Kifo cha Mustafa Kamal Ataturk laana za allah zimshukie

Kifo cha Mustafa Kamal Ataturk laana za allah zimshukie

Kiranga,
  1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
  2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
  4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  6. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
  7. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
  8. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
  9. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
  10. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
  11. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
  12. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
  13. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
  14. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
  15. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
  16. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
  17. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
  18. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
  19. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
  20. Awards: Several Awards
  21. Visiting Scholar: (2011)
  22. University of Iowa, Iowa City, USA
  23. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
  24. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
  25. OTHER COUNTRIES VISITED
  26. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Huoni aibu kutuma publications zote hizi hapa wakati hoja uliyoulizwa umeikimbia?

Wewe una mawazo mgando ya zamani ya "hunijui mimi nani?" katika ulimwengu ambao hata mtoto mdogo asiyejua kusoma anaweza kuuliza swali lenye maana.

Jibu hoja, usijikuze kwa CV na Bibliography wakati hoja ndogo tu zinakutoa kamasi.
 
Mkuu, mimi naomba nichangie kidogo katika mada hii ya "ardhi kukataa mwili yaani maiti".

Hiyo ni lugha ya tamathali, maana yake ni kwamba wakati wa kuchimba kaburi, huwa kunatokea vikwazo visivyotarajiwa, mfano mnaweza kuchimba kaburi hatua chache mkakuta mwamba mkubwa, mnapohamia sehemu nyingine mkichimba katika hatua ya mwisho tu mara udongo unaporomoka ndani na hapo inakuwa shughuli pevu kweli au inaweza kunyesha mvua kubwa kabla ya kuzika na kaburi likajaa maji au akatokea nyoka ndani ya kaburi na watu wakasambaratika na kazi ikasimama na kuanza kumtoa nyoka kaburini au mnapochimba kabla ya kufika kina mara chemchem ya maji inaanza kutoka bila matarajio, ni katika hali za aina hiyo zinazofululiza kwa wakati mmoja kwa ajili ya maiti moja ndipo watu husema kwa tamathali ( methali) kwamba ardhi imekataa maiti, na katika hali kama hiyo watu huzika maiti kwa kulazimisha, mfano kama maji yatatokea kaburini basi watamwagia mchanga mkavu na haraka wataweka maiti na kuifukia.


Ni hali kama hizo ndipo watu husema ardhi imekataa maiti, lakini sio kwamba ardhi huitoa maiti kutoka kaburini ilimozikwa. Tamathali za aina hiyo ni nyingi, mfano mtu akikuambia "tupa macho mbele" maana ya methali hiyo ni "uangalie mbele" na wala sio uyatoe kutoka kichwani macho yako na uyatupe.[emoji12][emoji12]
Hii naweza kuikubali kuna jambazi mmoja tulienda kumzika Usa River, Wakati wa kuchimba majabali waliyokutana nayo si ya kitoto sema wahuni wa Mererani wakatafuta baruti wakachimba vizuri, wakati wnakaribia kuzika kaburi likajaa maji lakini jeneza lilishushwa hvo hvo na akufikiwa kukiwa na maji
 
"ARDHI IKAKATAA" - Aisee, kila ninapodhani nimeona ya kutosha, yanakuja mapya.
 
kuna mazingira ambayo yalikuwa yakijitokeza yaliyo sababisha somehow kuwa na complications kwenye kuzika...
kutoka kwenye source haijaelezea vizuri ni complications zipi ila kwa kurefer kwa FIR-AUN "FARAOH" naeza elezea jinsi ardhi ilivyokuwa ikimkataa same applied to huyu jamaa.. ilikuwa hivi

Kila mwili ukizikwa ukafukiwa... baada ya mda kidogo unaonekana juu ya kaburi...
Uongo uliokithiri, imani isikupofushe kiasi hiki. So sad when someone can be brainwashed to this disgusting level.
 
Daa, dalili za kuingia motoni kabisa hizo
 
Mohamed

Naona ushaanza kua emotional,which shows that you are a problem already!

Ataturk ndio baba wa taifa la Turkey!

No one can take that from him!

Yeye kuugua na kufariki halafu mnachekelea eti anaadhibiwa mnaonesha utoto sana maana binadamu wote huumwa magonjwa mbalimbali na hufa ata uwe nani!

Wewe mwenyewe huumwa na kufa lazima ufe kwa staili yoyote ile!

Hata mtume wenu (if at all) aliumwa na akafa kama kenge wengine wowote duniani!

Nataka nikuulize,hivi idea ya kutenganisha dini na serikali ni idea bora au sio bora?

