Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Kidini Israel na Trump wapo sahihi, kisheria Wapalestina wapo sahihi

Haya Gavana/mwl hapo post 171:

Umetaja/Nukuu Kumbukumbu la taurati 18.
Hebu anzia mstari wa 16-22. (The Promise to Send a Prophet).

Mussa alikuwa anaongea na Wana wa Israel akiwaeleza kuhusu kuchukua tahadhari juu ya nchi ya ahadi wanayo iendea ni maagizo ya Musa aliyopewa na Mungu hapo mlima Sanai, pamoja na mambo mengine ya jinsi ya kumjua nabii/prophet aliyetumwa na Mungu kwao. Ismail si kati ya wana wa uzao wa Yakobo/Israel. Uongo mwengine huu mweupe pee.

Kwa muktadha huu labda mwl Gavana tusaidie kuweka family tree ya Ismael inayo muunganisha na Bwana Mtume SAW.


Bishara yenye nguvu imo katika Mathayo 21:33- 40.

Hii ni mojawapo ya methali za Yesu ambamo ndani yake mna utabiri wa kufika Mtume Mtukufu. Bishara yenyewe ni hii:-

“Kulikuwa na mtu mwenye nyumba naye alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo ndani yake, akajenga mnara akapangisha wakulima akasafiri.
Wakati wa matunda ulipokuwa karibu akawatuma watumishi wake kwa wale wakulima, wapokee matunda yake. Wale wakulima wakawakamata watumishi wake, huyu wakampiga na huyu wakamwua, na huyu wakampiga kwa mawe.

Akawatuma tena watumishi wengi kuliko wa kwanza, ikawa tena vile vile. Mwisho akamtuma mwanawe kwao, akisema watamsitahi mwanangu. “

Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi haya na tumwue, tuutwae urithi wake, Wakamkamata wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.

Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu atawatendaje wale wakulima? Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya, na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.

Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Kwa sababu hiyo nawambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake. naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika, na yeyote ambaye litamwangukia litamsaga tikitiki.

Wakuu wa makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano yake, walitambua ya kuwa anawanenea wao. Nao walipotafuta kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwona kuwa nabii,”

Katika methali hii iliyo nzuri Yesu ameeleza historia ya mfululizo wa kuja kwa Mitume.

Ni wazi hapa kwamba shamba la mizabibu ndiyo ulimwengu, wakulima maana yake ni walimwengu kwa jumla, matukio ambayo bwana wa shamba alitaka kuvuna ndiyo wema, uaminifu na ucha-Mungu, watumishi ndiyo manabii wa Mungu waliokuja duniani mmoja baada ya mwingine; mwana ndiye Yesu aliyekuja baada ya mfululizo wa manabii wengi. Mwana huyu aliadhibiwa na wakulima. Baada ya kusema mambo haya, Yesu ameendelea kunena juu ya “Jiwe” walilolikataa waashi, hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.”

Jiwe lililokataliwa ndiyo wazao wa Ismaili, waliodharauliwa na wana wa Isihaka.

Kulingana na bishara hii ya Yesu, mtu mmoja angekuwa jiwe kuu la pembeni - “Muhuri wa Manabii,” katika lugha mashuhuri ya Qur'an tukufu - hangekuwa nabii wa cheo cha chini, bali mfano wa manabii atakayeleta Sheria ya mwisho na kamili toka kwa Mwenyezi Mungu.

Kuinuliwa kwa Nabii toka katika nyumba ya Ismaili lilionekana jambo geni, kwani wengi katika mfululizo wa manabii wa hapo mbele walitoka katika nyumba ya Isihaka (Israel).

Lakini Yesu anasisitiza ya kuwa Mwenyezi Mungu ataondoa ufalme wake kutoka nyumba ya Israeli na kuwapa wana wa Ismaili, watakaotoa matunda yake; yaani wana wa Ismaili ndiyo watakaokuwa taifa litakalodumisha uchaMungu na ibada ya Mwenyezi Mungu duniani.

Kila mtu anaweza kuona hapa ya kuwa hapana mtu yeyote aliyedai utume baada ya Yesu, na akafanikiwa, isipokuwa Mtume mtukufu Muhammad s.a.w.

Ni yeye ambaye mafundisho yake yalihitilafiana na dini ya Mayahudi na akavunja kabisa nguvu za dini hiyo. Ni yeye ambaye taifa lake lilidharauliwa na kuchukiwa.

Nabii Muhammad s.a.w. ndiye mjumbe wa Mungu wa pekee aliyejaaliwa kushinda maadui zake wote katika uhai wake, hivyo ni yeye tu ambaye ndiye lile jiwe ambalo yeyote aliyeanguka juu yake alivunjika-vunjika na yeyote liliyemwangukia likamsaga tikitiki.

Wakristo wamekosea sana kwa kudhani Yesu ndiye “Jiwe” linalotajwa hapa. Lakini wanasahau ya kuwa Yesu alikuwa Mwisraeli, hali yeye amesema “Ufalme wa Mungu utaondolewa kutoka kwa Waisraeli na kupewa taifa jingine,” yaani Waismaili. Isitoshe, ikiwa jiwe ni Yesu, basi ingefaa kufahamishwa aliwasaga akina nani tikitiki
 
Usiandike mistari mingi haisidii lolote andika na ile kuhusu Bwana Yesu na mwanake msamaria pale kisimani ilikuwaje wakachangamana. Uko mujiza wa Bwana Yesu wa Kulisha maelfu kadhaa mikate na samaki Aliufanya mara mbili wajua ilikuwa wapi na wapi? Akimaanisha nini?


Wewe kama unaipinga hiyo mistari na maneno ya Yesu , Lete hiyo mistari yako , hujakatazwa utufahamishe
 
Hapa Bwana Yesu/Mungu anazungumzia kurudi kwake mara ya pili hapa duniani atakapokuja kuuhukumu ulimwengu huu na akiwa kauvaa Uungu wake si kama hii mara ya kwanza ambapo aliuvaa uwanadamu. Hapa ndio mfano mmoja wapo wa kuonesha jinsi zile nafsi tatu za Mungu/Bwana Yesu zinavyo fanyakazi/kujifunua kwa wanadamu. Hivyo tu, very simple and crystal clear.

Kumbe kifo sio adui leo ndio na jua, na ukijua hili usije kustaaja ya kuwa hata dhambi iliyopelekea adhabu ya kifo si adui.

Lakini cha ajabu zaidi ni pale yule aliyeteswa , kudhalilishwa, kuuwawa na Wayahudi kuonekana eti huko ndio kupendwa na kukubalilika.

Pia injili inapo hubiriwa kuanzia Roma na kwengine ulimwenguni kurudi Yerusalem hiyo sio kuonesha ufalme ulinyanganywa Wayahudi na kupekekwa kwa watu wengine. Leo Trump anaposimama na kuizungumzia Yerusakemu huko si kunywanganywa ufalme kwa wayahudi. Ukiende uyahudi sehemu karibu zote zenye kumbukumbu ya Bwana Yesu zilinunuliwa , kumilikiwa na kutuzwa na kanisa Katoliki Wayahudi hawana habari ya kutunza kumbukumbu za mfalme wao.

Lakini Petro aliambiwa na Bwana Yesu,"wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu ni talijenga kanisa langu." Hatushangai kuona kanisa la Roma kutunza kumbukumbu za Mfalme Bwana Yesu. Maana Petro alifika mpaka Roma katika kulieneza/kulijenga kanisa la Bwana Yesu.

Muhimu kukumbuka unabii huko nyuma hakusema kukataliwa tu, ilikuwa kukataliwa kuteswa na kuuwawa




Bishara yenye nguvu imo katika Mathayo 21:33- 40.

Hii ni mojawapo ya methali za Yesu ambamo ndani yake mna utabiri wa kufika Mtume Mtukufu. Bishara yenyewe ni hii:-

“Kulikuwa na mtu mwenye nyumba naye alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo ndani yake, akajenga mnara akapangisha wakulima akasafiri.
Wakati wa matunda ulipokuwa karibu akawatuma watumishi wake kwa wale wakulima, wapokee matunda yake. Wale wakulima wakawakamata watumishi wake, huyu wakampiga na huyu wakamwua, na huyu wakampiga kwa mawe.

