Kigoma: Kisa mgogoro wa ardhi, Kanisa Katoliki laishitaki CCM Mahakamani

Kigoma: Kisa mgogoro wa ardhi, Kanisa Katoliki laishitaki CCM Mahakamani

Itakuwa upande mmoja umeshupaza shingo ndiyo maana wamefika huku.

BTW: Hilo Baraza la wadhamini na uongozi mzima wa CCM mkoani Kigoma majina yakitajwa italeta picha ya mgogoro wa kidini lazima.

Wanaweza kuwa maustadhi watupu.
 
Itakuwa upande mmoja umeshupaza shingo ndiyo maana wamefika huku.

BTW: Hilo Baraza la wadhamini na uongozi mzima wa CCM mkoani Kigoma majina yakitajwa italeta picha ya mgogoro wa kidini lazima.

Wanaweza kuwa maustadhi watupu.
Wagalatia utawatafuta kwa tochi
 
Mgogoro wa ardhi ambao umekuwa ukiendelea kwa muda umesababisha Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma kuamua peleka Mahakamani mashitaka dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Shitaka hilo lililofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Kigoma, Kanisa limewashtaki Bodi ya Wadhamini wa CCM, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Uvinza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuchukua eneo lao wanalodai kulimiliki tangu Mwaka 1920.

Wamewasilisha shitaka hilo chini ya hati ya dharura na yamepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Lameck Mlacha.
View attachment 2501094
Askofu Joseph Mlola wa Jimbo Katoliki la Kigoma

Waombaji katika shauri hilo wanadai mjibu maombi namba mbili Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na Halmashauri ya Uvinza wamepanga kuchukua eneo lao kuwapa CCM bila ridhaa yao kwa ajili ya kujenga madarasa ya Shule ya Sekondari ya Chumvi.

Kupitia kwa Method R.G Kabuguzi ambaye ni Wakili wa Kujitegemea, Kanisa linaomba Mahakama izuie kwa muda uendelezwaji wa eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 39.6 hadi shauri la msingi litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.

Kanisa limewasilisha hati 3 za viapo zilizosainiwa na Christopher Mibanda, Emmanuel Kimpanti na Padri Esperius Hamenyande. Mahakama imepanga shauri hilo litajwe Februari 15, 2023

Padri Hamenyande ni Mweka hazina wa Jimbo Katoliki la Kigoma na Christopher Mibanda ni Katekista mstaafu huku Emmanuel Mibanda akiwa ni Mzee maarufu Uvinza.
Yule angelina mabula waziri wa ardhi ni mfaidika wa kanisa. Ameshakula fedha za caritas sana!
 
Mshasema tangu 1920. More than 99 years lease.
Hiyo ardhi washamaliza lease. Back to the Government.
Je kama walipata hati mpya miaka ya hivi karibuni? Kusema kuwa wamemiliki tangu 1920 ni kuonyesha kuwa wana historia na umiliki wa eneo hilo.Hawajaenda Mahakamani hivi hivi tu.
 
Mgogoro wa ardhi ambao umekuwa ukiendelea kwa muda umesababisha Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma kuamua peleka Mahakamani mashitaka dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Shitaka hilo lililofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Kigoma, Kanisa limewashtaki Bodi ya Wadhamini wa CCM, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Uvinza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuchukua eneo lao wanalodai kulimiliki tangu Mwaka 1920.

Wamewasilisha shitaka hilo chini ya hati ya dharura na yamepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Lameck Mlacha.
View attachment 2501094
Askofu Joseph Mlola wa Jimbo Katoliki la Kigoma

Waombaji katika shauri hilo wanadai mjibu maombi namba mbili Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na Halmashauri ya Uvinza wamepanga kuchukua eneo lao kuwapa CCM bila ridhaa yao kwa ajili ya kujenga madarasa ya Shule ya Sekondari ya Chumvi.

Kupitia kwa Method R.G Kabuguzi ambaye ni Wakili wa Kujitegemea, Kanisa linaomba Mahakama izuie kwa muda uendelezwaji wa eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 39.6 hadi shauri la msingi litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.

Kanisa limewasilisha hati 3 za viapo zilizosainiwa na Christopher Mibanda, Emmanuel Kimpanti na Padri Esperius Hamenyande. Mahakama imepanga shauri hilo litajwe Februari 15, 2023

Padri Hamenyande ni Mweka hazina wa Jimbo Katoliki la Kigoma na Christopher Mibanda ni Katekista mstaafu huku Emmanuel Mibanda akiwa ni Mzee maarufu Uvinza.
tanzania hatuna shida ya ardhi lkn maccm yamezoea rushwa,wizi,uporaji wa mali za watu bila hata kufuata taratibu.Uvinza kuna maeneo makubwa ambayo ni mapori kuanzia kazuramimbba mpaka kibaoni ni mapori matupu iweje sasa wapore eneo la kanisa!
 