Yaani unaona serikali kutawaliwa na ideas za dini moja ni sahihi?

Wanadamu wengine wasiokua na dini na wenye dini zingine kwenye nchi hiyo wao wafate serikali ipi!?

Dini zenu ni vitu personal,salini vyumbani mwenu,mkitoka nje ubinadamu ushike hatamu!

Nyie watu wa dini ni so selfish na focused kwenye dini zenu mnataka dunia nzima ifate mawazo yenu nyie which is nonsense!

Hiyo ni form of violence na dictatorship inaitwa Theocracy!
Word.
 
Huoni aibu kutuma publications zote hizi hapa wakati hoja uliyoulizwa umeikimbia?

Wewe una mawazo mgando ya zamani ya "hunijui mimi nani?" katika ulimwengu ambao hata mtoto mdogo asiyejua kusoma anaweza kuuliza swali lenye maana.

Jibu hoja, usijikuze kwa CV na Bibliography wakati hoja ndogo tu zinakutoa kamasi.
Kiranga,
Nimesomeshwa ilm ya mnakasha na Sheikh Haruna huyu ndiye maalim wangu.
Kitu alichokuwa akihimiza sana ni adabu katika majadiliano.

Alikuwa anasema ukihisi mwenzio ameghadhibika na anatoa lugha kali, kejeli au matusi usiendelee na mjadala sitisha.

Sheikh Haruna akitufundisha akisema kuwa mjadala utakuwa na maana pale tu hoja zikishindanishwa na ukiona hakuna hoja ila kejeli na mfano wa hayo jua mwenzio hana kitu hivyo hakuwa tija itakayopatikana.

Maalim wangu huyu akisisitiza kuwa kejeli na matusi hayajibiwa ila kwa ukimya.

Waamerka haweshi kuja na mambo mapya.

Wakikuita kwa mahojiano ya kazi au wanataka kukualika kwao uwafanyie jambo fulani watakuhoji na mwisho wa mahojiano watakupa karatasi wanakuambia hebu ''brag,'' yaani uwafahamishe wewe ni nani na una nini ambacho unadhani wengine hawana.

Sasa hapo wewe unaweka kile kinachokupambanua wewe na wengine mfano wa wewe.

Unaweza kuwaambia kuwa unajua kupiga piano, guitar, clarinet au wewe kila mwaka mjini kwenu unashindana kwenye mashindano ya marathon, au unawaambia mkeo alikuwa ''beauty queen.'' nk nk.

Nimekuwa mara kadhaa naweka picha si kwa kumtisha mtu kama kutisha ninavyo vitu vikubwa kushinda hivyo.

Picha inasema maneno 1000.
Naamini picha itasaidia kunifahamu ikiwa mtu hanifahamu.

Wengine bahati mbaya wanakuwa intimidated.
Nilipewa darasa la undergraduates kusomesha Marekani.

Mwalimu wao mwanamke mtu mweusi akaniambia hao vijana wote baba zao ni multi millionaires na ni watoto waliodekezwa sana na hawana adabu hata kidogo.

Nilipoingia darasani kweli nimewaona jinsi walivyokaa utadhani wako kijiweni.
Nikajiambia huu leo ni mtihani kwangu lakini nilikuwa nimekuja na silaha zangu kujaribu.

Kwenye projector nikaweka picha ya Elvis Presley poster ya film yake maarufu katika 1960s ''Blue Hawaii,'' kisha nikawauliza kama wanajua chochote katika hiyo picha.

Walikuwa wanagombea kujibu na kuniuliza kama mimi huko kwetu vitu hivyo vilikuwapo.
Lecture ilikwenda vizuri sana.

Naamini tumeelewana.
 
Kiranga,
Nimesomeshwa ilm ya mnakasha na Sheikh Haruna huyu ndiye maalim wangu.
Kitu alichokuwa akihimiza sana ni adabu katika majadiliano.

Alikuwa anasema ukihisi mwenzio ameghadhibika na anatoa lugha kali, kejeli au matusi usiendelee na mjadala sitisha.

Sheikh Haruna akitufundisha akisema kuwa mjadala utakuwa na maana pale tu hoja zikishindanishwa na ukiona hakuna hoja ila kejeli na mfano wa hayo jua mwenzio hana kitu hivyo hakuwa tija itakayopatikana.

Maalim wangu huyu akisisitiza kuwa kejeli na matusi hayajibiwa ila kwa ukimya.

Waamerka haweshi kuja na mambo mapya.

