Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Kigogo hawezi kuwa mwanaume. Sio kwa uandishi ule wa kishoga. Yule sio mwanaume kamili au sio mwanaume. Na kama ni mwanaume basi ni bwana mdgo sana, ambaye hajitambui
 
Sawa, kama nimekosea hapa basi hata kwa kigogo nimekosea, ukweli unao wewe
Acha kujifanya unajua watu kwa uandishi wao. Hakuna mtu mtu anaweza mtambua mtu kwa uandishi. Ingekuwa hivyo upelelezi ungekuwa rahisi sana. Serikali iko kazini miaka mi4 inamsaka we unadhani hayo yote hawajajiuliza na bado wameshindwa? Acha upumbavu.
 
Hhahha hamna fasihi nyepesi kias hiki, ndani ya dk 2 mtu ameshafungua code zote. Wala hata haitaji kusoma shairi tena ....... Nakusoma sana but hii unalengo ovu lakumchafua unaetaka kumchafua......... Nafikiri ndio umenza kulitafuta donge nono
Malizia codes mkuu tafadhali aanikwe kwa mjadala tusaidieni na sie tusietaka kuumiza mbongo
 
Mimi sijaelewa maana kuna sehemu nimesoma bwana huyu katajwa kwa majina ya Didier mlawa na kwamba ni raia wa Kenya sasa swali langu ni kwamba je kuna watu wanamfahamu bwana huyu kwa undani zaidi?
 
Kigogo ni mtu mmoja mwenye akili kuliko watanzania wote na hilo ame prove.
 
Kigogo alikuwepo toka Utawala wa Kikwete mtafute huku JF utamuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…