Kibongo bongo nyimbo ya Daz Nundaz “Kamanda” ni nyimbo ambayo ukiiskia inaweza kukutoa chozi

Kibongo bongo nyimbo ya Daz Nundaz “Kamanda” ni nyimbo ambayo ukiiskia inaweza kukutoa chozi

Ayupo tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo Swaiba

Ayupo tena Dunia swaiba niliye mpenda kwa kumoyo Swaiba

Na nukuu amaneno yake busara zake alikuwa mtu wa watu uyu mtu

Nuru aina mwanga mbele giza rafiki niliye mpenda amenitoka

Akufa kwa ngoma donsalale siku yake ilisha fika pema alale

Uzuni isiyo kiwisha moyoni nashika tama sioni
***********************

Nayanga bojo 👆👆👆🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
H ni mzozo kwa huyu ndugu
 
Sisi wa dansi hamna nyimbo kama "MTU PESA" ya mwana Masanja.
Rafiki yangu marehemu aliimba sana hapo.
Nikamkuta siku Sinza Meeda Pub aisee machozi yalinitoka.
Hali Mbaya.
Tulikua hatujaonana km miaka 15 hivi.
Hapo alikua jukwaa la extra bongo ya enzi hizo
Aliponiona akatupa mike tukumbatiane.
"Kaka ulikua wapi"?
ndio lilikua swali lake
Dah nikamtunza chochote nilichokuwa nacho nikaondoka.
Kuna Nyimbo nyingi sana mwana Masanja alizifanyia haki,
Kisa cha Mpemba etc.
T.o.t nako alimaliza sana.
Dah kuskia jamaa kafariki nilisikitika sana.
Ila yote mipango ya mwenyezi tu.
Kwenye dansi shujaa wangu ni TX Moshi
 
1.Kamanda
2.Barua
3.Maji ya shingo
4.Rafiki-Jeby
5.Tutakukumbuka -GK

Dah zamani kulikua na ngoma bwana yaani huwezi peleka mbele ngoma yoyote ikipigwa hit tupu.
Dooh!!!.. noma sana...hapo vyote byuma na hakuna mapenzi hapo. Sio hawa watoto wa kuimba " penyua nipachike rungu:
 
Ule ipo siku, na wenyewe unatia matumaini kwamba one day utatoboa, nausahua ni nani walio uimba please msaada
 
Huu ni ukweli wakuu hii ni nyimbo ambayo hata ukiiskia tu hisia za kulia inakujia hii nyimbo ni nyimbo ambayo haitowahi kutokea kwenye muziki wa bongo flava 🙌🥲 hakuna na haitowahi kutokea nyimbo ya kuhuzunisha kama hii
Nyimbo ni uwingi wa neno wimbo.
Wimbo ni umoja,
Nyimbo ni uwingi,
Ni vyema kuzingatia matumizi ya uwingi na umoja kwenye muktadha wa mazungumzo ili kupata mantiki sahihi...
 
Nyimbo ni uwingi wa neno wimbo.
Wimbo ni umoja,
Nyimbo ni uwingi,
Ni vyema kuzingatia matumizi ya uwingi na umoja kwenye muktadha wa mazungumzo ili kupata mantiki sahihi...
Wingi sio uwingi mkuu
 
Niaje.....Mandojo & Domokaya
Dingi.....Mandojo & Domokaya
Niaje bonge Moja la ngwateee napenda domo anapita baada ya nature kupita kwenye chorous yake.........umepigiwa simu twende. alihamis tunafany voko tunafanye mziki
 
Back
Top Bottom