Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Hivi huyu Kigaila ndiye anayetaka kuwa KATIBU MKUU WA CHADEMA? Niliwahi kusoma tetesi kama hizo hapa JF.Ila kweli ni kama hamna hata mmoja.
Mnajibiwa kulingana na uweza wenu wa kufikiri...Shule na hospital ni miradi?
Wakati miradi ikotekelezwa wao wanaingia barabarani.Unaposema ni mzee aachane na siasa. Jitazame kwanza wewe na wenzako ndani ya chama chenu. Then ndo urudi hapa kuandika.
Usijitoe ufahamu Brother... ( Unajua kusoma na kuandika)Zitaje kwa majina na eneo zilipo ili tukague kama hazikuwepo kipindi kilichopita, vinginevyo unadanganya
Ukichunguza ni kweliKigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.
Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala
Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi
Unajua nini, Nyerere alisema maadui wakubwa wa maendeleo ni ujinga, maradhi na umasikini. Lakini nadhani kuna adui mmoja tu wa maendeleo - ujinga, ambao ndio husababisha maradhi na umasikini. Watanzania wengi ni wajinga sana, na kwa sababu hiyo hatuwezi kuendelea. Mjinga anakamuliwa kodi kila mahali, anabanwa ni kodi ni kodi tu. Halafu akinunuliwa pipi kutoka sehemu ya hiyo kodi anatoa shukurani hadi kujigalagaza chini, hasahau hata kuuliza zaidi ya kuninunulia pipi fedha ulizonikamua umezipeleka wapi?Nchi hii taaluma kuhusu mikakati na mipango ya maendeleo ya taifa zilishakufa kitambo.
Sasa hivi βRais kuanzisha miradiβ ndiyo propaganda inayoeleweka na wajinga wengi sana.
Wengi hawajali kujua undani wa hiyo miradi ya maendeleo-katika mpangilio mzima wa mpango wa maendeleo ya taifa, gharama zake, na vyanzo vyake vya fedha. Wanaburudika tu kusikia viongozi wakitangaza miradi na mabilioni ya shilingi yaliyotengwa. Utafikiri ni kama shughuli ya kuwasha na kukimbiza mwenge vile.
Ndio maana ni vigumu Watanzania kuwa na uelewa kama ule uliofanya wananchi wa Kenya kuhoji na kuukataa muswada wa fedha (finance bill) uliowasilishwa pamoja na bajeti ya taifa. Walielewa athari zake kwenye uchumi wa taifa na wao binafsi. Ikabidi mpango wa maendeleo upunguzwe.
Inayoitwa βmiradi ya Magufuliβ peke yake imeitwisha nchi mzigo mkubwa sana wa mahitaji ya fedha za maendeleo. Na bado sana kukamilika. Inagharamiwa na mikopo mikubwa tu. Halafu watu wanatarajia Samia naye aanzishe βmiradi yakeβ huku akitekeleza ya mtangulizi wake! Sijui kama hao watu wanaelewa financial implication yake.
Kwamba kuna ufisadi mkubwa ni dhahiri. Ukiondoa awamu ya kwanza, hadi leo hii hakuna wakati Tanzania haijawahi kuwa na ufisadi mkubwa.
Na mnapowapa watawala uhuru wa kutumia hazina ya taifa bila kuhojiwa na kuanzisha miradi wanavyojisikia ndio mnawaongezea fursa na ujasiri wa ufisadi. Mara Rais anavunja tume ya mipango, mara anakataa feasibility studies kwenye miradi mikubwa, mara anazuia ukaguzi kwenye baadhi ya miradi, mara bunge na mahakama wanatahadharishwa kutoenda kinyume na serikali! Huku wananchi wame-relax kabisa.
Tunahitajika kuwa na fikra kubwa katika mambo ya msingi ya taifa. Kuendekeza propaganda nyepesi nyepesi kunazidi kuiangamiza nchi.
πππππKigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.
Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala
Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi
Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.
Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala
Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi
pesa zinatumika hovyo bila kujifichaWe unaetumia akili, umechanganua lipi kama tu Kwa low profile ya Mh Rais, kafanya mambo mengi yanayoonekana.
Alafu Leo, mnasema mnaona mabango tu kweli ?
Angekuwa na busara basi angesema Kwa kuonesha miradi inayotekelezwa under local gvt kama nilivosema.
Hata angeanza na hiyo mnayoona nyie ni miradi mikubwa Bado mngesema tu..
Comrade jibu hoja!Kigaila anaweweseka tu
Kigaila alienda kwao Ugogoni anapanda SGR anadhani mradi unaendelezwa na nani? πππComrade jibu hoja!
Mwanaccm imara anapenda upinzani imara,mwanaccm legelege anauchukia upinzani wenye hoja!!!
Kigaila angesema na pkpk plus bajaji na miradi ya ujenzi wa madarasa na shule pia no miradi yake iliyokamilishwa!!
πππππππ€£π€£π€£π€£
Kama Mama angeanzisha miradi mingine mipya ya kwake; lingetokea tatizo moja kubwa kwamba miradi aliyoikuta asingeweza kuimaliziaKigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.
Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala
Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi
π€£π€£π€£π€£Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.
Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala
Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi
π€£π€£π€£π€£Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.
Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala
Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi
Hana maarifa ya kuendeeza miradi aliyoacha jpm. Badaka ya kuhakikisha hela inatoka ndani ya nchi kama alivyofanya Magufuki anakimbikia ushauri wa wapigaji na fisadi kukopa WB na ifm. Sijui hatambui vyombo hivyo ni vya kibiashara tu kwa nchi za kibeberu? Wanaojua watakwambia vyombo hivyo havimuachi mikono mitupu kigogo wa nchi anayesababisha nchi kukopa kwao kwa miradi ya isiyokua na tija kwa maendekeo ya nchi inayohusika.Kigaila adai Magufuli amekuwa mwaka 2021 tukiwa na miaka 60 ya uhuru ameacha tunadaiwa deni la Taifa Triolioni 59, sawa na wastani kwa Mwaka Trilioni Moja moja.
Samia yuko Madarakani mwaka wa tatu tangu 2021 amepandisha deni la taifa kutoka trilioni 59 mpaka Trilioni 98 kwa wastani wa kukopa kila mwaka Trilioni 13, Anauliza mradi wake alioanzisha kwa wakati wake ni Upi? Anadai hakuna mtu anayejua mradi wa Samia alionzisha kwa mikopo hiyo katika wakati wake wa Utawala
Amesema, pamoja na kuongeza deni hilo kutokana na ukopaji wa Samia hakuna mradi wowote ambao Samia ameanzisha katika kipindi chake, Isipokuwa mradi wa Mabango ya Mama anaupiga mwingi
Mzee kulinganisha na nani?HUYU KIGAILA KESHAZEEKA AACHANE NA SIASA