aaahaaaa pole alokuzaa amekula hasara....binadamu wa kawaida hawezi ongea ivyo aaaaahaaaaaaKelele wewe, inaonyesha ni punda wa Daud,kesha kuharibu kinyeo hicho inaonyesha kimepanuka mpaka kopo la dawa ya mbu linazama bila tabu,unakuja hapa kutupa shida,ngojeni sasa wakimalizana na mabwana zenu wanaowatuma wanahamia kwa ma punda
Kwani wewe una hela za kutosha hadi kuweza kujitolea bure kujenga msikiti na nyumba ya imamu?Kigogo wa Nini?
Hata mi ni kigogo nyumbani kwangu
Swali la kichokozi hiliSasa hyo misikiti itaendela kuswaliwa?
Sasa hyo misikiti itaendela kuswaliwa?
labda kakamatWA ATAJE WENZAKE AU NDO WAMAMPA KIKI UPYA?Alikua anapesa kweli ila kwa sasa ni muflisi zaidi ya miaka 3 sasa hana kitu namjua haswa siwakuhadisiwa namjua mkewe, nawajua wanawe
Nadhani haa mym & nasmapesa watakuwa wameiona hii habari na kuelewa hoja yangu ya asubuhi kuhusu "MAANA YA DINI."Msiipuuzie hii habari google hilo jina utaona jamaa alikua anapeta mtaani kitambo sana!!hata humu JF kuna thread yake ilianzishwa alijenga msikiti
Ni Mkurugenzi Mkuu wa NASACO.Kigogo gani huyo tupeni habari kamili
Babake na Faiza Kanyau.Muuza sembe maarufu
BalaaBabake na Faiza Kanyau.
Aliedondosha sherehe na party za harusi ambazo hazijavunjwa record East anf Central Africa.
heeeeeee kweli?Ni Mkurugenzi Mkuu wa NASACO.
Kabisaaaa..inabidi Mh.Rais ateue Kaimu Mkurugenzi mpaka hapo jamaa atakaporudi ofisini.heeeeeee kweli?