jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
kuna ile nyimbo ya lea umekwenda... sijajua aliimbia nani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimkuta lea amejilaza chini....prince dullysykes...kuna ile nyimbo ya lea umekwenda... sijajua aliimbia nani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huyu si ndio alichelewa tren😄😄😄🤣🤣mbona hata zamani alikuwepo side boy mnyamwezi pamoja na lavaboi
Nitakufaje1.Kamanda
2.Barua
3.Maji ya shingo
4.Rafiki-Jeby
5.Tutakukumbuka -GK
Dah zamani kulikua na ngoma bwana yaani huwezi peleka mbele ngoma yoyote ikipigwa hit tupu.
ndo uyo uyo pia aliwahi kujiita juma natureHuyu si ndio alichelewa tren😄😄😄
😄😄sema nyimbo za watu waliopinda inaanzando uyo uyo pia aliwahi kujiita juma nature
🤣🤣 sema nakubaliana na list yaKo mkuu yahaya ni mnoMa sana yaan had leo nkikutana na mtu akasema anaitwa yahaya nakua nae makini sana 🤣😄😄sema nyimbo za watu waliopinda inaanza
Mtoto iddy
Yahaya
Lava boy
Sele
Vijana walitoa kazi safi.🤣🤣mbona hata zamani alikuwepo side boy mnyamwezi pamoja na lavaboi
Mkiwa inahuzunisha zaidi kuliko Kamanda.Ongeza
6. Ksal- mkiwa
7. Q chief - namtafuta
Nyongeza kazi yake mola madee ft domokaya1.Kamanda
2.Barua
3.Maji ya shingo
4.Rafiki-Jeby
5.Tutakukumbuka -GK
Dah zamani kulikua na ngoma bwana yaani huwezi peleka mbele ngoma yoyote ikipigwa hit tupu.
Exactly mkuu Mimi shabiki wa kina dojo aseeeee hazi boi interview zao walikupa story za kuibiwa buti la rangi ya bagiaMziki ulikuwa zamani
Ukisikia hata interviews za wasanii wa zamani wana stori sana,interview zao
Zinavutia kuwasikiliza
Mziki sshv matukio kik nyingi mzkki kdg
Ova
Huu ni ukweli wakuu hii ni nyimbo ambayo hata ukiiskia tu hisia za kulia inakujia hii nyimbo ni nyimbo ambayo haitowahi kutokea kwenye muziki wa bongo flava [emoji119]🥲 hakuna na haitowahi kutokea nyimbo ya kuhuzunisha kama hii
kabsa mkuuDuu nahisi Jana tulikuwa pamoja wakati inapigw
Ayupo tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo SwaibaAngekuwepo rafiki nisingewaza rafiki kipenzi ninaye mpenda
Angekuwepo rafiki nisingewaza rafiki kipenzi ninaye mpenda
Ayupo Tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo Swaiba
Ayupo Tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo Swaiba
Na nukuu amaneno yake busara zake alikuwa mtu wa watu uyu mtu
Nuru aina mwanga mbele giza rafiki niliye mpenda amenitoka
Nilikuwa na marafiki sikatai lkn rafiki wa kwel bye bye
Akufa kwa ngoma donsalale siku yake ilisha fika pema alale
Uzuni isiyo kiwisha moyoni nashika tama sioni
Ananijia ndotoni swahiba ananiambia nisikonde
Rest in peace Mama
K sal -mkiwa1.Kamanda
2.Barua
3.Maji ya shingo
4.Rafiki-Jeby
5.Tutakukumbuka -GK
Dah zamani kulikua na ngoma bwana yaani huwezi peleka mbele ngoma yoyote ikipigwa hit tupu.
Kashakufa huyo, JEBIHatari sana, na ya yule alieimba angekuwepo rafiki nisingewaza!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue