Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Mjengo unaloendelea nyuma ya hilo bati ukiisha mtasaga meno.ni swala la muda tu. Tumeweka kwa wajili ya waombolezaji wanaokuja kila siku, huku ujenzi ukiendelea.

Mtulie sindano itawaangia vizuri njengo ukiisha
 
hapo hicho kibanda ujenzi unaendelea ndani ya kaburi au??? siku 40 sio za kushindwa kuchagua dizain ya kajumba kazuri cha kujengea kaburi la rais ishu ni kwamba no body cares at all
 
Kuna taratibu za kujengea makaburi.... na muda wa kujengewa hapo bado

Muda ukifika watajenga na usiache kuongeza picha
hapo sio kujengea kaburi ni kijumba cha kuzunguka kaburi...
 
Je

Fikiria vema utaelewa maana ya swali langu... (aidha ikiwa tu mtu anashindwa kuzuru kaburi la mpendwa wake ambae anataka aaminishe dunia alikuwa akimpenda sana... je anawezaje kuitetea "legacy" aiimbayo kila uchao?"
Kama ulitaka hiko kibanda kisionekane kwenye mitandao basi mngekataza VP alipotembelea asipige picha .
 
Yaelekea familia pia imefurahia bwana yule kwendazake...
 
Ninavyoelewa ni kuwa eneo line sasa hivi lina mvua nyingi sana kwa hiyo sishangai kama walijenga hilo banda kuwa temporarly shelter hadi mmvua zitakapokiwsha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…