Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Kigogo ni mtu ya watu wa watatu. Yupo Tanzania wala hayupo nje ya nchi kama alivyo waaminisha.
 
Tanzania haijafikia hatua ya mifumo mingi kutumia Computer. Hasa katika sector za serikali bado tupo nyuma kujua kwake sana computer hakufanyi apate taarifa nyingi. Kujua kwake sana computer kuna mkinga zaidi kwa nchi kama yetu kuliko kupata taarifa. Ila kwa nchi zilizo endelea kama USA asilimia kubwa za data zipo kwennye system

Mbona mnapenda sana kukuuza watu.
 
JamiiForums47529971.jpg
 
'Niliwahi kuandika hapa facebook'

This means mleta uzi kacopy ishu yake ya fb na kuipaste hapa bila proof reading. Also nakupa ujanja ili huko fb uzidi kuwateka.

Mfano unasema anaonekana anaidai serikali basi unainsert screenshots zinazoonyesha hivyo. Na sehemu unazoamini zinahitaji picha unaingizia.

Katika uwasilishaji makala, makala yenye picha inavutia kuliko ambayo ni mwendo wa neno kwa neno mpaka mwisho.

Anyway, uzito wa mdundo wa indi amka na denzi za Sancho,

Ni sawa na ubishi wa goli kutoka kwa mbishi pancho,

Mashughuli toka utoto toka time ya msoto, toka studio joto sahau kuhusu AC...

'Niliwahi kuandika hapa facebook'

This means mleta uzi kacopy ishu yake ya fb na kuipaste hapa bila proof reading. Also nakupa ujanja ili huko fb uzidi kuwateka.

Mfano unasema anaonekana anaidai serikali basi unainsert screenshots zinazoonyesha hivyo. Na sehemu unazoamini zinahitaji picha unaingizia.

Katika uwasilishaji makala, makala yenye picha inavutia kuliko ambayo ni mwendo wa neno kwa neno mpaka mwisho.

Anyway, uzito wa mdundo wa indi amka na denzi za Sancho,

Ni sawa na ubishi wa goli kutoka kwa mbishi pancho,

Mashughuli toka utoto toka time ya msoto, toka studio joto sahau kuhusu AC...
😀Au Fulani***sijui mini😀halali anawaza soko siku haje hauze kama Jay-z😂😂😂 comred umenikumbuaha hili dude✊✊✊✊
 
Kama aliye tunga stori ya tamthilia ya house of cards alipata lonja ya jinsi siasa zinavyoendeshwa basi uhalisia ni wanasiasa wanatumia sana watu kufanya mambo yao kwa maslahi yao,yaaani hawataki kuchafua mikono yao. Labda ni ishie hapo kwaio hata huyo unayemuhisi ni mwandishi wa account hiyo anaweza asiwe yeye mwenyewe boss bali anapewa info aaandike boss anachota huuu mchezo ni mgumu sana huwezi mpata maana boss ndiye yupo kwenye system
 
Si mpaka litolewe? Au una maana yeye ni cfd pia?
Hakuna siri anazotoa,siku akitoa siri ndiyo utafahamu kama wanaweza au hawawezi.PESA ILIMNUNUA SADAM NA OSAMA haiwezi shindwa kumnunua kigogo,tena atauzwa na mtu wake wa karibu.
 
Yule abaki na anawatukana wakina nikki wa pili ila huku maji ya shingo, mi nikimdaka nayonga hapo hapo sitaki zawadi ya serikali?
 
Back
Top Bottom