Hii kesi nitapenda niifatilie mpaka mwisho

Make inafrahisha


R.C ni wababe

CCM ni wababe pia


Acha tuone huu mtifuano
 
Mgogoro wa ardhi ambao umekuwa ukiendelea kwa muda umesababisha Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma kuamua peleka Mahakamani mashitaka dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Shitaka hilo lililofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Kigoma, Kanisa limewashtaki Bodi ya Wadhamini wa CCM, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Uvinza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuchukua eneo lao wanalodai kulimiliki tangu Mwaka 1920.

Wamewasilisha shitaka hilo chini ya hati ya dharura na yamepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Lameck Mlacha.
View attachment 2501094
Askofu Joseph Mlola wa Jimbo Katoliki la Kigoma

Waombaji katika shauri hilo wanadai mjibu maombi namba mbili Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na Halmashauri ya Uvinza wamepanga kuchukua eneo lao kuwapa CCM bila ridhaa yao kwa ajili ya kujenga madarasa ya Shule ya Sekondari ya Chumvi.

Kupitia kwa Method R.G Kabuguzi ambaye ni Wakili wa Kujitegemea, Kanisa linaomba Mahakama izuie kwa muda uendelezwaji wa eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 39.6 hadi shauri la msingi litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.

Kanisa limewasilisha hati 3 za viapo zilizosainiwa na Christopher Mibanda, Emmanuel Kimpanti na Padri Esperius Hamenyande. Mahakama imepanga shauri hilo litajwe Februari 15, 2023

Padri Hamenyande ni Mweka hazina wa Jimbo Katoliki la Kigoma na Christopher Mibanda ni Katekista mstaafu huku Emmanuel Mibanda akiwa ni Mzee maarufu Uvinza.
Yaani CCM wakaombe wajenge ya muda baada ya kukaribishwa tu pale wakajifanya kuleta utapeli kwa kutangaza kuwa ni eneo lao kisa wamejenga shule.
Good thing wenzao wana documents zote za kuwakaribisha na kila hatua
 
Mshasema tangu 1920. More than 99 years lease.
Hiyo ardhi washamaliza lease. Back to the Government.
Kumbuka baada ya Uhuru kila kitu kilianza upya, hivyo unapofanya hesabu zako isiwe minus 1920, bali iwe 1961 sawa?
 
Ni aibu kubwa sana kwa CCM, mwenyekiti wake na Rais wa nchi hili jambo hapo lilipo linabaraka zote za Vatican. Na CCM inatumika kwa Kivuli cha wivu wa waislamu dhidi ya kanisa katoliki.
Kanisa mbele ya Waziri mabula walishalalamikia hili, lakini serikali ikashupaza shingo.
 
Ni aibu kubwa sana kwa CCM, mwenyekiti wake na Rais wa nchi hili jambo hapo lilipo linabaraka zote za Vatican. Na CCM inatumika kwa Kivuli cha wivu wa waislamu dhidi ya kanisa katoliki.
Kuzungumza hivi unaonyesha ujinga wako. Iwapo Ardhi haikutumika kwa miaka yote hiyo, na akaja mtu kuiendeleza kwa manufaa ya wananchi , tena ili watoto wao wapate madarasa mazuri ya kuongeza na kustawisha maisha yao, kosa liko wapi au nani ndiye asiyependa mazuri kwa wananchi. Hapa serekali haikuleta udini bali ni hao viongozi wa hilo kanisa ndio wanaoleta udini na mfarakano. Bora waelewane na ahule ijengwe, na sidhani serekali inahitaji ekari zote hizo.
 
Kuzungumza hivi unaonyesha ujinga wako. Iwapo Ardhi haikutumika kwa miaka yote hiyo, na akaja mtu kuiendeleza kwa manufaa ya wananchi , tena ili watoto wao wapate madarasa mazuri ya kuongeza na kustawisha maisha yao, kosa liko wapi au nani ndiye asiyependa mazuri kwa wananchi. Hapa serekali haikuleta udini bali ni hao viongozi wa hilo kanisa ndio wanaoleta udini na mfarakano. Bora waelewane na ahule ijengwe, na sidhani serekali inahitaji ekari zote hizo.
Huijui Kigoma vizuri CCM imetumika tu na walijipanga Kwa mtego huo.
 