Akawatuma tena watumishi wengi kuliko wa kwanza, ikawa tena vile vile. Mwisho akamtuma mwanawe kwao, akisema watamsitahi mwanangu. “

Lakini wale wakulima walipomwona yule mwana, wakasemezana wao kwa wao, Huyu ni mrithi haya na tumwue, tuutwae urithi wake, Wakamkamata wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.

Basi atakapokuja yule bwana wa shamba la mizabibu atawatendaje wale wakulima? Wakamwambia, Atawaangamiza vibaya wale wabaya, na shamba la mizabibu atawapangisha wakulima wengine, watakaomlipa matunda kwa wakati wake.

Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.

Kwa sababu hiyo nawambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake. naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika, na yeyote ambaye litamwangukia litamsaga tikitiki.

Wakuu wa makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano yake, walitambua ya kuwa anawanenea wao. Nao walipotafuta kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwona kuwa nabii,”

Katika methali hii iliyo nzuri Yesu ameeleza historia ya mfululizo wa kuja kwa Mitume.

Ni wazi hapa kwamba shamba la mizabibu ndiyo ulimwengu, wakulima maana yake ni walimwengu kwa jumla, matukio ambayo bwana wa shamba alitaka kuvuna ndiyo wema, uaminifu na ucha-Mungu, watumishi ndiyo manabii wa Mungu waliokuja duniani mmoja baada ya mwingine; mwana ndiye Yesu aliyekuja baada ya mfululizo wa manabii wengi. Mwana huyu aliadhibiwa na wakulima. Baada ya kusema mambo haya, Yesu ameendelea kunena juu ya “Jiwe” walilolikataa waashi, hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.”

Jiwe lililokataliwa ndiyo wazao wa Ismaili, waliodharauliwa na wana wa Isihaka.

Kulingana na bishara hii ya Yesu, mtu mmoja angekuwa jiwe kuu la pembeni - “Muhuri wa Manabii,” katika lugha mashuhuri ya Qur'an tukufu - hangekuwa nabii wa cheo cha chini, bali mfano wa manabii atakayeleta Sheria ya mwisho na kamili toka kwa Mwenyezi Mungu.

Kuinuliwa kwa Nabii toka katika nyumba ya Ismaili lilionekana jambo geni, kwani wengi katika mfululizo wa manabii wa hapo mbele walitoka katika nyumba ya Isihaka (Israel).

Lakini Yesu anasisitiza ya kuwa Mwenyezi Mungu ataondoa ufalme wake kutoka nyumba ya Israeli na kuwapa wana wa Ismaili, watakaotoa matunda yake; yaani wana wa Ismaili ndiyo watakaokuwa taifa litakalodumisha uchaMungu na ibada ya Mwenyezi Mungu duniani.

Kila mtu anaweza kuona hapa ya kuwa hapana mtu yeyote aliyedai utume baada ya Yesu, na akafanikiwa, isipokuwa Mtume mtukufu Muhammad s.a.w.

Ni yeye ambaye mafundisho yake yalihitilafiana na dini ya Mayahudi na akavunja kabisa nguvu za dini hiyo. Ni yeye ambaye taifa lake lilidharauliwa na kuchukiwa.

Nabii Muhammad s.a.w. ndiye mjumbe wa Mungu wa pekee aliyejaaliwa kushinda maadui zake wote katika uhai wake, hivyo ni yeye tu ambaye ndiye lile jiwe ambalo yeyote aliyeanguka juu yake alivunjika-vunjika na yeyote liliyemwangukia likamsaga tikitiki.

Wakristo wamekosea sana kwa kudhani Yesu ndiye “Jiwe” linalotajwa hapa. Lakini wanasahau ya kuwa Yesu alikuwa Mwisraeli, hali yeye amesema “Ufalme wa Mungu utaondolewa kutoka kwa Waisraeli na kupewa taifa jingine,” yaani Waismaili. Isitoshe, ikiwa jiwe ni Yesu, basi ingefaa kufahamishwa aliwasaga akina nani tikitiki
 
Wewe kama unaipinga hiyo mistari na maneno ya Yesu , Lete hiyo mistari yako , hujakatazwa utufahamishe

Wewe umejawa na pepo chafu la upinga Kristo so usifikiri kila mtu ana hilo pepo(jini samuli). Nimeonesha uongo mweupe ulioleta humu unataka kupotezea too little to late, wakuelewa wamesha elewa kuwa upo ulaghai na upotoshaji mwingi mno.
 
Unatumia references gani kuipa nguvu argument yako.Kama hujuwi basi kaa kimya au uliza utaambiwa.Qur'an haijaacha kitu kuhusu habari za Israel na habari za Nabii Ibrahim(a.s) kuwa alikuwa ni muislam hata nabii yakobo(a.s).
Nabii Ibrahim(a.s) ndiye aliyejenga msikiti wa alsqa na mwanaye Ismail.Quran imeeleza hoja zote haijaacha kitu.
Quran imekuja lini ? Labda hujui hilo

Kwahiyo.leo mtu akiibuka na kitabu,aseme Ibrahimu alikuwa mbudha , tukubali tu?

NAKUULIZA SASA ,KAMA QURAN IMEELEZA VIZURI KUHUSU ISRAELI

Naomba nipe chimbuko au origin ya NENO ISRAEL ,

Quran hiyo hiyo inamtaja ibrahimu, lakini haisemi ni ibrahimu wa wapi

Hata baba wa ibrahimu wa Quran ni.tofaut na baba wa IBRAHIMU WA BIBLIA YA WAYAHUDI NA WAKRISTO

sasa utasemaje Ibrahimu mme wa sarai ndio huyo wa quran?

Quran imekuja miaka ya 600 AD Imeropoka eti ibrahimu ni muislamu, na wewe unaiamini?

Kwahiyo hata leo akitokea mtu akakupa kitabu akakwambia ibrahimu ni mshinto ,UTABISHAJE ?

Halafu acha kudanganya watu kuhusu Alqsa. ,huo msikiti umejengwa Miaka ya AD

"The golden Dome of the Rock is a shrine built over the foundation stone in 691 CE. The Crusaders captured Jerusalem and the Temple Mount in1099 and converted the Al Aqsa Mosque into a palace and the Dome of the Rock into a church. Saladin captured Jerusalem in 1187 and restored the mosque."

UNADANGANYWA MADRASA ,UNASHINDWA HATA KUFATILIA

Hapo lilikuwepo hekalu la Mfalme suleman, kipind cha Yesu lilijengwa tena kwa miaka 40,

Yesu akatabiri litaboboshwa na halitasalia jiwe juu ya jiwe(Mathayo 24:1-2)

Alisema haya mwaka 30AD

Baada ya miaka 40, yaani mwaka 70AD Majeshi ya warumi yalivamia na kuwaua wayahudi na kulibomoa HEKALU lililojengwa kwa dhahabu ,na gharama kubwa

NA UNABII WA YESU UKATIMIA,

halafu miaka 600 ya baadae mbele ANAKUJA MUHAMAD na kuwadanganyeni eti hapo palikuwa na msikiti ,na nyie mnakubali bila kuhoji na kufanya reasoning
 
Madhabahu ya Ibrahimu na Ismail ingetakiwa iwe ya kuchinja. Ile ibada ya Eid El Hajji ambayo inahusisha na kuchinja hivi inafanyiwa masjid Alqsa kweli?

.
Unatumia references gani kuipa nguvu argument yako.Kama hujuwi basi kaa kimya au uliza utaambiwa.Qur'an haijaacha kitu kuhusu habari za Israel na habari za Nabii Ibrahim(a.s) kuwa alikuwa ni muislam hata nabii yakobo(a.s).
Nabii Ibrahim(a.s) ndiye aliyejenga msikiti wa alsqa na mwanaye Ismail.Quran imeeleza hoja zote haijaacha kitu.
 
Wewe ni waajabu sana mkuu kama umeona hii mistari katika Biblia takatifu kwa nini huoni ile iliyo andika? Hivi, Now, all this happened in order to make what the Lord/God said through the prophet come true. " A virgin will become pregnant and have a son, and called Emmanuel" (which means, "God is with us") Matthew 2:22-23.

