Kibarua kimeota Nyasi: Waliozoea siasa za vita Mbowe, Lissu, Rais Samia waungana kujenga nchi. Funzo kwa...!

Ni jambo jema kwa kuwa Rais ameachana na siasa za mitulinga. Tumefikia hatua hii kwa jasho na damu, tumelipa gharama hapa tulipofika " alisema kiongozi huyo.[emoji1534][emoji1533]
Hakika mkuu na haya yote ni juhudi zetu wana cdm ambao kiuhalisia ndiyo chama pekee cha upinzani kilichopo nchi kwa sasa.
 
Hao ni waganga njaa na wengi wao ni wafuasi wa jiwe ambaye hakutaka tanzania itawaliwe kwa utashi wa wananchi.
 
Wewe sisi tumekua humu tokea enzi za akina mwanakijiji, mtoto wa mkulima Mm1, Wewe unaongelea 2000,kwa tarifa yako me nimeshiriki chaguzi zote Nchi hii, tokea tunampigia kura mwinyi na giza,amekuja akina mrema tukajiunga nao,akuna mwanasiasa nisiye mfahamu hapa Nchini
 
Hao ni waganga njaa na wengi wao ni wafuasi wa jiwe ambaye hakutaka tanzania itawaliwe kwa utashi wa wananchi.
Chadema ndio walikuwa waganga njaa, Maana kila uchaguzi walikuwa wanakataa kiongozi aliyechaguliwa eti wameibiwa kura, Sasahivi mmeona mabwana wenu Wazungu wamewasusa,ndio mnasema eti mnataka siasa za usitarabu,kwani ninani aliyemtuma Mbowe abwatuke maneno ya kejeli pale mwanza,akizani Samia hatakuwa mwepesi,Samia kamkomesha Mpaka alivyoramba miguu ya Samia,alivyotoka hapo eti tunataka kufanya siasa za kistarabu,kwani tokea mwanzo ninani aliwazuia kufanya hizo siasa?
 

Nasema hivi, huna ujualo zaidi ya kuwa bendera fuata upepo. Id yako ni ya 2020, kama una multiple id hiyo ni juu yako. Hao unaowataja sio moderator wa mijadala humu ndani. Isitoshe hata sijui unaongea nini. Hao wanasiasa unaowataja sio kiwango cha uelewa wa siasa. Unaweza kuwa uliwasikia wakiwa wanatajwa, lakini hiyo haimaanishi kuwa unawajua, na ama una uelewa wa siasa. Ingekuwa unajua siasa usingekuwa bendera fuata upepo wa maneno mepesi ya wanaccm huku jukwaani.
 
Hakuna lolote, Afrika toka lini ikawa na siasa za kistaarabu? Marekani kwenyewe unakosema hakuna siasa za kistaarabu sembuse Afrika?
 
Safari hii nyinyi chawa wa sukuma gang mtakufa njaa shenzi
 
Ndugu yangu sisi tuliondoka humu baadala ya Mbowe kuuza chama kwa Lowassa,tukaamua kuendelea na mambo mengine tu, Sasahivi tuigia humu kiobi tu,na kuna wwengi hawajawahi kurudi humu,kisa upumbavu aliotufanyia mbowe,hata hivo kutooekana ktk jamvi Sio kwamba sijui siasa na wanasiasa wa Tanzania Bloo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…