"Wengi"... je wachache wafanye nini?
Je usalama wa maji ya visima kiafya nani kawahakikishia?
Matumizi ya maji kwa binadamu ni zaidi ya kuoga.
WashaanzaNdio maana Leo hapa mtaani kwangu wameanza kuchimba kabisa mitaro na wako na speed sana kuvusha maji
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nchi niliitoa ama nilipata tokea msituni anayeitaka naye aanzie msituni by m7 voice
Ifike sehemu viongozi muwe na aibu jamani na wakazi wa kigamboni hata kama niwapole!
1. Wananchi wa kigamboni wanaishi kama digidigi kwenye pantoni na hakuna kiongozi hata mmoja anaeguswa na hilo
2. Mabanda ya abiria kwenye pantoni hayana viti lakini hakuna anaejigusa Si Temesa, Si LATRA, Si mbuge wala mkurugenzi
3. Vyoo kwenye mabanda ya pantoni kipindi cha MAGUFULI walifuta tozo, lakini sasa ni malupo ili abiria atumie choo lazima alipie tena akiwa ndani ya banda!
4. Abiria wa pantoni wanalipa na wapo wa kutosha lakini vivuko ni vibovu balaa na pachafu utafikili wanavusha mifugo (No standard)!
5. Hakuna mkakati rasmi wa kulinda utu na ustaarabu wa abiria.
6. Msaada wa AZAM TAX wananchi wanashukuru, lakini Hakuna taarifa rasmi kwa wananchi kwamba AZAM ametoa huduma hiyo kwa makubaliano yepi, je ana mkataba upi wa zawadi au tenda yake ni ya mda gani! Kajitolea au kaombwa kwa makubaliano gani (Tunashukuru lakini wananchi wapeni taarifa-Updates)
7. LATRA Wekeni ruti ndefu ya usafili kuunganisha kigamboni na kinondoni ili kupunguza msongamano kwenye pantoni
8. Ingawa tiba ya kudumu kabisa pale ni kuweka daraja la chini pale kivukoni katika muundo wa spiral - sea under pass!
Yote tisa kumi Sasa mnataka kuibua mgogoro mwingine wa ishu ya maji kwa makusudi kabisa
Tone la maji la kwanza kigamboni linapelekwa mjini wakati wakazi wa kigamboni hawana maji tangu Uhuru hii ni dharau iliyopitiliza!
Siyo kwamba napinga maji kuvushwa mjini hapana, lakini je Wakazi wa kigamboni wamepatiwa hayo maji yenyewe?
Mwaka 2019 kwenye kampeni ya vyoo bora, kigamboni ilikuwa ya mwisho kutokana na ukosefu wa mtandao wa maji majumbani.
Visima vya maji kigamboni ndo kwanza vimekamilika sasa, Wananchi asilimia 95% hawana maji inakuwaje unazindua mradi kwa kuelekeza maji mjini kabla ya neema hii kuwafikia wanakigamboni kwanza?
Kama hoja ni upungufu wa maji mjini, kwa uzito huohuo ifahamike wanakigamboni wao hawana maji kabisa!
View attachment 2400944
Haya ndio majibu Ya sisiemu
1. Piga mbizi..
2. nunua pantoni lako peke yako utakaa kwa Raha
3.kanye nyumbani.
4. Nunua la kwako
5. Nenda ulaya utapata utu
6. Unakuhusu nini?
7. Tengeneza la kwako uweke hiyo ruti
8. Utatupa pesa ya kujenga Hilo daraja?
Unataka kusemaje! Kwamba kigamboni ni gemu rizevu au?Sehemu zote hizi zilizojaa dar unaenda kujenga kigamboni kila siku unakimbizana kwenye panton kama unaenda zanzibar kila siku kweli kupanga ni kuchagua na akili ni nywele
Kule wanapaweza wapemba si unaona wamejazana sana kule wanajua wapo zanzibar.Unataka kusemaje! Kwamba kigamboni ni gemu rizevu au?
Kigamboni sio dasalamaKigamboni tumesahaulika sana tukipita darajani tunalipa nakwenye panton... panton sasa zimechokaaaa huduma pale ni mbovuuuuu kulipia kadi folen yake unaeza gaili kuvuka sasa kwenye maji visima viko kisarawe2 maji yanapita tu watu tunayaangalia tu ila sisi tunywe ya visima huh ni undezi ....inauma sana ..kigamboni kwa kweli km hatuna viongozi hivi cheka kigamboni nauli 1000 yaaa tupo tupo tu ...[emoji24]
Yes wapemba kwa upepo wa bahari wanapemba si unajua misuli inataka upepoKule wanapaweza wapemba si unaona wamejazana sana kule wanajua wapo zanzibar.
