Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Hhahha hamna fasihi nyepesi kias hiki, ndani ya dk 2 mtu ameshafungua code zote. Wala hata haitaji kusoma shairi tena ....... Nakusoma sana but hii unalengo ovu lakumchafua unaetaka kumchafua......... Nafikiri ndio umenza kulitafuta donge nono
Anamlenga January
 
hii ndo ile sisimizi kuua tembo! Hii inaonesha makachero wetu ni 0! Lakini jamani narudia tena kwanini kutumia rasilimali nyingi na mda kwa mtu ambae anaweza kupuuzwa tu? Ni wazi serikali yetu haina watu wenye busara! Huyu mtu aachwe azungumze atakavyo kwani kuna mtu anakufa kwa maneno yake! Hizo pesa zinazowekezwa kwa jamaa kuleta makachero mpaka wa israeli kwanini tusinunue mitungi mingu ya oksijeni?
 
Inasemekana kuna usalama wa Taifa walitofautiana maslahi ya kiutawala na kiongozi Fulani Ikulu ndo kukawa na mgawanyiko.Hii ni taasisi kama M 23,Al Shabab na ina watu ndani ya sirikali na wengine ni wafadhili wa USA
 
Inasemekana kuna usalama wa Taifa walitofautiana maslahi ya kiutawala na kiongozi Fulani Ikulu ndo kukawa na mgawanyiko.Hii ni taasisi kama M 23,Al Shabab na ina watu ndani ya sirikali na wengine ni wafadhili wa USA
There we go [emoji848]
 
Inasemekana kuna usalama wa Taifa walitofautiana maslahi ya kiutawala na kiongozi Fulani Ikulu ndo kukawa na mgawanyiko.Hii ni taasisi kama M 23,Al Shabab na ina watu ndani ya sirikali na wengine ni wafadhili wa USA
Inabidi jeshi kitake control ya mambo mengi sana.. ikiwezekana Ikulu.. TISS kama inahitaji marekebisho flani vile.. au wapate mkuu wa idara mzawaaa haswaaa
 
Inabidi jeshi kitake control ya mambo mengi sana.. ikiwezekana Ikulu.. TISS kama inahitaji marekebisho flani vile.. au wapate mkuu wa idara mzawaaa haswaaa
Anayevujisha siri yupo kati yao,na atakua anajua computer sana,na pia hayupo mmoja
 
Aisee embu jaribu na kwangu nipoje?
 
Anayevujisha siri yupo kati yao,na atakua anajua computer sana,na pia hayupo mmoja
Wanaovujisha wamo humo. Rudi nyuma anzia kwa DG Apson Mwang'onda kushika chini yake, uone nature ya ma DG wa kule na panda kutokea kwa Otham hadi hapa tulipo utapata kapicha flani.. popote palipo na tatizo kuna chanzo
 
Anayevujisha siri yupo kati yao,na atakua anajua computer sana,na pia hayupo mmoja
Tanzania haijafikia hatua ya mifumo mingi kutumia Computer. Hasa katika sector za serikali bado tupo nyuma kujua kwake sana computer hakufanyi apate taarifa nyingi. Kujua kwake sana computer kuna mkinga zaidi kwa nchi kama yetu kuliko kupata taarifa. Ila kwa nchi zilizo endelea kama USA asilimia kubwa za data zipo kwennye system
 
Kwa
Mimi sina shida na donge nono mkuu, siitumikii pesa, bali pesa ndio inanitumikia.

Kwa hiyo wewe umemjua ni nani, maana mimi nimemuelezea mtu nisiyemjua sura yake labda kuifananisha tuu
Kwahiyo umepiga ramli mkuu?
 
Noted✊
 
Kuachana naye haiwezekani kwani naye hajaachana nao, wakijaribu kumuacha ndio anazidi kuwachimba zaidi, hivyo no escape lazima wapasuane tuu ijulikane nani mshindi
Mkuu ningekuwa Mimi ningeanza na wewe umchore huyo kwa picha ya mchoro na SI maelezo ya mchoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…