Nikuambie hivi moja ya njia kuu za utendaji wa Kimungu ni kutuma manabii wake kuwaletea ujumbe wanadamu kuhusu yatakayo tokea huko mbeleni, ndio wakati mwingine miaka dahari mbele. Kwenye hii nukuu ni nabii alitabiri kwa kutumiwa na . Mungu miaka mingi kabla ya Mungu/Bwana Yesu kuzaliwa na Bikira Mariamu. Mungu mwenyewe akiwa anaishi hapa duniani kama mwanadamu kati ya wanadamu yaani Bwana Yesu alifanya utabiri kuwa watakuja manabii wa uongo kwa jina langu, ndio wako sasa utasikia ooh tuna mkubali Issa lakini ukiangalia kipi wanafanya kinacho fanana na yale aliyo agiza Issa hata ukitafuta kwa tochi huoni.

Pahala pengine tukaambiwa humuhumu kwenye huu uzi Issa wa Quran si Bwana Yesu wa Biblia ni aina tu fulani ya unafiki, hila na ujanjaujanja kusema eti wanafanana. Na kama hili ni kweli basi jua hata hizo taurati, zaburi, mithali nk tunazo zitaja kutakuwa kuna walakini mkubwa maana vitabu vyote hivi vilitoka kwa Mungu/Bwana Yesu kupitia watumishi/manabii wake. Ndio mjue ile "watakuja kwa jina langu" ilikuwa na maana na angalizo kubwa/pana sana. Hallooo!!!

Emmanuel ni jina tu kama jinsi na wewe unavyoweza kuzaa mtoto ukamuita Emanuel, jina halimfanyi awe Mungu

Yesu kuitwa Emanuel na malaika, hata Ishmael aliitwa jina lake na Malaika ( maana yake Mungu anasikia)
 
Inakadiriwa by 2070 Ulaya karibia yote itakua ni itikadi za uislam na waislam wengi kuliko ata Uarabini! Wazungu walichoshindwa licha ya kupewa akili zaidi ni kuenda kinyume na maandiko yakiyo ktk Quran kua Uislam ndo Itakua dini kubwa kuliko zote....Wakaja na propaganda za ugaidi yani wanamwaga Silaha middle East km njugu wameuchafufua Uislam kwakila namna kua ni Dini ya fujo,ugaidi nk nk Ajabu wazungu na wachina,wahindi wanaoingia Uislam ni maelfu na maelfu apo wakashindwa kuelewa kua wanachafua mashariki ya kati lakin nchin mwao Uislam ndo unazidi kupaa...Trump akaja na Sera ya kuzuia waislam wasiende US lakin Uislam ndo unazidi kuimarika....Ulaya na Marekan Wakristo walishahasi makanisa yao siku nyiiingi labda Xmass na New year ndo wanaenda nje ya apo Makanisani utawakuta wazeee sana na wagonjwa tu na vijana wengi Ulaya hawana dini...
 
ACHA kuweweseka mkuu, nimenukuu vitabu vyenu vya hadithi , na insaiklopedia ya kiislamu , UNALETA VIDEO ZA YOUTUBE HAPA? mimi nikajua utakuja na aya au utanipinga kwa hoja zenye mashiko ,kuwa Wakureshi hawakufanya hayo kabla ya muhamad kuleta uislamu,uliobeba kila kitu cha makureshi,

NAOMBA NIKUONYE UKIENDELEA KUBAKI KWENYE UISLAMU , BILA KUFATILIA UMEANZA VIPI UTAENDA SHIMONI, USIPENDE KUMEZESHWA UJINGA eti ibrahimu,adamu, yesu walikuwa waislamu na wewe unafurahi, hata hujiulizi maswali madogo tu ,

KUHUSU ,MIMI , nimeshakuwa muislamu toka mtoto,mpaka pale nilipogundua ukweli na kumfata YESU KRISTO .

NGOJA NIKUFUNZE KIDOGO TU, KUHUSU mungu allah unayemuabudu ,usijue katokea wapi,

Neno "Allah" ni kifupi cha neno la kiarabu La-ilah, ambalo maana yake ni "mungu". Wakristo wa kiarabu na wapagani walitumia neno Ilah kwa maana ya Mungu.

Hata Biblia za kiarabu na kiindonesia leo hii hutumia neno "Allah" kwa maaana ya Mungu. Wakati wa nyuma neno linalofanana na hilo el lilimaanisha "mungu" wa kweli au uongo katika lugha za mashariki ya kati kama kiugariki, kikaanani na kiebrania.

Kabla ya Muhammad, kaaba jengo lililotunza sanamu 360 liliitwa Beit-Allah, au "Nyumba ya Allah".

Baba yake Muhammad ambaye alifariki kabla ya Muhammad kuzaliwa, aliitwa Abdullah maana yake, mtumwa wa Mungu.

HAPA NAOMBA UJENGE HOJA NA UWAULIZE MASHEHE HUKO MSIKITINI,KWANINI Baba wa muhamad hakuujua uislamu na alikuwa mpagani complete lakini alikuwa anafanya ibada kwenye alkaaba na alikuwa anaitwa abdu allah, ULIZA HILO SWALI ,JENGA HOJA KWA MASHEHE ,USIBULUZWE ....

Pia kabila la Wayahudi liliitwa 'Abdullah bin Salam kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 13 na. 362 uk.241.

Kwa Kukudhihirishia miongoni mwa sanamu/miungu iliyoabudiwa Maka uliitwa "Allah." Huyu alikuwa mungu maalum wa kabila la Wakureshi naye alikuwa na mabinti watatu maalum. (KAMA UNA HOJA YENYE NGUVU PINGA )

Ukilinganisha na nguzo 4 kati ya 5 za Uislam, watu wa Maka kabla ya Muhammad walifunga kwa pamoja siku moja, walitoa sadaka kwa maskini wao, walisali wakielekeza nyuso zao Maka, na walifanya hija ('Umrah) Maka, KAMA LEO WAUMINI WA KIISLAMU WAFANYAVYO, NI YALE YALE YALIYOFANYWA NA WAKURESHI WAPAGANI....

Kulikuwa na tofauti nyingi pia, lakini inashangaza kuona muendelezo wa matendo yasiyobadilika yaliyokuwa yakifanyika kwenye ibada za kipagani za kikureshi.

USIKARIRISHWE TU OHOO DINI YA HAKI ,MARA KIMEKWENDA KIMERUDI ,UTAPOTELEA SHIMONI
Kijana huujui Uislam japo inaonekana umejaribu kuusoma soma kwenye Wikipedia na makala km hizo na wengine tumezaliwa wakristo lakini tumeingia kwenye dini ya Kweli! Neno Allah au Abd Allah ku ni neno Mungu au Miungu haitofautian na Mungu au Miungu ambayo mababu zetu Africa waliabudu uko nyuma iwe ni jiwe,mizimu,mapango lakini Neno Mungu au Allah ,God nk nk litabaki kua ni supreme au kitu ambacho watu wa enzi hizo waliamini ni kizito ivyo walipaswa kukiomba hivyo Muahamad (Saw) alivokuja alikuta ni kweli watu wa Maca wanaabudu Miungu au Mungu wao Jiwe lakini aliwaelewesha kua Mungu au Allah sio huyo mnayemuabudu ndo akatoa mafundisho ni Mungu yupi wakuabudiwa! Sawa na Nabii Ibrahim (a.s) nae alikuta watu wanaabudu Mungu au Miungu ambae sie Huyu Mungu tunaemuabudu....Kwahiyo kijana Makala za Wikipedia zisikufanye ujifanye unaujua Uislam saana na uku hujui.....Wenzako Ulaya mamia kwa mamia wanaingia Dini ya Uislamu alioiacha Muhammad(Pbh)....
Hitimisho....Mungu ni jina au Neno lakin kila jamii waliamini Mungu wao awe jiwe au pango lina Supreme power ktk maombi yao usishangae Leo hii India nao wana Mungu wao japo wanaabudu Ng'ombe
 
Hapa Bwana Yesu/Mungu anazungumzia kurudi kwake mara ya pili hapa duniani atakapokuja kuuhukumu ulimwengu huu na akiwa kauvaa Uungu wake si kama hii mara ya kwanza ambapo aliuvaa uwanadamu. Hapa ndio mfano mmoja wapo wa kuonesha jinsi zile nafsi tatu za Mungu/Bwana Yesu zinavyo fanyakazi/kujifunua kwa wanadamu. Hivyo tu, very simple and crystal clear.

Kumbe kifo sio adui leo ndio na jua, na ukijua hili usije kustaaja ya kuwa hata dhambi iliyopelekea adhabu ya kifo si adui.

Lakini cha ajabu zaidi ni pale yule aliyeteswa , kudhalilishwa, kuuwawa na Wayahudi kuonekana eti huko ndio kupendwa na kukubalilika.

