sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Typing error😎Point yako ni ipi
Kwann kifo cha Magu kilikusikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Typing error😎Point yako ni ipi
ZIMEFANYAJE?Rangi 7
Upo sahihi mimi mwenyewe nilikuwa nasikiliza kipindi chake toka nipo form one huku sijui lugha yoyote ya Congo.Kuna mtangazaji wa RFA anaitwa Zubeir Msabaha niliposikia Jamaa amefariki nikajua Jamaa ameacha pengo kubwa maana hakuna mtu mwingine yoyote anaeweza ku-fit kwenye kipindi chake cha Bolingo Time ni yeye pekee, Jamaa nilikua napenda alivyokua anatafasiri miziki ya Congo mingi nilikua nasikiliza na sielewi wanaimba nini maana sijui Kilingala wa kiCongo wala kiKasai
Kweli Ila kuna madogo wapo Mlimani Redio wanachambua vizuri tu nyimbo na movie za kihindi Ila Zubeir Msabaha kaacha pengo sijaona wa kum-replaceKuna mwingine ambaye pengo halijazibwa ni yule alikuwa anatafsiri nyimbo za kihindi.
Asogange niliumia mpaka leo hutazama video siaminiHakika masogange aliniuma, lile zigo lote chini daaah.....
Possibly umenizidi umri kiasi. Sikumbuki kitu kabisa na pia hongera kwa kuwa na kumbukumbu ya moja ya matukio makubwa dunianiHata sisi hatukuwa na TV ndugu yangu sema ilikuwa kama tulio fulani hivi kubwa so kulikuwa na watu wengi sana ktk mabaa yenye tv na sisi ndo tukaonea hapo.
Huyu yuko hai mkuu.Yesu kristo
Ahaa haaaah alipiga gambe la nguvu pale MarlandUncle J.nikimkuta sana pale Maryland Mwege
Wewe Nyamwiza wewe.JPM..& maunda Zoro (my best friend)
Huyu si Hamza aliyeua police pale Slender Bridge na baadaye naye akauwawa na snappers wa police?Mama yangu, then huyu mwambaView attachment 3011770
Mikomo salama ya Mwinyi?Ninge sema Nyerere Uzuri alituacha kwenye mikono salama. Hivyo nasema JPM
nimecheka sana...ila wewe🤣🤣🤣🤣Mind you,sina kadi ya CDM.Ninyi kumbukeni chochote kitakachowaijia vichwani.Hata mkikumbuka vifo vyenu wenyewe,ni sawa tu.Hamna rufaa wala pingamizi.Carry on!
Naweza sema Ndiyo.Mikomo salama ya Mwinyi?