Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hakika mkuu na haya yote ni juhudi zetu wana cdm ambao kiuhalisia ndiyo chama pekee cha upinzani kilichopo nchi kwa sasa.Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.[emoji1534][emoji1533]