Mabula Msirikale JF-Expert Member Joined Nov 29, 2022 Posts 657 Reaction score 1,540 Jan 31, 2023 #41 Kanisa lilifanya kosa kubwa kuwakaribisha CCM wafanye Shughuli zao kwa muda.
T14 Armata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2017 Posts 12,362 Reaction score 41,886 Jan 31, 2023 #42 Kobello said: Mshasema tangu 1920. More than 99 years lease. Hiyo ardhi washamaliza lease. Back to the Government. Click to expand... Huwezi waingiza mkenge kanisa katoliki kirahisi hivyo. Usidhani hawajui sheria na hawazifuati
Kobello said: Mshasema tangu 1920. More than 99 years lease. Hiyo ardhi washamaliza lease. Back to the Government. Click to expand... Huwezi waingiza mkenge kanisa katoliki kirahisi hivyo. Usidhani hawajui sheria na hawazifuati
Kobello JF-Expert Member Joined Feb 20, 2011 Posts 8,967 Reaction score 8,547 Jan 31, 2023 #43 T14 Armata said: Huwezi waingiza mkenge kanisa katoliki kirahisi hivyo. Usidhani hawajui sheria na hawazifuati Click to expand... Mbona wameshakalishwa kesi nyingi tu.
T14 Armata said: Huwezi waingiza mkenge kanisa katoliki kirahisi hivyo. Usidhani hawajui sheria na hawazifuati Click to expand... Mbona wameshakalishwa kesi nyingi tu.
M Mnachihangu JF-Expert Member Joined Oct 22, 2022 Posts 890 Reaction score 1,022 Jan 31, 2023 #44 Kobello said: Mbona wameshakalishwa kesi nyingi tu. Click to expand... Kama ipi na ipi?
T14 Armata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2017 Posts 12,362 Reaction score 41,886 Jan 31, 2023 #45 Kobello said: Mbona wameshakalishwa kesi nyingi tu. Click to expand... Sijawahi ona Tanzania imeshinda kesi yoyote kimataifa ikishtakiwa. Kanisa linashinda kesi nyingi kuliko serikali
Kobello said: Mbona wameshakalishwa kesi nyingi tu. Click to expand... Sijawahi ona Tanzania imeshinda kesi yoyote kimataifa ikishtakiwa. Kanisa linashinda kesi nyingi kuliko serikali
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 20,419 Reaction score 39,217 Jan 31, 2023 #46 BIG THINKER said: Hii kesi nitapenda niifatilie mpaka mwisho Make inafrahisha R.C ni wababe CCM ni wababe pia Acha tuone huu mtifuano Click to expand... Ccm wajinga na vilaza wengi,wanaotegemea mbeleko za mahakama dhaifu. Kanisa lina watu smart na wasomi na ni empire.
BIG THINKER said: Hii kesi nitapenda niifatilie mpaka mwisho Make inafrahisha R.C ni wababe CCM ni wababe pia Acha tuone huu mtifuano Click to expand... Ccm wajinga na vilaza wengi,wanaotegemea mbeleko za mahakama dhaifu. Kanisa lina watu smart na wasomi na ni empire.