The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Hizi mbili ni funga kazi.tutakukumbuka crazy gk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi mbili ni funga kazi.tutakukumbuka crazy gk
Huu ni ukweli wakuu hii ni nyimbo ambayo hata ukiiskia tu hisia za kulia inakujia hii nyimbo ni nyimbo ambayo haitowahi kutokea kwenye muziki wa bongo flava [emoji119]🥲 hakuna na haitowahi kutokea nyimbo ya kuhuzunisha kama hii
sio kweLi hata kama hauko msibani kuna feeling flani unaipata lzm chozi lidondoke tuHLabda Kama Uko msibani,sisi tunacheza kabisaaaa
aah ww lava boii kiboko mkuu😂😂😂hawafiki kwa mboso khan
Hizi ndio Bongo fleva nazoweza kusikiliza. Hata nikibadili pC ninahama nazo1.Kamanda
2.Barua
3.Maji ya shingo
4.Rafiki-Jeby
5.Tutakukumbuka -GK
Dah zamani kulikua na ngoma bwana yaani huwezi peleka mbele ngoma yoyote ikipigwa hit tupu.
Jebby r.i pHatari sana, na ya yule alieimba angekuwepo rafiki nisingewaza!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ile beat na chorous ya t.i.d ni konyo[emoji119][emoji119][emoji119]tutakukumbuka crazy gk
aisee mkuki moyoni ni nyimbo na nusus🔥🔥mkuki moyoni - Afande Sele
sauti ya manka - GK
Aslay alijitahidi sana kwenye Magufuli Bye. Haikuwa sample ya nyimbo zingine ila imebeba huzuni kama ukiisikiliza kwa utulivu.Huu ni ukweli wakuu hii ni nyimbo ambayo hata ukiiskia tu hisia za kulia inakujia hii nyimbo ni nyimbo ambayo haitowahi kutokea kwenye muziki wa bongo flava 🙌🥲 hakuna na haitowahi kutokea nyimbo ya kuhuzunisha kama hii
kbsa naungana na ww hapo kwa twenty peeer asilimaireeeAslay alijitahidi sana kwenye Magufuli Bye. Haikuwa sample ya nyimbo zingine ila imebeba huzuni kama ukiisikiliza kwa utulivu.
Nyingine ni Mama Neema ya 20% ile nyimbo sio poa, hasa mtu ukiwa na mama kijacho ndani lazima utafakari jambo.
JebyHatari sana, na ya yule alieimba angekuwepo rafiki nisingewaza!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Swahiba.Mkuu huu wimbo unaitwaje? Na umeimbwa na nani? Naukumbuka kwa mbali sana,kitambo aisee,maneno yako yamefanya niukumbuke ila sikumbuki uliimbwa na nani.
Makini sana.Masela nawaaga tena sirudi,
Nasindikizwa na marashi ya ubani na udi
Yowe la uchungu litasikika
Pale roho yangu itapokua inatoka
Vazi langu sanda nitakua nimevikwa
Nipo kwenye jeneza tayari kwenda kuzikwa
Mauti pindi yataponikabili
Ni nani atakaeziba pengo hili
Uhai tamati mzunguko wa damu umesimama
Kama jahazi tayari lim......
Naskia jamaa waliimba songi hili kipindi wako sekondari kidato cha kwanza kama sikosei... ona tofauti ya vijana wq zamani na sasa ...