Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Sasa jibu unalo hapa unatafuta nini unataka INFO ya bure ,hakuna toa Fedha hizo upatiwe info bure kafaa 😂😂😂

Mkuu,mimi nimeridhika na pesa ninazozipata kwenye kilimo changu cha bamia, hizo pesa zingine sizihitaji, mbona kila siku nasema humu
 
Lile tangazo halikupostiwa wakati sahihi kabisa, ni kumpa promo kigogo wakati huku mtaani watu hata hawajawahi kusikia habari zake
Kuna siku Kwenye Daladala, kuna dada mmoja alikuwa anaongea sana,

' Konda akamwambia, wewe dada kaa kimya, domo kama Kigogo 🤣🤣🤣

Kila mtu akacheka!!

Sometimes watu wanakaa kimya ila siyo kwamba hawajui.
 
This is a very serious allegation coming out from a person of KIGOGO"S stature!!! Ndio maana wale members original wa JF wengi wamesepa kwa kuogopa kuuzwa na wakina Max? Are you making an inference that Max knows Kigogo?
Eee Bwana Weee hiii mbona unanipa shock
 
Serikali kama wanamtafuta huyo Kigogo basi wamfuate Zitto awape Ushahidi wa huyo aliyentaja kuwa ndiye mbaya wao!
Serikali ilihisi huyo Kigogo ni Zitto, wakamtwka yuke mkenya Raphael akiyekuwa msaidizi wa Zitto akawapa mpaka password zake.

Wakaishia ku-tweet tu, halafu bila bila.
 
Back
Top Bottom