Kigamboni haina maji inakuwaje yaliyopatikana yapelekwe mjini kabla ya wanakigamboni kupewa maji?

Kigamboni haina maji inakuwaje yaliyopatikana yapelekwe mjini kabla ya wanakigamboni kupewa maji?

Kiukweli hii nchi tutamkumbuka sana sana Magufuli

Hayati alijitoa kwa kupigania na kuweka maslahi ya Watanzania mbele

Haiwezekani ndani ya miaka miwili tu tangu Hayati afariki eti ghafla tunaambiwa uhaba wa mvua, mitambo ya tanesco ni chakavu sana na kupelekea migao ya umeme, maji, bei za bidhaa na huduma ziko juu pía nk

Mamá Samia hii nchi ni kama imemshinda,, amefanya kazi na Hayati na njia zote za kudhibiti mianya ya ufisadi na za wapiga dili anazijua lakini kaamua kuwaacha wapige kwa urefu wa kamba zao bila kujali mateso tunayokabiliwa sisi wananchi

Sisi wananchi tunazidi kumuomba Mwenyezi Mungu atuletee Rais mwngne mwenye kariba na mfanano wa Magufuli
Nchi niliitoa ama nilipata tokea msituni anayeitaka naye aanzie msituni by m7 voice
 
Hivyo visima huko mjini kwani hawana? Kwahiyo kukiwa na shule binafsi hapastahili kuwepo shule ya serikali?
Kama shule binafsi ni bei rahisi na more reliable, shule ya serikali ya nini?
Halafu hujaambiwa maji yote yanaenda mjini, kwa hiyo kuwa mpole.
 
Kama shule binafsi ni bei rahisi na more reliable, shule ya serikali ya nini?
Halafu hujaambiwa maji yote yanaenda mjini, kwa hiyo kuwa mpole.
Yaani uzindue maji kwa kuyapeleka mjini wakati jilani na kisima hana maji hii zarau kiasi gani
 
Jiulize Mwanza maji kupata ya ziwa Victoria ni shida alafu Kahama,Nzega, Tabora yapo ya kutodha hii nchi [emoji2]

Lakini kweli Mwanza Buhongwa maji ya shida miaka na miaka, lakini maji hayo kutoka ziwa Victoria yanapatikana Tabora bill wasiwasi.
 
Lakini kweli Mwanza Buhongwa maji ya shida miaka na miaka, lakini maji hayo kutoka ziwa Victoria yanapatikana Tabora bill wasiwasi.
Huwezi halalisha makosa kwa kuiga makosa!
Ifahamike hii miradi ya kusafilisha maji ni tenda za watu kupiga hela, wameshindwaje kusubili kusambaza maji kigamboni kabla ya kuyapeleka mijini?
 
Ifike sehemu viongozi muwe na aibu jamani na wakazi wa kigamboni hata kama niwapole!

1. Wananchi wa kigamboni wanaishi kama digidigi kwenye pantoni na hakuna kiongozi hata mmoja anaeguswa na hilo
2. Mabanda ya abiria kwenye pantoni hayana viti lakini hakuna anaejigusa Si Temesa, Si LATRA, Si mbuge wala mkurugenzi

3. Vyoo kwenye mabanda ya pantoni kipindi cha MAGUFULI walifuta tozo, lakini sasa ni malupo ili abiria atumie choo lazima alipie tena akiwa ndani ya banda!
4. Abiria wa pantoni wanalipa na wapo wa kutosha lakini vivuko ni vibovu balaa na pachafu utafikili wanavusha mifugo (No standard)!
5. Hakuna mkakati rasmi wa kulinda utu na ustaarabu wa abiria.
6. Msaada wa AZAM TAX wananchi wanashukuru, lakini Hakuna taarifa rasmi kwa wananchi kwamba AZAM ametoa huduma hiyo kwa makubaliano yepi, je ana mkataba upi wa zawadi au tenda yake ni ya mda gani! Kajitolea au kaombwa kwa makubaliano gani (Tunashukuru lakini wananchi wapeni taarifa-Updates)
7. LATRA Wekeni ruti ndefu ya usafili kuunganisha kigamboni na kinondoni ili kupunguza msongamano kwenye pantoni
8. Ingawa tiba ya kudumu kabisa pale ni kuweka daraja la chini pale kivukoni katika muundo wa spiral - sea under pass!

