Kigamboni haina maji inakuwaje yaliyopatikana yapelekwe mjini kabla ya wanakigamboni kupewa maji?

Mnakaa mnaandika malalamiko ya kipuuz kila siku hapa ,wakati solution mnaijua , solution ni kuing'oa ccm madarakani , mmeshindwa ni bora mkae kimya tu , haya malalamiko hayana maana
 
Mnakaa mnaandika malalamiko ya kipuuz kila siku hapa ,wakati solution mnaijua , solution ni kuing'oa ccm madarakani , mmeshindwa ni bora mkae kimya tu , haya malalamiko hayana maana
Utaiong'oa CCM kama kisiki bila kuongea?
 
Utaiong'oa CCM kama kisiki bila kuongea?
Action ndio inayotakiwa , kama kuongea tushaongea sana ,unafikiri wewe ni wa kwanza kuleta hoja ya matatizo yanayomkabili mwananchi wa kawaida nchi hii ?
 
Action ndio inayotakiwa , kama kuongea tushaongea sana ,unafikiri wewe ni wa kwanza kuleta hoja ya matatizo yanayomkabili mwananchi wa kawaida nchi hii ?
Sawa toa maelekezo ya kiufundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…