Kichaka cha waliokuwa wanajificha kufika robo fainali CAF CL kimefyekwa rasmi

Pumbavu mkubwa wewe. Umeandika ujinga wa hali ya juu. Mnahangika na kujidharirisha humu JF kwa upuuzi na upumbavu wenu.
Naona umedemka! Shauli yako!! Mimi sikai karibu na washenzi uwa nawavunja migongo kwa kuwainamisha! Wewe jipendekeze tu!
 
porojo za vijiweni hizi

badala ya kujifunza wanafanyaje umatafuta kichaka cha kujificha
Yaani Simba ameingia robo fainali champion's league mara nne! Amecheza robo fainali AFL mara moja! Aje afundishwe na timu ambayo imeingia robo fainali baada ya miaka 25? Kweli uko yanga wenye akili ni wawili tu
 
Mangungu fc wanakuja kukuzodoa na mipovu kama yote.
 
Kuna watu duniani mnatafuta sifa za kuwaletea matatizo. Usioni umejificha sana humu. Utapatikana tu. Hapa unatafuta sifa za kipuuzi,Japo kichwani uko empty lakini utetengenezwa hivyo hivyo unyooshe maelezo
 
Huyo unatafuta sifa tu za kijinga kwa Jambo ambalo amelitunga tu mwenyewe ili kujaribu kupata sifa. Hajui madhara yake kwa hiyo lugha yake. Na hajui chochote kuhusu alichokiongea,ila anasikia tu.
 
Mbumbumbu akiwa kwenye next level ya utaahira

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Yaani Simba ameingia robo fainali champion's league mara nne! Amecheza robo fainali AFL mara moja! Aje afundishwe na timu ambayo imeingia robo fainali baada ya miaka 25? Kweli uko yanga wenye akili ni wawili tu
Kwahiyo Chief Simba kafika mara zote hizo nao huwa wanadunga sindano?
 
Kuna watu duniani mnatafuta sifa za kuwaletea matatizo. Usioni umejificha sana humu. Utapatikana tu. Hapa unatafuta sifa za kipuuzi,Japo kichwani uko empty lakini utetengenezwa hivyo hivyo unyooshe maelezo
Nadhani kwa heshma viongozi wa Yanga wapite hapa jukwaani na wathibitishe tuhuma hii kama ni kweli au laa!

Kama ni tuhuma basi jf isaidie kupatikana kwa mtu huyu..
 
Pole sana unateseka ukiwa wapi? Hakika Makolo mnatuchanganya. Mara Yanga inapata ushindi wa tiGo pesa,mara marefa,mara Majini sasa madawa ya kuongeza Nguvu. Kama ni kweli madawa au majuni au tiGo pesa kipigo cha goli[emoji870] mbona mmemtimua Robertinho.
 
Kuna watu duniani mnatafuta sifa za kuwaletea matatizo. Usioni umejificha sana humu. Utapatikana tu. Hapa unatafuta sifa za kipuuzi,Japo kichwani uko empty lakini utetengenezwa hivyo hivyo unyooshe maelezo
Ona hii kenge! Wewe malaya njoo unipe tendo!!
 
Ujue mnatuchanganya sasa
Sasa tushike lipi?

Uchawi?
Majini?
Bahasha?
Dawa za kusisimua misuli?

Semeni moja na kuweni na msimamo nalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…