Wacha wayachukue tu hakuna jinsiKigamboni sio dasalama
Bora wahame sasaHaya ndio majibu Ya sisiemu
1. Piga mbizi..
2. nunua pantoni lako peke yako utakaa kwa Raha
3.kanye nyumbani.
4. Nunua la kwako
5. Nenda ulaya utapata utu
6. Unakuhusu nini?
7. Tengeneza la kwako uweke hiyo ruti
8. Utatupa pesa ya kujenga Hilo daraja?
Ha ha ha haUnataka kusemaje! Kwamba kigamboni ni gemu rizevu au?
Ila ya Dawasco hayana chumvi, yanatoka kina kirefu sana,Kigamboni ipi kuna shida ya maji? Wakazi wengi kigamboni wamechimba visima vyao wachache ndio wanategemea DAWASA...sasa wewe utamwambia mtu aunge maji ya kulipia 15+k kwa mwezi wakati wamezoea kupandisha kwa umeme wa 2k...huu mradi ni mkubwa, ili kurudisha pesa, itabidi waungwe watu wengi zaidi.
Poleni sana wana kigambonIfike sehemu viongozi muwe na aibu jamani na wakazi wa kigamboni hata kama niwapole!
1. Wananchi wa kigamboni wanaishi kama digidigi kwenye pantoni na hakuna kiongozi hata mmoja anaeguswa na hilo
2. Mabanda ya abiria kwenye pantoni hayana viti lakini hakuna anaejigusa Si Temesa, Si LATRA, Si mbuge wala mkurugenzi
3. Vyoo kwenye mabanda ya pantoni kipindi cha MAGUFULI walifuta tozo, lakini sasa ni malupo ili abiria atumie choo lazima alipie tena akiwa ndani ya banda!
4. Abiria wa pantoni wanalipa na wapo wa kutosha lakini vivuko ni vibovu balaa na pachafu utafikili wanavusha mifugo (No standard)!
5. Hakuna mkakati rasmi wa kulinda utu na ustaarabu wa abiria.
6. Msaada wa AZAM TAX wananchi wanashukuru, lakini Hakuna taarifa rasmi kwa wananchi kwamba AZAM ametoa huduma hiyo kwa makubaliano yepi, je ana mkataba upi wa zawadi au tenda yake ni ya mda gani! Kajitolea au kaombwa kwa makubaliano gani (Tunashukuru lakini wananchi wapeni taarifa-Updates)
7. LATRA Wekeni ruti ndefu ya usafili kuunganisha kigamboni na kinondoni ili kupunguza msongamano kwenye pantoni
8. Ingawa tiba ya kudumu kabisa pale ni kuweka daraja la chini pale kivukoni katika muundo wa spiral - sea under pass!
Yote tisa kumi Sasa mnataka kuibua mgogoro mwingine wa ishu ya maji kwa makusudi kabisa
Tone la maji la kwanza kigamboni linapelekwa mjini wakati wakazi wa kigamboni hawana maji tangu Uhuru hii ni dharau iliyopitiliza!
Siyo kwamba napinga maji kuvushwa mjini hapana, lakini je Wakazi wa kigamboni wamepatiwa hayo maji yenyewe?
Mwaka 2019 kwenye kampeni ya vyoo bora, kigamboni ilikuwa ya mwisho kutokana na ukosefu wa mtandao wa maji majumbani.
Visima vya maji kigamboni ndo kwanza vimekamilika sasa, Wananchi asilimia 95% hawana maji inakuwaje unazindua mradi kwa kuelekeza maji mjini kabla ya neema hii kuwafikia wanakigamboni kwanza?
Kama hoja ni upungufu wa maji mjini, kwa uzito huohuo ifahamike wanakigamboni wao hawana maji kabisa!
View attachment 2400944
Siyo bureHii nchi inaleta kichefuchefu sana
Bora nyie mnayapata hata hayo ya chumvi chumvi kigamboni hawana hata tone la dawascoIla ya Dawasco hayana chumvi, yanatoka kina kirefu sana,
Yenu yanasababisha kutu, bafu kufubaa, vigae kupauka
Nguo kupauka
Siyo utani mkuu! Zarau kitu kibaya sanaHa ha ha ha
Haiwezekani trust meMkuu wa mkoa kahongwa na matajiri wenye visima kigamboni kwa akili ndogo tu haiwezekani
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app