Yote tisa kumi Sasa mnataka kuibua mgogoro mwingine wa ishu ya maji kwa makusudi kabisa


Tone la maji la kwanza kigamboni linapelekwa mjini wakati wakazi wa kigamboni hawana maji tangu Uhuru hii ni dharau iliyopitiliza!

Siyo kwamba napinga maji kuvushwa mjini hapana, lakini je Wakazi wa kigamboni wamepatiwa hayo maji yenyewe?

Mwaka 2019 kwenye kampeni ya vyoo bora, kigamboni ilikuwa ya mwisho kutokana na ukosefu wa mtandao wa maji majumbani.

Visima vya maji kigamboni ndo kwanza vimekamilika sasa, Wananchi asilimia 95% hawana maji inakuwaje unazindua mradi kwa kuelekeza maji mjini kabla ya neema hii kuwafikia wanakigamboni kwanza?

Kama hoja ni upungufu wa maji mjini, kwa uzito huohuo ifahamike wanakigamboni wao hawana maji kabisa!
View attachment 2400944
ukiwatizama ni watu wazima lakini akili hawana.
 
Kiukweli hii nchi tutamkumbuka sana sana Magufuli

Hayati alijitoa kwa kupigania na kuweka maslahi ya Watanzania mbele

Haiwezekani ndani ya miaka miwili tu tangu Hayati afariki eti ghafla tunaambiwa uhaba wa mvua, mitambo ya tanesco ni chakavu sana na kupelekea migao ya umeme, maji, bei za bidhaa na huduma ziko juu pía nk

Mamá Samia hii nchi ni kama imemshinda,, amefanya kazi na Hayati na njia zote za kudhibiti mianya ya ufisadi na za wapiga dili anazijua lakini kaamua kuwaacha wapige kwa urefu wa kamba zao bila kujali mateso tunayokabiliwa sisi wananchi

Sisi wananchi tunazidi kumuomba Mwenyezi Mungu atuletee Rais mwngne mwenye kariba na mfanano wa Magufuli
huyu naye alituambia tupige mbizi miaka ile akiwa waziri.
 
Mgonjwa wa Selimundu anaahidi kuchangia damu

Mgonjwa anaeendelea na huduma ya kusafishwa figo nae anapanga foleni ya kujitolea figo

hongereni Waungwana wa kigamboni kutuletea maji wakazi wa jiji
Inabidi kwanza ncheke kama mazuri![emoji38][emoji38][emoji38][emoji6][emoji6].
 
Kiukweli hii nchi tutamkumbuka sana sana Magufuli

Hayati alijitoa kwa kupigania na kuweka maslahi ya Watanzania mbele

Haiwezekani ndani ya miaka miwili tu tangu Hayati afariki eti ghafla tunaambiwa uhaba wa mvua, mitambo ya tanesco ni chakavu sana na kupelekea migao ya umeme, maji, bei za bidhaa na huduma ziko juu pía nk

Mamá Samia hii nchi ni kama imemshinda,, amefanya kazi na Hayati na njia zote za kudhibiti mianya ya ufisadi na za wapiga dili anazijua lakini kaamua kuwaacha wapige kwa urefu wa kamba zao bila kujali mateso tunayokabiliwa sisi wananchi

Sisi wananchi tunazidi kumuomba Mwenyezi Mungu atuletee Rais mwngne mwenye kariba na mfanano wa Magufuli
Subiri povu kutoka kwa wala keki yetu
 
Wengi waliojenga Kigamboni wana visima.
Wapeni tu maji watu wa Goba na tegeta sijui bunju huko nao wawe wanapata mkogo asubuhi.
"Wengi"... je wachache wafanye nini?

