Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Kuondoka kwa hao watu MUNGU alikusema zaman kuwa waondosheni msiwaache hata mmoja kwa hao watakuwa mwiba kwenu(mbigiri)lkn waliwaacha na wengine kuwaoa kama kina delira matokeo yake ndo haya,wapalestina si mahala pao pale
 
Wote kidini ni Waongo sababu trump sio bloodline ya yacob na hao akina netanyau pia sio bloodline ya yacob. Bali ni masinagogi ya shetani.
 
Kilete hapa hicho kitabu cha taurati na injili ,unaonesha mnacho ,

Ukileta ni tag
Biblia nilikuletea mimi.Tafuta vitabu usome,na kama hukipati wakati kimetwaja kipo, jiulize kuna nini mbona viongozi wangu ,Wa kikiristo hao walioko makao makuu,hawatupi vitabu hivi,kumefichwa nini?
 
Wanasema israel ni kitovu cha dini tatu uyahudi, ukristo na uislam, kwani uislam ulianzia israel?
ukitaja dini basis kila eneo ktk dunia hii itakua no milki ya din husika coz dunia yote inamilikiwa na mungu hvyo sehem zote za dunia tulitakiwa kuish kutokana na mfumo alioutaka mungu kwa hyo uislaam kutoanzia huko haimaanish kuwa uislaam hauhusiki hapo uislaam umehusika kutokana na histolia iliyotangulia ya minabii ya mungu kupitia Quran ambayo imewataja akina mnabii mussa ibaraha issa-yesu na wengne weng pamoja na vitabu vyao
 
ckiriza ndg ifi unatambua wayahud ambao mnabii wao n mussa hawakupenda kusikia kuna mtume atakaekuja kuwa in yesu na hats baada ya kuja kwake wakampinga lakin haimaanish kuwa mtume yesu hamtambui mussa na histolia take coz aliletwa na mungu Huyo huyo aliemleta musa hali kadhalika kwa watu wa yesu hawakupenda kusikia kuwa kuna mtume mungine atakuja baada yak na ndo maana hats baada ya kuja kwake hajayasahau sehemu zote za msing ambazo waliotangulia kabla yake yalikua maeneo matakatifu mbele za mungu in short angalia chain hapo chin halafu tafakar
 
Ni kweli mkuu hii mambo nilipewa tu na Mungu ina ukakasi kidogo

Kwanza kujiuliza kipindi anapewa ilo eneo lilikuwa tupu kwa maana halikaliwi na watu au? Na alie wapa tuseme Mungu hakuzingatia watu waliokuwa wanaishi hapo kabla kama sikosei kuna andiko linasema waue watu wote utakao wakuta mji huo,hapa kuna kama upendeleo ni kwanini nasi wote tunasema ni mfano wa mungu/watoto/waja wake lkn wengine ndo waonekane wana haki kuliko wenza wao tena mbaya upendeleo unao ratibiwa na baba muumba

Tuje ktk dhana ya baraka, kwanini eti tukiwabariki watu/jamii fulani nasi ndo tunabarikiwa, je hili tabaka la ubora nini chanzo chake nasi kama binaadam tulio huru kufikiri na kutenda ni sawa kweli mungu atupe hizi daraja za ubora na bila hata kufikiria na kujiuliza tunaona sawa tu hapa kuna ukakasi wa dhana ya ubora na unyonge na mbaya umetolewa na muumba juu ya viumbe wake ( Nina mashaka hapa haya madaraja ya ubora isije ikawa binaadam kajipa kwa sababu zake za kibinaadam tu kwa kutumia eti vitabu vitakatifu) maana haielezeki eti Mungu ndo atoe upendeleo huo why?

Sipingi maandiko yoyote ya imani zetu lakini hainizuii kutafakari kama mtu huru na ambae hafungwi na myororo wa historia na hasa ulioegemea ktk eti kitabu kitakatifu tu kuliko hali halisi ya nyakati hizi (pia hapa si wote wanaoamini hicho kitabu kama msingi wake ni kitabu tu) kwa ufupi na kwa mtizamo wangu dhana ya ubora kwa jamii fulani na mbaya imetolewa na muumba wa vyote huwa siielewi kabisa
 
Katab
katabiriwa kwenye kitabu kipi?
 
Kwanza fanya utafiti, hichi kinachoitwa biblia ni maneno ya mungu au ni ya watu.

Ukiisoma Quran, inasema hakuna aliembora mbele ya Allah isipokuwa MCHA MUNGU. Kwaio uwe muarabu, mzungu au mwafrika kama si mcha mungu huna ubora kwake.
 
Walio kuwa wanaishi katika hilo eneo walikuwa wakiabudu na kuitukuza miungu, mabaali na maashera hivyo Mungu ndio akamua kuwapokonya nchi yao na waangamizwe pengine wakawe fundisho kwa wale wa aina hiyo. Kwa nini wao mulize Mungu.

Kuhusu Israel uzao wa Yakobo kuwa taifa teule pia muulize Mungu ilikuwa vipi akaamua manabii kupitia katika uzao huo. Hata yeye Mungu/Bwana Yesu kuja duniani alizaliwa katika uzao wa Daudi myahudi? Maana kama Bwana Yesu angezaliwa katika uzao wa wagunya kwa mfano penginepo wagunya ndio wangekuwa taifa teule.

