Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nguvu ya Mungu ni ya ajabu sana !Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Hahahaha we jaaWangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.
Ana akili basi mtoa mada...msimfundishe mwachen na ukilaza wakeKwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
😆😆😆Hata hicho mbona wamemsaidia
hivi mkapa anatbelewaga namna hii?Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
na hakuna ajuaaye pengine ukute yupo kuzimu anateswa na shetani na mapepo wakati huku tulio hai tunajua kaenda peponi. Tulio hai tumche Mungu na kutenda mema maana bado tuna nafasi ya kujirekebisha na kwenda peponi Mungu atusaidie kwa kweli👋👋👋👋👋👋Maisha haya yani Jamaa kupita kote barabarani na mavifaru na magari yenye minara Leo ndio ameishia hapo??
LOoooh, kuna majibu ambayo hayategemewi kabisa!Wangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.
Hivi wewe magu alikufanya Nini na ulipews chura zote mjiniKamati ya mazishi tuliamua kumfukia Kayafa kama panya kutokana na uovu wa kutisha aliofanya akiwa hai.
Kulikuwa na shida gani kujenga Banda la tofali permanently,ni zoezi la siku 1 au 2 tofali hazizidi hata 500 hadi waamue kujenga Banda la kufugia Kuku iliHilo limejengwa kwa muda tu