Kigogo sio mtu wa kumuita Tundu Lissu mshamba, akemewe

Kigogo sio mtu wa kumuita Tundu Lissu mshamba, akemewe

Siamini unachokisema. Yaani Kigogo amseme vibaya Lissu? Hapana.
Kigogo kipenzi chenu kawageuka
Screenshot_20210803-113556_Twitter.jpg
 
TL mnamuoverate saana lakini bado sana upeo wake zaidi ya kuijua sheria kama taaluma yake na sio uwezo kiakili kwa maana ya uelewa wa nambo mengi kwa upana....Ni mtu anayeemdeshwa na mihemuko ile ile ya kiCDM na utoto wao..
 
Tutaziona kila aina ya rangi, yani leo mpasha habari wenu munamkataa!
Na bado.
 
Umeandika ukweli sahihi mbowe siku zote alikuwaga na busara na hekima ila licha ya kusikilizwa na kuheshimiwa sijui mbowe ni kichaa gani kilimpanda na kutaka kumfanya Samia aonekane dhaifu ona sasa yuko jela pekee yake. CDM kwa Samia walitumia wrong approach kiasi mama hasikilizii yoyote na CDM itapotea wasipobadilika na kuendeleza harakati bila good calculations, sio siri napenda mabadiliko ila mbowe na CDM walikosa vision ya jinsi ya ku deal na Samia, nchi hii inahitaji upinzani makini usio na mihemko kusaidia taifa.
Yes na kigogo kawaambia ukweli sahivi anaonekana mbaya!
Ila ndo ukweli! Mbowe ht mi kaniudhi,sikutegemea

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Sijaona mtu wakulipambania Taifa hili
Nyote CCM &CDM nyote ni wahuni,wanafiki na mnaojali kupigania matumbo yenu
bora hata huyu ccm yeye anatafuna kuliko ninyi mkipewa mtatumeza kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Unategemea Kigogo atafanya nini
mbowe sijui TL atafanya nn?
Njaa ni mbaya sana tena sana
Ndio usilalamike sasa kaa utulie ukatwe
 
Mwisho wa Kigogo umekaribia, sasa atakuwa anasubiri matukio tu yampandishe chati, ameanza kupoteza support aliyokuwa nayo mwanzo kwa haraka sana.
Watu kama kigogo ni wakupuuzwa tu, tuliwaambia muda mwingi kua huyu jamaa ni ndumila kilwi, mukatupinga, leo munaziona rangi kibao.
 
Njoo kanda ya ziwa uone kama huyo mnayemuita mamayenu kunamtu atampa kura ukiwatoa kina msukuma na 2025 ccm mnapigwa zaid ya tulivyomnyoosha magufuli huku kanda ya ziwa mpaka akapata aibu hata kutembelea
Yaani kanda ya ziwa kimeumana kweli

Watu hawataki kusikia chochote kuhusu kibibi hiki
 
Mpaka unajiuliza nini kimewapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia. Shenz taipu Bladifakeni Mbowe
Punguza hasira mkuu,ni kweli wamekosea!

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kuona mahali popote uongozi wa Chadema ulipomsifia Samia anaupiga mwingi, kama una ushahidi niwekee hapa niuone, maneno ya pembeni (hasa mitandaoni) ya wanachama wa Chadema yasichukuliwe kama tamko rasmi la chama.

Wanachama wa Chadema ni wepi?

 
Umeandika ukweli sahihi mbowe siku zote alikuwaga na busara na hekima ila licha ya kusikilizwa na kuheshimiwa sijui mbowe ni kichaa gani kilimpanda na kutaka kumfanya Samia aonekane dhaifu ona sasa yuko jela pekee yake. CDM kwa Samia walitumia wrong approach kiasi mama hasikilizii yoyote na CDM itapotea wasipobadilika na kuendeleza harakati bila good calculations, sio siri napenda mabadiliko ila mbowe na CDM walikosa vision ya jinsi ya ku deal na Samia, nchi hii inahitaji upinzani makini usio na mihemko kusaidia taifa.
Umemwaga lawama tu kwa Mbowe na CDM. Hebu sasa baada ya kulaumu suggest wafanye nini ili kuendeleza harakati zenye kuleta mabadiliko.
 
Jamani kigogo hicho, nawaomba CDM mukikalie..........
 
Mkuu tumia akili wewe unapambana na dola yet unajipeleka kwenye mitego then umedakwa uko ndani hamna kinachoendelea badala ya kuwa smart kukwepa mitego unaendelea kulaumu kwa kutumia njia zile zile zilizo feli
Kukamatwa ni sehemu ya harakati za kisiasa. Ni aida kwa anayekamatwa historia imeprove hivyo
 
Tangu ajione eti yeye ndiye alifanya burnaboy kushinda tuzo ya bet badala ya sadala nilimuona nae kumbe ni overrated.
 
Njoo kanda ya ziwa uone kama huyo mnayemuita mamayenu kunamtu atampa kura ukiwatoa kina msukuma na 2025 ccm mnapigwa zaid ya tulivyomnyoosha magufuli huku kanda ya ziwa mpaka akapata aibu hata kutembelea
Kanda ya Ziwa ndiyo nini Bana?? Miaka 60 ya Uhuru imetoa Rais mmoja, usututishie nyau
 
Mpaka unajiuliza nini kimewapata hawa watu ambao kwa Mwendazake waliufyata miaka 5. Mwendazake kawapiga risasi, kavunja Bilicanas na kavunja na mashamba yake, kamchukulia na fedha kwenye akaunti. Hajawahi hata kulalamika.

Samia kamrudishia akaunti, kesi zao za kubambika zikapigwa chini pamoja na ya MDUDE. Halafu wao ndiyo wa kwanza kusema HATUWEZI KUMBEMBELEZA Samia. Shenz taipu Bladifakeni Mbowe
Mimi najivunia kwamba niliiona hali hiyo ya kuharibikiwa kwa Chadema dhidi ya utawala wa Mama mapema sana. I saw it coming, baada ya kuanza kumkosea adabu Mheshimiwa rais, wananchi ndipo walipothibitisha kwamba hawa Chadema ni wahuni flani tu.

Na mama kwa busara alizonazo akaamua kuwapotezea kimya kimya sasa wanatapatapa tu
 
..CCM hata wabembelezwe vipi lazima watakuja na sababu za kuwadhulumu Chadema, na vyama vingine vya upinzani.

..ni bahati mbaya sana kwamba wamezoea siasa za hila na dhuluma, na hawawezi kabisa kupambana kwa hoja.

..Rais SSH alishaonyesha dalili za muelekeo mbaya alipoanza kudai wapinzani wamchukulie kama mama yao mzazi, na alipoita wale wasiokubaliana naye waleta chokochoko.

..yeyote asiyekubaliana na CCM huwa hajibiwi kwa hoja, bali hupewa jina baya kama, msaliti, mchochezi, au mleta chokochoko, ili ashughulikiwe na Polisi na Mahakama zinazoamrishwa na CCM.
😄
 
Mbowe yupo jela hakuna cha maana kinacho endelea, yaani in kama vile alikuwa akipingania maslai yake na familia yake....

Watanzania bado hatujawa tayari kwa mabadiliko yoyote yale
 
Back
Top Bottom