Pia injili inapo hubiriwa kuanzia Roma na kwengine ulimwenguni kurudi Yerusalem hiyo sio kuonesha ufalme ulinyanganywa Wayahudi na kupekekwa kwa watu wengine. Leo Trump anaposimama na kuizungumzia Yerusakemu huko si kunywanganywa ufalme kwa wayahudi. Ukiende uyahudi sehemu karibu zote zenye kumbukumbu ya Bwana Yesu zilinunuliwa , kumilikiwa na kutuzwa na kanisa Katoliki Wayahudi hawana habari ya kutunza kumbukumbu za mfalme wao.

Lakini Petro aliambiwa na Bwana Yesu,"wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu ni talijenga kanisa langu." Hatushangai kuona kanisa la Roma kutunza kumbukumbu za Mfalme Bwana Yesu. Maana Petro alifika mpaka Roma katika kulieneza/kulijenga kanisa la Bwana Yesu.

Muhimu kukumbuka unabii huko nyuma hakusema kukataliwa tu, ilikuwa kukataliwa kuteswa na kuuwawa


Mitume yote, tangu Adamu hadi Muhammad (SAW) waliletwa wakiwa na ujumbe huo huo: utiifu kikamilifu wa binadamu kwa Allah.

utiifu huu kwa Kiarabu unaitwa “Islamu,” pia unamaanisha, amani kati ya Muumba na na viumbe vyake.

Kinyume na majina Uyahudi na Ukristo, jina hili Uislamu limetolewa na Allah, Mwenyewe, kama ilivyotajwa katika Qurani Sura 5:3 "...Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu....."

Si “Uyahudi” wala “Ukristo” unaopatikana katika Biblia au kamusi ya Biblia.

Hakuna Nabii wa Kiisraeli aliyesema neno “Uyahudi.”

Yesu kamwe hajadai kuuanzisha Ukristo na kamwe hajajiita Mkristo.

Neno “Ukristo” limetajwa mara tatu tu katika Agano Jipya mara ya kwanza lilitumiwa na Wapagani na Wayahudi wa Antokia, mnamo mwaka 43 AD., muda mrefu baada ya kuondoka kwa Yesu na kuiacha dunia hii." Soma katika Matendo 11:26 “...
Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antokia.”

Baadaye, litumiwa na mfalme Agripa wa pili kamweleza Paulo katika Matendo 26:28 "Agripa akamwambia Paulo, Kwa maneno machache wadhani kunifanya mimi kuwa Mkristo."

Kwa hiyo jina Ukristo, kwanza kabisa lilitolewa na maadui wa Ukristo si marafiki.

Na hatimaye lilitumiwa na Petro katika waraka wake wa kumfariji mwenye imani, katika 1 Petro 4:16

"Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya..."

Mwislamu wa kwanza duniani si Muhammad (SAW), bali ni Ibrahimu, aliyejisalimisha kikamilifu kwa Allah.

Likini Uislamu ukiwa ni njia ya maisha umefunuliwa kwa Mitume mingine iliyomtangulia Ibrahimu, kama vile Adamu na Nuhu. Kwa hiyo, Uislamu ndiyo njia ya maisha ya wanadamu wote.

Swali :

Vipi Ibrahimu atakuwa Mwislamu?

Majibu:

Soma Mwanzo 11:31

. "Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko."

Kwa hiyo, Ibrahimu alizaliwa Uru wa Wakaldayo na hawezi kuwa Myahudi. Kwanza kwa sababu Uru wa Wakaldayo ilikuwa Mesopotamia, ambako kwa sasa ni sehemu ya Iraq.

Kwa hiyo, Yeye alikuwa ni Mwarabu zaidi kuliko Myahudi.

Pili neno “Uyahudi” limekuja baada ya kuishi kwa Yudah, mjukuu mkubwa wa Ibrahimu.

Soma zaidi, Mwanzo 12:4-5 Naye Abramu alikuwa ni mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani... nao wakaingia katika nchi ya Kanaani."

Kwa hiyo Ibrahimu alihamia Kanaani akiwa na miaka sabini na mitano na Biblia kwa uwazi inataja kuwa, Ibrahimu alikuwa huko akiwa ni mgeni. Mwanzo 17:8

"Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele, nami nitakuwa Mungu wao."

Sasa soma Mwanzo 14:13.

“Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania;...”

Vipi unamwita Ibrahimu Myahudi kama Biblia yenyewe inamwita Mwebrania jina ambalo maana yake ni mtu kutokea upande mwingine wa mto Euphrates.

Pia linamaanisha kufungamana na Eber, mjukuu wa Shem.

Sasa soma katika Mwanzo 32:28 kile kilichotokea kwa jina Yakobo baada ya mieleka na Malaika.

"Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe ukashinda."

Kwa hiyo Ibrahimu alikuwa ni Mwebrania. Na wajukuu wa yakobo walikuwa ni Waisraeli yakiwemo makabila kumi na mawili.

Yuda alipewa jina la utani la "Yahudi" kwa hiyo, wajukuu wa Yuda peke yao ndiyo waliokuwa Wayahudi kwa asili.

Na ili kumjua ni nani hasa ndiyo alikuwa Musa, soma Kutoka 6:16-20.

"Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, sawasawa na vizazi vyao; Gershoni, na Kohath, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia na thelathini na saba. Wana wa Gershoni; ni Lbni, na Shimei, sawasawa na jamaa zao. Na wana wa kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia na thelathini na mitatu. Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi sawasawa na vizazi vyao. Huyo Amramu akamwona Yokebedi ndugu ya baba yake; naye akamzalia Haruni, na Musa..."

Kwa hiyo, Musa hakuwa Myahudi kwa sababu hakuwa mjukuu wa Yuda lakini ni wa Lawi.

Musa alipewa Torati (sheria) kwa wana wa Israeli.

Swali : Unalifasiri vipi jambo hilo?

Majibu:

Kwa kuwa sisi tunatumia Qurani kama ni kipimo. Unaweza kuifafanua Biblia na kusahihisha maoni ya Kiyahudi na Kikristo kwa Muktadha wa Qurani.

Qurani ni kitabu kilichofunuliwa mwisho, hakijaharibiwa wala kughushiwa. Yaliyo ndani yake Allah ameyadhamini, katika Sura 2:2: "Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake;....." pia katika Sura ya 15:9 "Hakika Sisi ndio tulioteremsha mauidha haya (hii Qurani); na hakika Sisi ndio tutakayoyalinda."

Aya hii ni changamoto kwa wanadamu.

Ni ukweli wa wazi kuwa zaidi ya miaka elfu moja na mia nne imeshapita hakuna hata herufi moja ya Qurani hii iliyobadilishwa ingawa makafiri wamejaribu kwa kila liwezekanalo kuibadilisha, lakini wameshindwa kwa unyonge katika juhudi zao hizo. Kama ilivyotajwa katika aya hii tukufu:

"Hakika Sisi ndio tutakayoyalinda" na Allah, ameshailinda. Kinyume chake, vitabu vitakatifu vingine vyote (Torati, Zaburi, Injili, nk) vimeshaghushiwa kwa njia ya kuongeza, kufuta au kubadilisha asili yake.

Swali : Qurani inasema nini juu ya Ibrahimu na Musa linalothibitishwa na Biblia?

Katika Sura 3:65: “Enyi watu mliopewa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahimu, na hali Taurati na Injili havikuteremshwa ila baada yake? Basi je, hamfahamu?”

Na katika Sura 3:67: “Ibrahimu hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu, mtii; wala hakuwa katika washirikina.”

Katika Sura 2:140: “Mnasema (nyinyi Mayahudi na Manasara) kuwa Ibrahimu na Ismaili na Is-haqa na Yaaqubu na kizazi (chake) walikuwa Mayahudi (kama nyinyi)? Sema: “Je, nyinyi mnajua zaidi au Mwenyezi Mungu? Na ni nina dhalimu mkubwa kuliko yule afichae ushahidi alionao utokao kwa Mwenyezi Mungu? Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na hayo mnayoyafanya.”
 
