1.
Nyinyi ndio mtakaofanya watu wengine wasikubali kuburuzwa hapa JF!
Niliposema Kikwete alikataa si mlipinga wote na kusababisha isuue kupelekwa kwenye vibweka vya wakubwa?
Ni mtu mjinga na mpuuzi tu ndiye anayeweza kukubali kuburuzwa hapa JF, na wewe unajua vyema kuwa hilo, na kwamba kukubali kuburuzwa kwa mtu hapa JF ni ufala wake mwenyewe it has nothing to do na JF,
Uliposema rais na kukataa, ni mimi peke yangu ndiye nilyekuokoa with a strong hand na hoja nzito kumbe wewe ni mwepesi sana kusahau na kukumbuka?
2.
What happen to the thread JK-Msijali kuitwa mafisadi?
Nyie mnafikiri watu hawaoni? Wamebakiza kaimani kadogo na mjaribu kuwarudisha kambini ili JF iendelee vyema!
Mkuu naomba uache assumpitons zako, I have nothing to do na umiliki wa JF, kwa hiyo ondoa hiyo "nyie" ni pure nonesense, mimi sielewi maoni yangu yanahusika vipi na JF? Mbona tunaambiwa JF ni mali ya Chadema sasa iweje tena waondoe topic zinazomhusu Kikwete as of your complain?
Halafu ni wewe mwenyewe ndiye umeanza kurusha majina kuanzaia la MMJ, mimi na Ngurumo, nafikiri unajua kuwa Ngurumo ni active mamber hapa, sasa mbona hutaki kujibiwa? Unarusha maneno ambayo hayahusiani kabisa na uchokozi wako mwenyewe?
Halafu tizama hoja zako za nguvu, eti imani kwa JF huwa inapimwa tu wewe ukiwa challenged on maneno yako wewe mwenyewe? Wewe huoni kuwa this is pure childish thinking kwa mtu mzima kama wewe?
Next time unapotoa hoja sio lazima utaje majina ya wnegine maana utajibiwa na hutapenda kama unavyooonyesha hapa!