Angekuwepo rafiki nisingewaza rafiki kipenzi ninaye mpenda
Angekuwepo rafiki nisingewaza rafiki kipenzi ninaye mpenda
Ayupo Tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo Swaiba
Ayupo Tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo Swaiba
Na nukuu amaneno yake busara zake alikuwa mtu wa watu uyu mtu
Nuru aina mwanga mbele giza rafiki niliye mpenda amenitoka
Nilikuwa na marafiki sikatai lkn rafiki wa kwel bye bye
Akufa kwa ngoma donsalale siku yake ilisha fika pema alale
Uzuni isiyo kiwisha moyoni nashika tama sioni
Ananijia ndotoni swahiba ananiambia nisikonde
Rest in peace Mama