Kijana huujui Uislam japo inaonekana umejaribu kuusoma soma kwenye Wikipedia na makala km hizo na wengine tumezaliwa wakristo lakini tumeingia kwenye dini ya Kweli! Neno Allah au Abd Allah ku ni neno Mungu au Miungu haitofautian na Mungu au Miungu ambayo mababu zetu Africa waliabudu uko nyuma iwe ni jiwe,mizimu,mapango lakini Neno Mungu au Allah ,God nk nk litabaki kua ni supreme au kitu ambacho watu wa enzi hizo waliamini ni kizito ivyo walipaswa kukiomba hivyo Muahamad (Saw) alivokuja alikuta ni kweli watu wa Maca wanaabudu Miungu au Mungu wao Jiwe lakini aliwaelewesha kua Mungu au Allah sio huyo mnayemuabudu ndo akatoa mafundisho ni Mungu yupi wakuabudiwa! Sawa na Nabii Ibrahim (a.s) nae alikuta watu wanaabudu Mungu au Miungu ambae sie Huyu Mungu tunaemuabudu....Kwahiyo kijana Makala za Wikipedia zisikufanye ujifanye unaujua Uislam saana na uku hujui.....Wenzako Ulaya mamia kwa mamia wanaingia Dini ya Uislamu alioiacha Muhammad(Pbh)....
Hitimisho....Mungu ni jina au Neno lakin kila jamii waliamini Mungu wao awe jiwe au pango lina Supreme power ktk maombi yao usishangae Leo hii India nao wana Mungu wao japo wanaabudu Ng'ombe
Nan kakwambia mm natumia wikipedia? Hahaaaa

Nimeweka vifungu na nukuu za vitabu vyenu unasema wikipedia

Halafu , Mungu wa kweli kujitofautisha na huyo wenu aliamua kujiita YWHW

NINGEKUONA UNA HOJA UNGEPINGA HIZO NUKUU NILIZOWEKA,

Halafu hakuna mtu anayefata dini et kisa ina mamia ya waumini, Mungu sio wa demokrasia, Weng wape,

Ndio maana Yesu alitutahadharisha na NJIA PANA maana ndio iendayo jehanum
 
Huna Tofauti na wasabato Masalia maana huwez muelewesha kwan ameshaliwa tango poli na Prophets wao wa zama hizi....Endelea kuamini uliyoyaamini...Nipo Jamii intelligence wenzako wa dini yako wanabishana hadi wengine kusema kuna nchi mfano Ethiopia hawatumii baadhi ya vitabu ktk Biblia kwan waliona waliyoyaona....Ni nani aliyeamuru Kitabu cha Enoki kitolewe ktk Biblia?
 
Hapa Bwana Yesu/Mungu anazungumzia kurudi kwake mara ya pili hapa duniani atakapokuja kuuhukumu ulimwengu huu na akiwa kauvaa Uungu wake si kama hii mara ya kwanza ambapo aliuvaa uwanadamu. Hapa ndio mfano mmoja wapo wa kuonesha jinsi zile nafsi tatu za Mungu/Bwana Yesu zinavyo fanyakazi/kujifunua kwa wanadamu. Hivyo tu, very simple and crystal clear.

Kumbe kifo sio adui leo ndio na jua, na ukijua hili usije kustaaja ya kuwa hata dhambi iliyopelekea adhabu ya kifo si adui.

Lakini cha ajabu zaidi ni pale yule aliyeteswa , kudhalilishwa, kuuwawa na Wayahudi kuonekana eti huko ndio kupendwa na kukubalilika.

Pia injili inapo hubiriwa kuanzia Roma na kwengine ulimwenguni kurudi Yerusalem hiyo sio kuonesha ufalme ulinyanganywa Wayahudi na kupekekwa kwa watu wengine. Leo Trump anaposimama na kuizungumzia Yerusakemu huko si kunywanganywa ufalme kwa wayahudi. Ukiende uyahudi sehemu karibu zote zenye kumbukumbu ya Bwana Yesu zilinunuliwa , kumilikiwa na kutuzwa na kanisa Katoliki Wayahudi hawana habari ya kutunza kumbukumbu za mfalme wao.

Lakini Petro aliambiwa na Bwana Yesu,"wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu ni talijenga kanisa langu." Hatushangai kuona kanisa la Roma kutunza kumbukumbu za Mfalme Bwana Yesu. Maana Petro alifika mpaka Roma katika kulieneza/kulijenga kanisa la Bwana Yesu.

Muhimu kukumbuka unabii huko nyuma hakusema kukataliwa tu, ilikuwa kukataliwa kuteswa na kuuwawa



Yesu mwenyewe amesema kuwa ametumwa kwa watu wa Israeli tu (Matayo 15:24)

"Akajibu, Akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli."

Pia Matayo 1:21 "Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao."

Yesu pia amesema kuwa hakuja kubadilisha ila kukamilisha (Matayo 5:17-18)

"Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie."

Swali:
Lakini katika Marko 16:15 Yesu amesema, "Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe."

Majibu:

Hilo linapingana na kile kilichotajwa hapo juu katika matayo 15:24 na Matayo 1:21.

Pili, Marko 16:9-20 zimeondoshwa katika Biblia nyingi.

The New American Standard Bible imekiweka kipande hiki katika mabano na ikaweka maelezo yafuatayo:

"Baadhi ya miswada ya kale mno inaondosha kuanzia aya 9 hadi 20."

Biblia ya The New World Translation of the Holy Scriptures inayotumiwa na Mashahidi wa Yehova inakubali kuwa miswada maalumu ya kale inaongeza maelezo marefu au mafupi baada ya Marko 16:8 lakini baadhi ya miswada hiyo inaondosha aya hizo.

Na Biblia ya The Revised Standard version inachapisha chini ya ukurasa rejeo lifuatalo:

"Baadhi ya mamlaka za kale zaidi inakileta hicho kitabu cha Marko na kukifunga mwishoni mwa aya ya 8..."

Hili linamaanisha kuwa ufufuo si kweli, kama ulivyoelezwa katika Marko 16:9.

UNAWEZA KUULIZA SWALI : Lakini Yesu amesema katika Matayo 28:19: "Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu."

MAJIBU:

"Mataifa yote" lazima ifafanuliwe kuwa ni yale makabila kumi na mbili ya Israeli, vinginevyo itapingana na Matayo 15:25 na Matayo 1:21.

Katika Biblia ya The New American Standard Bible na ya The New World Translation of the Holy Scriptures, kifungu hicho hakitafsiriwi kuwa, ni "all nations – mataifa yote" lakini kinatafsiriwa "all the nations, - yale mataifa yote," inayomaanisha yale mataifa (makabila) kumi na mbili ya Israeli
 
Nan kakwambia mm natumia wikipedia? Hahaaaa

Nimeweka vifungu na nukuu za vitabu vyenu unasema wikipedia

Halafu , Mungu wa kweli kujitofautisha na huyo wenu aliamua kujiita YWHW

NINGEKUONA UNA HOJA UNGEPINGA HIZO NUKUU NILIZOWEKA,

Halafu hakuna mtu anayefata dini et kisa ina mamia ya waumini, Mungu sio wa demokrasia, Weng wape,

Ndio maana Yesu alitutahadharisha na NJIA PANA maana ndio iendayo jehanum



Naam, bila shaka, jina “Allah” linaonekana ni geni kwa wasiokuwa Waislamu, lakini jina hili limeshatumiwa na Mitume yote tangu Adamu mpaka Muhammad (AS).

Nalo ni ufupisho wa maneno mawili ya Kiarabu; Al – Ilah, yaani Mwenyezi Mungu.

Kwa kuiondosha herufi "I" utapata neno Allah.

Kwa mujibu wa nafasi yake katika tungo (sentesi) ya Kiarabu jina hilo linaweza kuwa na umbo la "Allaha" ambalo ni karibu na jina la Muumba kwa Kiebrania yaani “Eloha.”

Lakini Wayahudi wanatumia kimakosa umbo la wingi “Elohim,” linaloashiria zaidi ya Mungu Mmoja.

Neno "Allaha" lina matamshi yanayokaribiana na neno la Kiarama linalojulisha Mungu lugha iliyotumiwa na Yesu, kwa kulitaja "Alaha" (Tazama Insaiklopidia Britannica 1980 chini ya neno “Allah” na “Elohim”).

Kwa hiyo, wakati jina “Allah” ni geni kwa wasio Waislamu, lakini si geni kwa Mitume yote tangu Adamu mpaka Muhammad, (AS) kama walivyotangaza misingi ile ile ya Uislamu (utiifu kamilifu) na neno “Allah” linamaanisha jina la Mungu Aliye Hai.