Ni wazi shetani naye ana watu ambao ni taifa teule lake na kwa hila zake akataka kujinasibisha na hilo taifa teule la Mungu.

Muhimu ni kujitahidi kuzishirikisha na kutumia akili zetu hizi za uwanadamu maana tutawajua kwa matendo yao ila hapo sasa unafiki na ugumu wa nyoyo za binadamu kuukubali huu ukweli mchungu ndio inakuwa kimbembe.




 
mtume muhamad na waislam kiujumla wanawafahamu yesu,musa,Ibrahim, zakaria ISIHAKA yakub na kadharka kupitia quran

mtume ISSA(yesu) anamtambua muhamad lakin watu wake wanamkana muhamad na watu wake muhamad lakin Huyo2 yesu anawafaham akina musa,ibrahima na chain yote.

njoo sasa kwa musa,mwenyewe anamtambua yesu na Muhammad kwa mujibu was Qur'an lakin watu wake hawawatambui yesu na watu wake wala muhamad na watu wake wao wanawafahamu tu kuanzia mtume wao na waliokafuata kabla yake

NB:makundi hayo mawil ya chin sio wote ndo ndo wanapinga kwa maana wapo wayahud walimkubar yesu na wamemkubal muhamad na wapo wakiristo wanakubal uislaam na uislaam unatambua mitume wake wote waliokuja kabla ya Muhammad na unaamin wote hao walitumwa kufundisha iman moja mfumo mmoja was maisha ya unyenyekevu mbele za mungu ndo tofaut za majina ya din ilipotokea
 

Uislam ulianzia Saud Arabia na akina Mohamad
Mohamad anazaliwa, anatambaa, ana anza kuongea na kutembea Wayahudi na Wakristo wana muangalia
Uislam ulianzia toka enzi za Adam na Hawa. Soma Quran ujuwe ukweli Acha kukamatiwa akili.
 
Asante kwa kutufungua macho mkuu ila nadhani, kwa wakati huu, msingi wa kisiasa ni muhimu zaidi kutukiwa maana kuliko mrengo wa kidini.
 
Achen kuzaa wtt nje ya ndoa Ishmael Alitangulia Kaanan lkn ulikuwa nje ya Agano Hvyo nchi si yake Yakobo mbalikiwa ndiye mmiliki halali hao wengine watafute pa kwenda angalizo usinchukie Mimi muulize MUNGU aliye juu
Kwa hiyo baba Abraham alikuwa malaya ?? Hadi kuzaa nje ya ndoa ???
 
Kwa hiyo baba Abraham alikuwa malaya ?? Hadi kuzaa nje ya ndoa ???

Unachotakiwa ujue ni kuconnect dots. Shetani alimdanganya Hawa kwa hila na Hawa akamshawishi Adamu wakamuasi Mungu. Sarai/Sara akamshawishi Ibrahimu akamzaa mtoto nje ya agano lake na Mungu.
 
Hapa umeandika ukweli mtupu, inaonekana umebobea kwenye maswala haya.
 
Tatizo huu mgogoro wanatajwa waislam na wayahudi tu ila wakristo hawatajwi sijui ni kimkakati au bahati mbaya, nataka kujua wakristu walioa maeneo hayo ya Jerusalem wapo upande upi, wa Israeli au Palestinia?
mkuu wakristo wapo asilimia 2% tu za raia wote (kati ya hao 80% ni waarabu iliyobaki ni wahamiaji wasio pata uraia),wayahudi wapo 74.9% na muslim 20.8%.wayahudi hawautambui ukristo.
 
Kwa hiyo baba Abraham alikuwa malaya ?? Hadi kuzaa nje ya ndoa ???
Kosa kubwa alilofanya Abraham ni kuufanyia kazi ushauri wa mkewe kutembea na kijakazi wake ndo yakapelekea hadi leo uzawa wake kutopatana.
Tukiambiwa hakunaga balance sheet kati ya mke na mume tunakuwa wabishi mwishoni yanatukuta mabalaa.
 
Yaani kama leo 21st Century ustaarabu wa wanadamu wanatumia "dini"/"fiction" kama msingi wa kuamua mambo nyeti ya ustaarabu mzima wa humanity basi tutakua na matatizo makubwa sana na yameshatushinda kuyakabili.

"Dini" ni concept moja ya uongo na kitapeli na ya kizandiki mno which can never hold any water....Hao waisrael na mungu wao wanamtambua wao waendelee nae wao kama wao.....wasilete upuuzi wao kwa jamii ingine isiyo-subscribe kwenye huo ujinga wao wanaouamini wao...

Ni ujinga wa hali ya juu kwenda mahali na hoja ya kidini ku-claim something
 
Kosa kubwa alilofanya Abraham ni kuufanyia kazi ushauri wa mkewe kutembea na kijakazi wake ndo yakapelekea hadi leo uzawa wake kutopatana.
Tukiambiwa hakunaga balance sheet kati ya mke na mume tunakuwa wabishi mwishoni yanatukuta mabalaa.
Ugomvi haukuanza hapo.Mhayudi alipokataa kumtambuwa Yesu,na kumuita mtoto wa nje ya ndoa ndio tatizo limeanzia hapo.Kama myahudi angemtambua Yesu,tatizo lisingekuwako.Laana ya kutomtambua Yesu,ndio inawatafuna waisral,itawatesa daima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…