Hivi kuna ulazima gani kujengea bati?au bado wanagopa mabeberu wanaweza kuja iba lile fuvu la kichwa
[emoji1787][emoji1787] mmemtelekeza mzee. Bora mngeacha aisee
Wacha kutogambanisha na Mama. Unajua mwenge unazinduliwa kesho na utazimwa Chato? Na kubwa litakuwa ni hilo Kaburi la shujaa wa wanyongeSerikali ya Bi. Mkubwa haishughuliki na mambo ya kipumbavu, umesahau msemo " malipo ni hapa hapa duniani ". Wajerumani hawataki kabisa kumsikia mtu anayeitwa Hitler maana unawakumbusha machungu yaliyowapata. Kumbuka watu wamepoteza wapendwa wao na wanahisi uchungu mkubwa. Wee unaongea nini?
Ni maoni ya jumla kwa yeyote mwenye akili ya kawaida.Hapa unamwambia makamu wa Rais au unatuambia sisi?