Jina hilo halina wingi au ujinsia, kwa hiyo hakuna kitu kama “Allahs-Miungu,” au “Allah,” wa kiume au wa kike, kama ilivyo, katika lugha ya Kingereza yenye miungu ya kiume na kike (Gods or Goddess).

Pia ni jambo la kuchanganya kutumia neno God, kwa vile Wakristo wengi wanaozungumza Kingereza wanamzingatia Yesu kuwa ni Mungu.


Hata neno “Muumba” pia linachanganya, kwa kuwa Wakristo wanashikilia kuwa Yesu ameumba dunia.



Si tu jina “Allah”, ndilo geni, lakini pia njia wanazozitumia Waislamu kumwabudu Allah wakiwa na udhu, unyenyekevu, kurukuu, kusujudu na kufunga, nazo ni ngeni kwa wasio Waislamu, lakini si ngeni kwa mitume yote. Wakati udhu (kuosha uso, mikono, miguu, na kupaka maji kicwani), kabla ya kusali, haufanywi na Wakristo wa leo lakini jambo hilo lilifanywa na Waislamu na mitume iliyotangulia, kama inavyoonekana katika vifungu vya Biblia vifuatavyo:

Kutoka 40:31-32 "Musa na Haruni, na wanawe wakanawa mikono yao na miguu yao ndani yake; hapo walipoingia hema ya kukutania, na hapo walipoikaribia madhabahu, walinawa kama BWANA alivyomwamuru Musa".

Ingawa Paulo amefanya mabadiliko mengi katika mafundisho ya Yesu (AS), lakini alikuwa mwaminifu katika kuuheshimu udhu, kama inavyoonekana katika Matendo 21:26.

"Ndipo Paulo akawatwaa wanaume wale, na siku ya pili yake akajitakasa nafsi yake pamoja nao, akaingia ndani ya hekalu...."

Na 1 Wakorinto 11:5-6, 13: "Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa. Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au konyolewa, na afunikwe."

Wanawake wa Kiislamu wanatekeleza swala zao huku wamefunika vichwa vyao. Amua wewe mwenyewe; Je, ni vizuri kwa mwanamke aswali mbele ya Mungu huku kichwa chake kimefunikwa au hakijafunikwa?

Waislamu wanaabudu kwa unyenyekevu, kurukuu, kusujudu na bila ya viatu kama ilivyofanywa na Mitume iliyotanguli. Zaburi 95:6


"Njoni, tuabudu, tusujudu, tupige magoti mbele za BWANA aliyetuumba.” Yoshua 5:14

"Akasema, La, lakini nimekuja sasa, nili amiri wa jeshi la BWANA. Yoshua akapomoka kiusouso hata nchi, naye akasujudu, akamwuliza, Bwana wangu aniambia nini mimi mtumishi wake?"

1 Wafalme 18:42

"Basi Ahabu akainuka ili ale na kunywa, Naye Eliya akapanda juu mpaka kilele cha Karmeli; akasujudu kifudifudi, akainama uso mpaka magotini."

Hesabu 20:6 "Musa na Haruni wakatoka pale palipokuwa mkutano, wakaenda hata mlangoni pa hema ya kukutania, wakaanguka kifudifudi; utukufu wa BWANA ukawatokea."

Mwanzo 17: 3 "Abramu akaanguka kifudifudi Mungu akamwambia akasema."

Kutoka 3:5 "Naye akasema, Usikarabie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu."

Na Matendo 7:33 "Bwana akamwambia, vua viatu miguuni mwako, kwa maana mahali hapa unaposimama ni nchi takatifu.
 
Nani aliyekuambia njia ile iendayo uzimani itapitwa na walio wengi? Istambul kanisa la Wakristo 250 tu limelipuliwa na wakujitoa muhanga kama si kutojiamini huko ni nini?



Inakadiriwa by 2070 Ulaya karibia yote itakua ni itikadi za uislam na waislam wengi kuliko ata Uarabini! Wazungu walichoshindwa licha ya kupewa akili zaidi ni kuenda kinyume na maandiko yakiyo ktk Quran kua Uislam ndo Itakua dini kubwa kuliko zote....Wakaja na propaganda za ugaidi yani wanamwaga Silaha middle East km njugu wameuchafufua Uislam kwakila namna kua ni Dini ya fujo,ugaidi nk nk Ajabu wazungu na wachina,wahindi wanaoingia Uislam ni maelfu na maelfu apo wakashindwa kuelewa kua wanachafua mashariki ya kati lakin nchin mwao Uislam ndo unazidi kupaa...Trump akaja na Sera ya kuzuia waislam wasiende US lakin Uislam ndo unazidi kuimarika....Ulaya na Marekan Wakristo walishahasi makanisa yao siku nyiiingi labda Xmass na New year ndo wanaenda nje ya apo Makanisani utawakuta wazeee sana na wagonjwa tu na vijana wengi Ulaya hawana dini...
 
Wewe wa ajabu kweli maneno mengi na nukuu nyingi hujui hata kuwa Yakobo/Israel ni mjukuu wa Ibrahimu. Israel ni jina alilopewa na Mungu.

Bado tuko twasuburi ulete familiy tree ya kumuunganisha Mtume Muhamad SAW na Ismail wa Ibrahim acha hizi longolongo.

Mitume yote, tangu Adamu hadi Muhammad (SAW) waliletwa wakiwa na ujumbe huo huo: utiifu kikamilifu wa binadamu kwa Allah.

utiifu huu kwa Kiarabu unaitwa “Islamu,” pia unamaanisha, amani kati ya Muumba na na viumbe vyake.

Kinyume na majina Uyahudi na Ukristo, jina hili Uislamu limetolewa na Allah, Mwenyewe, kama ilivyotajwa katika Qurani Sura 5:3 "...Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu....."

Si “Uyahudi” wala “Ukristo” unaopatikana katika Biblia au kamusi ya Biblia.

Hakuna Nabii wa Kiisraeli aliyesema neno “Uyahudi.”

Yesu kamwe hajadai kuuanzisha Ukristo na kamwe hajajiita Mkristo.

Neno “Ukristo” limetajwa mara tatu tu katika Agano Jipya mara ya kwanza lilitumiwa na Wapagani na Wayahudi wa Antokia, mnamo mwaka 43 AD., muda mrefu baada ya kuondoka kwa Yesu na kuiacha dunia hii." Soma katika Matendo 11:26 “...
Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antokia.”

Baadaye, litumiwa na mfalme Agripa wa pili kamweleza Paulo katika Matendo 26:28 "Agripa akamwambia Paulo, Kwa maneno machache wadhani kunifanya mimi kuwa Mkristo."

Kwa hiyo jina Ukristo, kwanza kabisa lilitolewa na maadui wa Ukristo si marafiki.

Na hatimaye lilitumiwa na Petro katika waraka wake wa kumfariji mwenye imani, katika 1 Petro 4:16

"Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya..."

Mwislamu wa kwanza duniani si Muhammad (SAW), bali ni Ibrahimu, aliyejisalimisha kikamilifu kwa Allah.

Likini Uislamu ukiwa ni njia ya maisha umefunuliwa kwa Mitume mingine iliyomtangulia Ibrahimu, kama vile Adamu na Nuhu. Kwa hiyo, Uislamu ndiyo njia ya maisha ya wanadamu wote.

Swali :

Vipi Ibrahimu atakuwa Mwislamu?

Majibu:

Soma Mwanzo 11:31

. "Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko."

Kwa hiyo, Ibrahimu alizaliwa Uru wa Wakaldayo na hawezi kuwa Myahudi. Kwanza kwa sababu Uru wa Wakaldayo ilikuwa Mesopotamia, ambako kwa sasa ni sehemu ya Iraq.

Kwa hiyo, Yeye alikuwa ni Mwarabu zaidi kuliko Myahudi.

Pili neno “Uyahudi” limekuja baada ya kuishi kwa Yudah, mjukuu mkubwa wa Ibrahimu.

Soma zaidi, Mwanzo 12:4-5 Naye Abramu alikuwa ni mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani... nao wakaingia katika nchi ya Kanaani."

Kwa hiyo Ibrahimu alihamia Kanaani akiwa na miaka sabini na mitano na Biblia kwa uwazi inataja kuwa, Ibrahimu alikuwa huko akiwa ni mgeni. Mwanzo 17:8

"Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele, nami nitakuwa Mungu wao."

Sasa soma Mwanzo 14:13.

“Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania;...”

