Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania haijafikia hatua ya mifumo mingi kutumia Computer. Hasa katika sector za serikali bado tupo nyuma kujua kwake sana computer hakufanyi apate taarifa nyingi. Kujua kwake sana computer kuna mkinga zaidi kwa nchi kama yetu kuliko kupata taarifa. Ila kwa nchi zilizo endelea kama USA asilimia kubwa za data zipo kwennye system
Wapi nimekuza.. au hujaelewa nilicho andika ?Mbona mnapenda sana kukuuza watu.
'Niliwahi kuandika hapa facebook'
This means mleta uzi kacopy ishu yake ya fb na kuipaste hapa bila proof reading. Also nakupa ujanja ili huko fb uzidi kuwateka.
Mfano unasema anaonekana anaidai serikali basi unainsert screenshots zinazoonyesha hivyo. Na sehemu unazoamini zinahitaji picha unaingizia.
Katika uwasilishaji makala, makala yenye picha inavutia kuliko ambayo ni mwendo wa neno kwa neno mpaka mwisho.
Anyway, uzito wa mdundo wa indi amka na denzi za Sancho,
Ni sawa na ubishi wa goli kutoka kwa mbishi pancho,
Mashughuli toka utoto toka time ya msoto, toka studio joto sahau kuhusu AC...
😀Au Fulani***sijui mini😀halali anawaza soko siku haje hauze kama Jay-z😂😂😂 comred umenikumbuaha hili dude✊✊✊✊'Niliwahi kuandika hapa facebook'
This means mleta uzi kacopy ishu yake ya fb na kuipaste hapa bila proof reading. Also nakupa ujanja ili huko fb uzidi kuwateka.
Mfano unasema anaonekana anaidai serikali basi unainsert screenshots zinazoonyesha hivyo. Na sehemu unazoamini zinahitaji picha unaingizia.
Katika uwasilishaji makala, makala yenye picha inavutia kuliko ambayo ni mwendo wa neno kwa neno mpaka mwisho.
Anyway, uzito wa mdundo wa indi amka na denzi za Sancho,
Ni sawa na ubishi wa goli kutoka kwa mbishi pancho,
Mashughuli toka utoto toka time ya msoto, toka studio joto sahau kuhusu AC...
Aaah mwarabu wa ukenyengeUmekosea vyote, mi ni mwarabu
Shutuma zipi hizo mkuu ?Sema shutuma dhidi ya Kabudi ni nomaa... Yani kama ni kweli ni hatari.
KWANI aliyepo SI mzawa?Inabidi jeshi kitake control ya mambo mengi sana.. ikiwezekana Ikulu.. TISS kama inahitaji marekebisho flani vile.. au wapate mkuu wa idara mzawaaa haswaaa
Sina maana hiyo. Diwani ni TISS ila hajaishi TISS.. kuna watu wameishi TISSUna
KWANI aliyepo SI mzawa?
Hatari mkuu... Tusubiri tuhhS
Shutuma zipi hizo mkuu ?
Yaelekea nipo nipo DUNIA ya nne Nini haya ngoja nisibiriHatari mkuu... Tusubiri tuhh
Sio mtu mmoja ila wanajifanya awaelewani ili watupoteze maboya?Chachali hawapatani
Hakuna siri anazotoa,siku akitoa siri ndiyo utafahamu kama wanaweza au hawawezi.PESA ILIMNUNUA SADAM NA OSAMA haiwezi shindwa kumnunua kigogo,tena atauzwa na mtu wake wa karibu.Si mpaka litolewe? Au una maana yeye ni cfd pia?
Ujuaji mwingi mbele huwa ni kiza!Hukatazwi kuwaza unavyowaza, ila kaa ukijua TISS ni watu kama wewe na mimi ukishalijua hilo unaweza kutambua ulichoandika ni upupu
Sentensi yako ni tata kijana. Ina maana zaidi ya moja.Jamaa unajikuta mjuaji kumbe zero
Ndio kweli kweli mzee kama mimi nimtukane atatoa wapi mafaili yangu fala yuleKama yupo juu hawezi funua mafaili ya mtu wa chini
Na kama upo chini huwezi funua faili la mtu aliyejuu. Waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba mzee.
Habari zako azipate wapi?