Wakikuita kwa mahojiano ya kazi au wanataka kukualika kwao uwafanyie jambo fulani watakuhoji na mwisho wa mahojiano watakupa karatasi wanakuambia hebu ''brag,'' yaani uwafahamishe wewe ni nani na una nini ambach unadhani wengine hawana.

Sasa hapo wewe unaweka kile kinachokupambanua wewe na wengine mfano wa wewe.

Unaweza kuwaambia kuwa unajua kupiga piano, guitar, clarinet au wewe kila mwaka mjini kwenu unashindana kwenye mashindano ya marathon, au unawaambia mkeo alikuwa ''beauty queen.'' nk nk.

Nimekuwa mara kadhaa naweka picha si kwa kumtisha mtu kama kutisha ninavyo vitu vikubwa kushinda hivyo.

Picha inasema maneno 1000.
Naamini picha itasaidia kunifahamu ikiwa mtu hanifahamu.

Wengine bahati mbaya wanakuwa intimidated.
Nilipewa darasa la undergraduates kusomesha Marekani.

Mwalimu wao mwanamke mtu mweusi akaniambia hao vijana wote baba zao ni multi millionaires na ni watoto waliodekezwa sana na hawana adabu hata kidogo.

Nilipoingia darasani kweli nimewaona jinsi walivyokaa utadhani wako kijiweni.
Nikajiambia huu leo ni mtihani kwangu lakini nilikuwa nimekuja na silaha zangu kujaribu.

Kwenye projector nikaweka picha ya Elvis Presley poster ya film yake maarufu katika 1960s ''Blue Hawaii,'' kisha nikawauliza kama wanajua chochote katika hiyo picha.

Walikuwa wanagombea kujibu na kuniuliza kama mimi huko kwetu vitu hivyo vilikuwapo.
Lecture ilikwenda vizuri sana.

Naamini tumeelewana.
Hujajibu niliyouliza na unayojibu sijauliza.

Mungu wako alishindwa kuweka Quran kwenye DNA kila mtu aijue kusiwe na figisu la "Quran imeandikwa Kiarabu kwa watu, wewe nyani Mmatumbi huwezi kuielewa?".

Wwewe ni nyani na hao Wwaarabu ni watu ?

Kwa nini Mungu aishushe Quran kwa kuwapendelea Waarabu?

Hujajibu maswali haya.
 
Inategemea na aina ya makosa wanayoyafanya, hata hivi leo ukisimama na kudai kuwa wewe ni Mungu, lazima ardhi itakukataa tu hamna namna nyingine.

Kuhusu Pharaoh kunasibishwa katika hii stori ni kuwa, wanafanana makosa na ndio maana matokeo yao yakawa sawa bila kujali muda.

Na wewe ukitaka jitoe akili na jiite na uwalazimishe watu wakuite Mungu, kufa halafu uje utupe mrejesho hapa jamvini kama ardhi itakukubali.
Acha ujinga, kuna watu hujiita/hujifanya Mungu.
Kenya hivi sasa kuna mtu anajiita Mungu na watu wanamuabudu, lakini nakuhakikishia siku akifa atazikwa kama watu wengine au kama atakuwa emwaambia wanaomuabudu wachome moto mwili wake pindi atakapofariki basi atachomwa bila shida yoyote.
Hata mimi hapa ni Mungu, je ardhi itaukataa mwili wangu siku nikifa?
 
Good question.
Qwy,
Uzoefu wangu wa miaka mingi ya kuishi katika jamii ambayo kuna watu hawaujui Uislam umenifunza mengi vipi ''psychology'' yao inavyofanya kazi.

Wakati wa sakata la Salman Rushdie niko Uingereza na wanafunzi tuliguswa sana na fatwa
ya Khomeni kuwa Rushdie auawe.

Siku moja katika mjadala wa hukumu ile Muingereza mmoja mwanafunzi mwenzangu akaniuliza mbele ya kadamnasi kama mimi nikipewa nafasi nitaweza kumuua Rushdie?

Jibu langu lilikuwa ndiyo.
Mshtuko auliotokeza pale hausemeki.

''Why, Mohamed why would you kill him?''

Kwa taratibu nikajibu, ''Rushdie has insulted the Prophet SAW he has to die.''
''Rushdie amemtukana Mtume SAW na hukumu yake ni kifo.''

Huwezi kuelewa haya hadi uwe Muislam.

Ile kuwa yeye Ataturk kukataa mathalan kuzikwa inarudi pale pale kuwa ile akili ya kukataa ndiyo hiyo ardhi imemkataa.
 