Vipi unamwita Ibrahimu Myahudi kama Biblia yenyewe inamwita Mwebrania jina ambalo maana yake ni mtu kutokea upande mwingine wa mto Euphrates.

Pia linamaanisha kufungamana na Eber, mjukuu wa Shem.

Sasa soma katika Mwanzo 32:28 kile kilichotokea kwa jina Yakobo baada ya mieleka na Malaika.

"Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe ukashinda."

Kwa hiyo Ibrahimu alikuwa ni Mwebrania. Na wajukuu wa yakobo walikuwa ni Waisraeli yakiwemo makabila kumi na mawili.

Yuda alipewa jina la utani la "Yahudi" kwa hiyo, wajukuu wa Yuda peke yao ndiyo waliokuwa Wayahudi kwa asili.

Na ili kumjua ni nani hasa ndiyo alikuwa Musa, soma Kutoka 6:16-20.

"Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, sawasawa na vizazi vyao; Gershoni, na Kohath, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia na thelathini na saba. Wana wa Gershoni; ni Lbni, na Shimei, sawasawa na jamaa zao. Na wana wa kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia na thelathini na mitatu. Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi sawasawa na vizazi vyao. Huyo Amramu akamwona Yokebedi ndugu ya baba yake; naye akamzalia Haruni, na Musa..."

Kwa hiyo, Musa hakuwa Myahudi kwa sababu hakuwa mjukuu wa Yuda lakini ni wa Lawi.

Musa alipewa Torati (sheria) kwa wana wa Israeli.

Swali : Unalifasiri vipi jambo hilo?

Majibu:

Kwa kuwa sisi tunatumia Qurani kama ni kipimo. Unaweza kuifafanua Biblia na kusahihisha maoni ya Kiyahudi na Kikristo kwa Muktadha wa Qurani.

Qurani ni kitabu kilichofunuliwa mwisho, hakijaharibiwa wala kughushiwa. Yaliyo ndani yake Allah ameyadhamini, katika Sura 2:2: "Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake;....." pia katika Sura ya 15:9 "Hakika Sisi ndio tulioteremsha mauidha haya (hii Qurani); na hakika Sisi ndio tutakayoyalinda."

Aya hii ni changamoto kwa wanadamu.

Ni ukweli wa wazi kuwa zaidi ya miaka elfu moja na mia nne imeshapita hakuna hata herufi moja ya Qurani hii iliyobadilishwa ingawa makafiri wamejaribu kwa kila liwezekanalo kuibadilisha, lakini wameshindwa kwa unyonge katika juhudi zao hizo. Kama ilivyotajwa katika aya hii tukufu:

"Hakika Sisi ndio tutakayoyalinda" na Allah, ameshailinda. Kinyume chake, vitabu vitakatifu vingine vyote (Torati, Zaburi, Injili, nk) vimeshaghushiwa kwa njia ya kuongeza, kufuta au kubadilisha asili yake.

Swali : Qurani inasema nini juu ya Ibrahimu na Musa linalothibitishwa na Biblia?

Katika Sura 3:65: “Enyi watu mliopewa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahimu, na hali Taurati na Injili havikuteremshwa ila baada yake? Basi je, hamfahamu?”

Na katika Sura 3:67: “Ibrahimu hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu, mtii; wala hakuwa katika washirikina.”

Katika Sura 2:140: “Mnasema (nyinyi Mayahudi na Manasara) kuwa Ibrahimu na Ismaili na Is-haqa na Yaaqubu na kizazi (chake) walikuwa Mayahudi (kama nyinyi)? Sema: “Je, nyinyi mnajua zaidi au Mwenyezi Mungu? Na ni nina dhalimu mkubwa kuliko yule afichae ushahidi alionao utokao kwa Mwenyezi Mungu? Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na hayo mnayoyafanya.”
 
Wewe wa ajabu kweli maneno mengi na nukuu nyingi hujui hata kuwa Yakobo/Israel ni mjukuu wa Ibrahimu. Usrael ni jina alilopewa na Mungu.

Bado tuko twasuburi ulete familiy tree ya kumuunganisha Mtume Muhamad SAW na Ismail acha hizi longolongo.


GHAFLA UMEKUWA KIPOFU ?????

ILE POST YA [HASHTAG]#184[/HASHTAG] HUKUIONA ???




Mwislamu wa kwanza duniani si Muhammad (SAW), bali ni Ibrahimu, aliyejisalimisha kikamilifu kwa Allah.

Lakini Uislamu ukiwa ni njia ya maisha umefunuliwa kwa Mitume mingine iliyomtangulia Ibrahimu, kama vile Adamu na Nuhu. Kwa hiyo, Uislamu ndiyo njia ya maisha ya wanadamu wote.

Swali :

Vipi Ibrahimu atakuwa Mwislamu?

Majibu:

Soma Mwanzo 11:31

. "Tera akamtwaa Abramu mwanawe, na Lutu mwana wa Harani, mwana wa mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka wote katika Uru wa Wakaldayo, waende nchi ya Kanaani, wakafika mpaka Harani wakakaa huko."

Kwa hiyo, Ibrahimu alizaliwa Uru wa Wakaldayo na hawezi kuwa Myahudi. Kwanza kwa sababu Uru wa Wakaldayo ilikuwa Mesopotamia, ambako kwa sasa ni sehemu ya Iraq.

Kwa hiyo, Yeye alikuwa ni Mwarabu zaidi kuliko Myahudi.

Pili neno “Uyahudi” limekuja baada ya kuishi kwa Yudah, mjukuu mkubwa wa Ibrahimu.

Soma zaidi, Mwanzo 12:4-5 Naye Abramu alikuwa ni mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani... nao wakaingia katika nchi ya Kanaani."

Kwa hiyo Ibrahimu alihamia Kanaani akiwa na miaka sabini na mitano na Biblia kwa uwazi inataja kuwa, Ibrahimu alikuwa huko akiwa ni mgeni. Mwanzo 17:8

"Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele, nami nitakuwa Mungu wao."

Sasa soma Mwanzo 14:13.

“Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania;...”

Vipi unamwita Ibrahimu Myahudi kama Biblia yenyewe inamwita Mwebrania jina ambalo maana yake ni mtu kutokea upande mwingine wa mto Euphrates.

Pia linamaanisha kufungamana na Eber, mjukuu wa Shem.

Sasa soma katika Mwanzo 32:28 kile kilichotokea kwa jina Yakobo baada ya mieleka na Malaika.

"Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe ukashinda."

Kwa hiyo Ibrahimu alikuwa ni Mwebrania. Na wajukuu wa yakobo walikuwa ni Waisraeli yakiwemo makabila kumi na mawili.

Yuda alipewa jina la utani la "Yahudi" kwa hiyo, wajukuu wa Yuda peke yao ndiyo waliokuwa Wayahudi kwa asili.

Na ili kumjua ni nani hasa ndiyo alikuwa Musa, soma Kutoka 6:16-20.

"Na haya ndiyo majina ya wana wa Lawi, sawasawa na vizazi vyao; Gershoni, na Kohath, na Merari; na miaka ya maisha yake Lawi ilikuwa ni miaka mia na thelathini na saba. Wana wa Gershoni; ni Lbni, na Shimei, sawasawa na jamaa zao. Na wana wa kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia na thelathini na mitatu. Na wana wa Merari; ni Mali, na Mushi. Hizi ni jamaa za hao Walawi sawasawa na vizazi vyao. Huyo Amramu akamwona Yokebedi ndugu ya baba yake; naye akamzalia Haruni, na Musa..."

Kwa hiyo, Musa hakuwa Myahudi kwa sababu hakuwa mjukuu wa Yuda lakini ni wa Lawi.

Musa alipewa Torati (sheria) kwa wana wa Israeli.

Swali : Unalifasiri vipi jambo hilo?

Majibu:

Kwa kuwa sisi tunatumia Qurani kama ni kipimo. Unaweza kuifafanua Biblia na kusahihisha maoni ya Kiyahudi na Kikristo kwa Muktadha wa Qurani.

Qurani ni kitabu kilichofunuliwa mwisho, hakijaharibiwa wala kughushiwa. Yaliyo ndani yake Allah ameyadhamini, katika Sura 2:2: "Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake;....." pia katika Sura ya 15:9 "Hakika Sisi ndio tulioteremsha mauidha haya (hii Qurani); na hakika Sisi ndio tutakayoyalinda."

Aya hii ni changamoto kwa wanadamu.

