Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?


Mwanakijiji ni wewe ninaekufahamu umeandika huu ujumbe au umeibiwa simu?
 
Hivi mnadhani Rais anaamka tu na kusema fulani kuwa fulani na fulani atakuwa fulani? Ni ngumu sana kumkamata Rais kwenye mitego midogo kama hii. Siri za Ikulu ni nyingi hujuibkumetokea nini.
 
Embu tuone katiba inasemaje kidogo
 
Nimekuelewa lakini hapa lengo ni kutengeneza mazingira ya "plunder with impunity"

Huyu Jiwe ana operate na oligarchy yake iliyo royal kwake. Tukubali tulikosea kumpa nchi atawale, tusubiri the worst to come from him hadi aje atoke ofcn.
Upo sahihi mkuu Ndugai na wabunge wa ccm walisema hawataki kufanya nae kazi kwa maagizo ya jiwe obvious hili lilitegemewa.
 
Mkuu uzuri mleta mada wote tunamjua dishi lilishayumba siku nyingi hataki tena kuusimamia ukweli ila umempa za uso.
 
Hapa umeandika riwaya ya kufikirika maana hakuna hata kifungu kimoja cha sheria ulichoonesha kuegemea.

Unaweza kuwa sahihi au usiwe sahihi lakini kwa mambo yanayohusu sheria na katiba, nguvu ya hoja ni lazima iegemee kwenye vifungu vya katiba na sheria kuliko kuandika kama mpiga debe.
 
Mkuu badala ya kutoa povu ungeweka hivyo vifungu vya katiba vilivyokiukwa.. Vinginevyo na wewe umejambajamba tu hapa
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Aisee... Bavicha mna hoja za kipumbavu!
 
Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye... Mithali 26:4

Watahangaika sana na JPM lakini ukweli utabaki kuwa ukweli zile pesa walizokuwa wanakula watazitapika tu watake wasitake. Hapa kazi tu JPM
 
Naijali nchi yangu bashite wewe uko kwenye unfalme kula kumbuka kusaza Magufuli ni fisadi na wewe team endelea kuenjoy for now lakini mutaishia ukingoni tu
Hivi Lowasa nae akiishia ukingoni eti?
Si baadae mlitaka awe rais wenu?
 
2020 nami nagombea urais kupitia ccm iwe mvua iwe jua
Nalog off
 
Then, ataenda kuendelea na shughuli zake nyingine za binafsi.
Mwanakijiji unaelewa unachochangia. Umri wa kustaafu ni miaka 60. CAG hajafikisha. Hapo amestaafu au amestaafishwa?

. Umri wa CAG kustaafu ni miaka 60
. Akistaafu haruhusiwi kuwa mtumishi wa umma
. Kama umri wa kustaafu haujafika, ina maana hajastaafu. Ataendelea kuwa mwajiriwa wa serikali kwa nafasi ipi bila ya kuwa mtumishi wa umma?
. Hiyo ndiyo sababu ya wakati wote tulipokuwa na uongozi wenye hekima, hakuna CAG aliyeondolewa kwenye nafasi yake kabla ya kufikisha umri wa miaka 60.
. Uongozi siyo sheria na kanuni pekee yake bali ni pamoja na busara ya kuamua ufanye nini ili kuepusha migongano.
 
JPM hawezi kuwa worse kuliko Che-nkapa au JK. Haitawezekana, hizo ndio chuki ambazo hazizingatii maendeleo yanayoletwa katika kipindi hiki cha awamu ya 5.
Hivi kikubwa alichofanya Magufuli kumzidi Mkapa na Kikwete ni nini? Kwa maendeleo ya jumla ya kila sekta, the current regime has done incomparably much less.
 
Hivi kikubwa alichofanya Magufuli kumzidi Mkapa na Kikwete ni nini? Kwa maendeleo ya jumla ya kila sekta, the current regime has done incomparably much less.
Mkapa alishiriki kuwauzia shares SA za makampuni yetu ya NBC, Air Tanzania, Tanesco etc kwa bei ya peremende, na wao wakayaua kwa kifo cha mende. JK aliruhusu waporaji wa rasilimali na kuiba twiga wetu na kufilisi taifa na kutembeza bakuli huko Ulaya. JPM karudisha nidhamu serikalini na kuweka kipau mbele kufufua mashirika yaliyouzwa na kutokutegemea bakuli huko ulaya. mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…