Hujajibu niliyouliza na unayojibu sijauliza.

Mungu wako alishindwa kuweka Quran kwenye DNA kila mtu aijue kusiwe na figisu la "Quran imeandikwa Kiarabu kwa watu, wewe nyani Mmatumbi huwezi kuielewa?".

Wwewe ni nyani na hao Wwaarabu ni watu ?

Kwa nini Mungu aishushe Quran kwa kuwapendelea Waarabu?

Hujajibu maswali haya.
Kiranga,
Ukinisoma vyema hayo niliyoandika hapo juu utanielewa.
 
Kiranga,
Ukinisoma vyema hayo niliyoandika hapo juu utanielewa.
Kichaa yeyote anaweza kuandika upuuzi wowote akasema ukinisoma vyema utanielewa.

Wewe muandishi unatakiwa kujua kuandika kwa clarity.

Hujajibu kwa nini Mungu kawapendelea Waarabu, na hajashusha Quran Kimakonde au kuiweka kwenye DNA ya kila mtu aijue bila tafsiri.

Hujajibu hoja hii.

Umekimbilia kwenye "ukinisoma vizuri utanielewa".

Muislamu gani unaogopa challenge?
 
Kiranga,
Siwezi kufanya mjadala kwa lugha kama hizo za shari.
Unafanya mjadala halafu unasema huwezi kufanya majadala?

Unajua kwamba unaweza au huwezi kufanya mjadala?

Shari mbona hata muhtasari wake haujaanza bado?

Tafuta njia ya kukimbia tu, kwa sababu umeshindwa kujibu swali hili.

Kwa nini Mungu kawateremshia Quran Waarabu Kiarabu na kawabagua Wamakonde hajawateremshia Quran Kimakonde?

Mungu wenu mbaguzi wa rangi?

Hujajibu swali.
 
Unafanya mjadala halafu unasema huwezi kufanya majadala?

Unajua kwamba unaweza au huwezi kufanya mjadala?

Shari mbona hata muhtasari wake haujaanza bado?

Tafuta njia ya kukimbia tu, kwa sababu umeshindwa kujibu swali hili.

Kwa nini Mungu kawateremshia Quran Waarabu Kiarabu na kawabagua Wamakonde hajawateremshia Quran Kimakonde?

Mungu wenu mbaguzi wa rangi?

Hujajibu swali.
Kiranga,
Amini upendavyo.
 
Kichaa yeyote anaweza kuandika upuuzi wowote akasema ukinisoma vyema utanielewa.

Wewe muandishi unatakiwa kujua kuandika kwa clarity.

Hujajibu kwa nini Mungu kawapendelea Waarabu, na hajashusha Quran Kimakonde au kuiweka kwenye DNA ya kila mtu aijue bila tafsiri.

Hujajibu hoja hii.

Umekimbilia kwenye "ukinisoma vizuri utanielewa".

Muislamu gani unaogopa challenge?
Kiranga,
Hapana sidhani kama uoga ni sifa yangu.
Wewe ndiye muoga kwani umejificha nyuma ya jina bandia mimi naandika kwa jina langu.
 
Jamaa badala ya kujibu hoja, anaweka picha kibao.

Kama vile picha ndiyo zinajibu hoja.

Hajui hapa watu tunaangalia hoja tu, hatuangalii picha.

Kuna watu wamehutubia United Nations General Assembly na bado wakasema ujinga.

Itakuwa yeye?

Hoja inajibiwa kwa hoja. Kutisha watu kwa picha zisizohusiana na hoja ni ujinga.
huyo jamaa ni mfia dini,tena kama ilivyo dini yenyewe kwamba inaendeshwa na vitisho.

Na ndo maana hata jamaa hapa anatuonesha picha za studio ili tutishike na kumuamini pia,

lajisahaulisha kuwa kaulizwa maswali mengi na anatakiwa kuyajibu yena kwa hoja.
 
Ukileta matusi haitakusaidia kupata majibu ya maswali yako.

Nimeamua kuchagua kukaa kimya ili tusifanane mkuu, kwaheri!!!
Acha ujinga, kuna watu hujiita/hujifanya Mungu.
Kenya hivi sasa kuna mtu anajiita Mungu na watu wanamuabudu, lakini nakuhakikishia siku akifa atazikwa kama watu wengine au kama atakuwa emwaambia wanaomuabudu wachome moto mwili wake pindi atakapofariki basi atachomwa bila shida yoyote.
Hata mimi hapa ni Mungu, je ardhi itaukataa mwili wangu siku nikifa?
 
Back
Top Bottom