Je usalama wa maji ya visima kiafya nani kawahakikishia?

Matumizi ya maji kwa binadamu ni zaidi ya kuoga.
 
Kigamboni tumesahaulika sana tukipita darajani tunalipa nakwenye panton... panton sasa zimechokaaaa huduma pale ni mbovuuuuu kulipia kadi folen yake unaeza gaili kuvuka sasa kwenye maji visima viko kisarawe2 maji yanapita tu watu tunayaangalia tu ila sisi tunywe ya visima huh ni undezi ....inauma sana ..kigamboni kwa kweli km hatuna viongozi hivi cheka kigamboni nauli 1000 yaaa tupo tupo tu ...[emoji24]
Hapo nauli Cheka kwa kweli walitazama upya
 
Ifike sehemu viongozi muwe na aibu jamani na wakazi wa kigamboni hata kama niwapole!

1. Wananchi wa kigamboni wanaishi kama digidigi kwenye pantoni na hakuna kiongozi hata mmoja anaeguswa na hilo
2. Mabanda ya abiria kwenye pantoni hayana viti lakini hakuna anaejigusa Si Temesa, Si LATRA, Si mbuge wala mkurugenzi

3. Vyoo kwenye mabanda ya pantoni kipindi cha MAGUFULI walifuta tozo, lakini sasa ni malupo ili abiria atumie choo lazima alipie tena akiwa ndani ya banda!
4. Abiria wa pantoni wanalipa na wapo wa kutosha lakini vivuko ni vibovu balaa na pachafu utafikili wanavusha mifugo (No standard)!
5. Hakuna mkakati rasmi wa kulinda utu na ustaarabu wa abiria.
6. Msaada wa AZAM TAX wananchi wanashukuru, lakini Hakuna taarifa rasmi kwa wananchi kwamba AZAM ametoa huduma hiyo kwa makubaliano yepi, je ana mkataba upi wa zawadi au tenda yake ni ya mda gani! Kajitolea au kaombwa kwa makubaliano gani (Tunashukuru lakini wananchi wapeni taarifa-Updates)
7. LATRA Wekeni ruti ndefu ya usafili kuunganisha kigamboni na kinondoni ili kupunguza msongamano kwenye pantoni
8. Ingawa tiba ya kudumu kabisa pale ni kuweka daraja la chini pale kivukoni katika muundo wa spiral - sea under pass!

Yote tisa kumi Sasa mnataka kuibua mgogoro mwingine wa ishu ya maji kwa makusudi kabisa


Tone la maji la kwanza kigamboni linapelekwa mjini wakati wakazi wa kigamboni hawana maji tangu Uhuru hii ni dharau iliyopitiliza!

Siyo kwamba napinga maji kuvushwa mjini hapana, lakini je Wakazi wa kigamboni wamepatiwa hayo maji yenyewe?

Mwaka 2019 kwenye kampeni ya vyoo bora, kigamboni ilikuwa ya mwisho kutokana na ukosefu wa mtandao wa maji majumbani.

Visima vya maji kigamboni ndo kwanza vimekamilika sasa, Wananchi asilimia 95% hawana maji inakuwaje unazindua mradi kwa kuelekeza maji mjini kabla ya neema hii kuwafikia wanakigamboni kwanza?

Kama hoja ni upungufu wa maji mjini, kwa uzito huohuo ifahamike wanakigamboni wao hawana maji kabisa!
View attachment 2400944
Ndio maana Leo hapa mtaani kwangu wameanza kuchimba kabisa mitaro na wako na speed sana kuvusha maji

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana Leo hapa mtaani kwangu wameanza kuchimba kabisa mitaro na wako na speed sana kuvusha maji

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
IMG_20221029_152304_069.jpg
 
Back
Top Bottom