Mgogoro wa ardhi ambao umekuwa ukiendelea kwa muda umesababisha Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma kuamua peleka Mahakamani mashitaka dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Shitaka hilo lililofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Kigoma, Kanisa limewashtaki Bodi ya Wadhamini wa CCM, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Uvinza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuchukua eneo lao wanalodai kulimiliki tangu Mwaka 1920.

Wamewasilisha shitaka hilo chini ya hati ya dharura na yamepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Lameck Mlacha.
View attachment 2501094
Askofu Joseph Mlola wa Jimbo Katoliki la Kigoma

Waombaji katika shauri hilo wanadai mjibu maombi namba mbili Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na Halmashauri ya Uvinza wamepanga kuchukua eneo lao kuwapa CCM bila ridhaa yao kwa ajili ya kujenga madarasa ya Shule ya Sekondari ya Chumvi.

Kupitia kwa Method R.G Kabuguzi ambaye ni Wakili wa Kujitegemea, Kanisa linaomba Mahakama izuie kwa muda uendelezwaji wa eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 39.6 hadi shauri la msingi litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.

Kanisa limewasilisha hati 3 za viapo zilizosainiwa na Christopher Mibanda, Emmanuel Kimpanti na Padri Esperius Hamenyande. Mahakama imepanga shauri hilo litajwe Februari 15, 2023

Padri Hamenyande ni Mweka hazina wa Jimbo Katoliki la Kigoma na Christopher Mibanda ni Katekista mstaafu huku Emmanuel Mibanda akiwa ni Mzee maarufu Uvinza.
Kwanini rais akiwa mwislamu hizi chokochoko dhidi ya wakristu hujitokeza mara kwa mara
 
Chama tawala kimekuwa na huu tabia ya kunyang'anya maeneo ya taasisi zingine na kudai ni yao kwa kurudisha umiliki miaka ya nyuma. Hili pia lilijitokeza Geita Shule ya msingi Kalangalala ilipata ufadhilii wa GGM wa kuboreshewa uwanja mwa kuchezea watoto. Walipoona tu mashine zimeanza kufanya kazi wakaanza kudai uwanja ni wao. Ikabidi mfadhili ajitoe hadi watakapoelewana. Niseme tu hivi tabia CCM wanayo na hawamuogopi hata Mungu.
Shetani hamwogopagi Mungu
 
Je kama walipata hati mpya miaka ya hivi karibuni? Kusema kuwa wamemiliki tangu 1920 ni kuonyesha kuwa wana historia na umiliki wa eneo hilo.Hawajaenda Mahakamani hivi hivi tu.
Kwa hiyo unafikiri serikali imelichukua hilo eneo hivihivi tu?
 
Mgogoro wa ardhi ambao umekuwa ukiendelea kwa muda umesababisha Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma kuamua peleka Mahakamani mashitaka dhidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Shitaka hilo lililofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Kigoma, Kanisa limewashtaki Bodi ya Wadhamini wa CCM, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Uvinza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuchukua eneo lao wanalodai kulimiliki tangu Mwaka 1920.

Wamewasilisha shitaka hilo chini ya hati ya dharura na yamepangwa kusikilizwa mbele ya Jaji Lameck Mlacha.
View attachment 2501094
Askofu Joseph Mlola wa Jimbo Katoliki la Kigoma

Waombaji katika shauri hilo wanadai mjibu maombi namba mbili Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na Halmashauri ya Uvinza wamepanga kuchukua eneo lao kuwapa CCM bila ridhaa yao kwa ajili ya kujenga madarasa ya Shule ya Sekondari ya Chumvi.

Kupitia kwa Method R.G Kabuguzi ambaye ni Wakili wa Kujitegemea, Kanisa linaomba Mahakama izuie kwa muda uendelezwaji wa eneo hilo lenye ukubwa wa ekari 39.6 hadi shauri la msingi litakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.

Kanisa limewasilisha hati 3 za viapo zilizosainiwa na Christopher Mibanda, Emmanuel Kimpanti na Padri Esperius Hamenyande. Mahakama imepanga shauri hilo litajwe Februari 15, 2023

Padri Hamenyande ni Mweka hazina wa Jimbo Katoliki la Kigoma na Christopher Mibanda ni Katekista mstaafu huku Emmanuel Mibanda akiwa ni Mzee maarufu Uvinza.
Hii case nina wasi wasi haihusishi tu chama. Inawezekana kuna kitu zaidi. Kanisa katoliki watu wazito
ccm wanajiona serikali

Mimi nasubiri kuona mshindi
 
Back
Top Bottom