Ni ukweli wa wazi kuwa zaidi ya miaka elfu moja na mia nne imeshapita hakuna hata herufi moja ya Qurani hii iliyobadilishwa ingawa makafiri wamejaribu kwa kila liwezekanalo kuibadilisha, lakini wameshindwa kwa unyonge katika juhudi zao hizo. Kama ilivyotajwa katika aya hii tukufu:

"Hakika Sisi ndio tutakayoyalinda" na Allah, ameshailinda. Kinyume chake, vitabu vitakatifu vingine vyote (Torati, Zaburi, Injili, nk) vimeshaghushiwa kwa njia ya kuongeza, kufuta au kubadilisha asili yake.

Swali : Qurani inasema nini juu ya Ibrahimu na Musa linalothibitishwa na Biblia?

Katika Sura 3:65: “Enyi watu mliopewa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahimu, na hali Taurati na Injili havikuteremshwa ila baada yake? Basi je, hamfahamu?”

Na katika Sura 3:67: “Ibrahimu hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu, mtii; wala hakuwa katika washirikina.”

Katika Sura 2:140: “Mnasema (nyinyi Mayahudi na Manasara) kuwa Ibrahimu na Ismaili na Is-haqa na Yaaqubu na kizazi (chake) walikuwa Mayahudi (kama nyinyi)? Sema: “Je, nyinyi mnajua zaidi au Mwenyezi Mungu? Na ni nina dhalimu mkubwa kuliko yule afichae ushahidi alionao utokao kwa Mwenyezi Mungu? Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na hayo mnayoyafanya.”
 
Hakuna tofauti ya Mungu wa Wayahudi na Wakristo Mungu ni huyohuyo mmoja. Tofauti iko katika jinsi walivyompokea huyo Mungu wao mmoja. Jinsi Wayahudi walivyo mpokea inatafautiana na jinsi wakristo walivyo mpokea. Wayahudi walimpokea hapo awali ila alipo kuja kuishi kati yao/Emanuel wengi wao hawakumpokea wala kumkubali ila Wakristo ambao kati yao wapo wayahudi wa chache walimpokea tangu awali na hata alipo kuja kuishi nao hapa duniani na mpaka leo wameendelea kumkubali Bwana Yesu/Mungu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.

Kuhusu kuwashughulikia uzoefu/historia hata katika Biblia na maisha ya kawaida ya onesha hivyo. Nimetoa mfano wa Nebukardeneza lakini hata Hittler hapa juzi kati aliwashughulikia ndio wakakumbuka kuitafuta nchi yao ya "AHADI" wakisaidiwa na UN katika zama hizi

Ila miungu iko mingi na sijui kwa nini shetani alitumia huo mkakati wa kuabudiwa kupitia miungu mingi miingiiiii na huu wa kutaka kujinasabisha na Mungu.

Hii Gavana wa jF ni cheo au jina au jina la cheo cha jF?
hlo unalifahamu we kulingana na yesu kukueleza hlio lakin wayahud hawalitambui hli hata kidogo na kwa upande wa uislaam wanatambua mung wa ibrahim ndio mungu wa musa, ISSA(yesu),na muhamad
ckiriza ndg ifi unatambua wayahud ambao mnabii wao n mussa hawakupenda kusikia kuna mtume atakaekuja kuwa in yesu na hats baada ya kuja kwake wakampinga lakin haimaanish kuwa mtume yesu hamtambui mussa na histolia take coz aliletwa na mungu Huyo huyo aliemleta musa hali kadhalika kwa watu wa yesu hawakupenda kusikia kuwa kuna mtume mungine atakuja baada yak na ndo maana hats baada ya kuja kwake hajayasahau sehemu zote za msing ambazo waliotangulia kabla yake yalikua maeneo matakatifu mbele za mungu in short angalia chain hapo chin halafu tafakar

Kwanza fanya utafiti, hichi kinachoitwa biblia ni maneno ya mungu au ni ya watu.

Ukiisoma Quran, inasema hakuna aliembora mbele ya Allah isipokuwa MCHA MUNGU. Kwaio uwe muarabu, mzungu au mwafrika kama si mcha mungu huna ubora kwake.

Uislam ulianzia toka enzi za Adam na Hawa. Soma Quran ujuwe ukweli Acha kukamatiwa akili.
 
Mungu wa Ibrahimu,Isaka,Yakobo na Musa ni Jehova ndio Mungu wa Wayahudi na Wakristo.
Uislam unaamini katika Jehova?
Hao mitume wote uliowataja walitumwa na Jehova, na wote ni waisrael.
Je Mohmad nae alitumwa na Jehova?
Katika majina 99 ya Allah je jina Jehova lipo?
Mungu wa kweli alimchagua Ibrahim akambariki akafunga agano nae yeye na kizazi chake ili kila taifa,kabila na jamaa za dunia zitambue na kuamini kuwa Mungu wa kweli ni Mungu wa Israel ndiye aliyetenda miujiza mingi kwa kupitia waisrael.
Je waislam wanaamini kwa kupitia huyu Mungu wa Waisrael?
Hakuna dhambi atakayotenda Israel itakayovunja maagano ya Mungu na ibrahim na kizazi chake bali Mungu amekuwa akiwarudi kwa adhabu mbalimbali ili wamrudie yeye.
kutotambulika kwa jina LA johova katka uislaam hakubatilish hli hayo n majna kulingana na lugha ya sehemu, kwan hata yesu sio watu wote wanaomfaham kwa jina hli waingereza,wajeruman,wareno nk wanamfahamu kwa majina tofaut
Labda niihitimishe tu kwamba mimi sitaki kufungwa kwa utatuzi wa nchi ya ahadi au tulipewa hili eneo kupitia kwa uzao wa Ibrahim

Reality ni kwamba Wapalestina wapo hapo kwa miaka na wayahudi pia walikuwepo hapo wakaondoka wengi wao na wakabaki wachache sasa ni suala la kuona wanaishi vipi na dunia iwasapoti kwa utatuzi wa manufaa kwa wote sio kwa mlengo wa kina Trump eti walipewa sijui ipo ktk kitabu gani na blah blah nyingi ili kuhalalisha tu uvamizi mfano wewe umeondoka ktk eneo lako miaka kwa maelfu na ulikuwa una majirani zako wakati unaondoka sasa vizazi vyako pia baada ya kupita miaka mingi vinapata mateso ugenini na vinataka kurudi vilipotoka lkn majirani ndo wametapakaa huko sasa hapo busara sio kurudi kwa ubabe maana hata kurudi kwako ni sababu ya kutotakiwa ulipolowea ni kuwa 'humble' na wenyeji uliowakuta sio kuja kibabe

Pia kingine tu kwa dunia hii ya utambuzi kutatua migogoro kwa maelezo ya sijui nilipewa au mimi ni bora na wengine tunacheza ngoma ya kuona eti kuna 'superior race' ni dalili tu kuna wenza wetu wapo bado gizani na kiukweli linauma kuona tunaachana nyuma ktk kuona huu ukweli

'No hard feelings' mkuu nashukuru na nimekuelewa na tupo wengi wa mtizamo wa taifa teule na atakae kubariki nae atabarikiwa NK
 
Acha kudanganya watu mkuu, Yesu wa biblia ni tofauti kabisa na Isa wa quran. ,

Wa biblia alitabiriwa na manabii kama kina isaya, ezekiel ,daud kuwa ataitwa Mungu mkuu,

Ila wa quran kwanza hata hakusurubiwa, yaan in short ni watu wawil tofauti kabisa.

Kuhusu muhamad , huyu ana historia yake ,awali alikuwa anasali kuelekea yerusalemu, akifata din ya wayahud, baadae aliposema amepewa utume, wayahud walitaka athibitishe, hapo ndipo ugomvi ulianza ,na mpaka quran ina aya za kuwachukia wayahudi

KWA UFUPI , UISLAMU KAJA NAO MUHAMAD ,
safi, hats yesu alipokuja kuwalingania wana wa islael hawakuamin tens kwa sababu za zisizo za msing za jumps utukufu mtot wa nje ya ndoa bla kufaham kuwa huo ndi mpango wa mung na miujiza lakin hawakutaka kuamin hlo na ndo hivyohivyo hata kwa watu wa yesu pia hawakutaka kumkubal muhamaad kwa sabab zsizoeleweka ikiwemo kubadil maandko matakatifu ya mung nk
 
Back
Top Bottom