Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana


Kwa Afrika, akipatikana ni kifo; Kwa dunia ya Kwanza, analindwa, kuheshimiwa, na kutumia utaalam alionao.
 
Hawa ndio wanaotumwa kumsaka , sasa wakichemsha ndio wanakuja na ngonjera kama hizi
Yaani hilo neno huyu kutokana na maelezo yake anonekana wazi ni askari cjui usalama au askari kanzu umetoa wasifu wote wa kigogo wkt humjui inatia shaka sana aidha weye ndio kigogo mwenyewe au weye ni askari kama ni mpenzi wa michezo ya kituruki utaweza jua wale Traitor wanakuwa wamo ndani ya serikali kigogo hawezi kuwa mpita njia tu cha kushangaza unatoa number yako ya cm ili iweje yaani tukupe information ya kigogo kunkula huu. Mtafuteni tu mutampata.
 
Um
umepatia 89%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…