Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kumbukumbu : Huu Uzi ulikuwa upotee ila Mimi niliusave na kuufufua siku ya Yanga alipompiga Club African goli pekee la Azizi Ki likaioeleka Yanga hatua inayofuata , hapo spana zikaanza rasmi mfululizo bila kuchoka mpaka Leo.
Kumbukumbu : Huu Uzi ulikuwa upotee ila Mimi niliusave na kuufufua siku ya Yanga alipompiga Club African goli pekee la Azizi Ki likaioeleka Yanga hatua inayofuata , hapo spana zikaanza rasmi mfululizo bila kuchoka mpaka Leo.
TusaMehe tajiri
Sasa tuko pamojaπŸ™πŸ»
 
Kumbukumbu : Huu Uzi ulikuwa upotee ila Mimi niliusave na kuufufua siku ya Yanga alipompiga Club African goli pekee la Azizi Ki likaioeleka Yanga hatua inayofuata , hapo spana zikaanza rasmi mfululizo bila kuchoka mpaka Leo.
Hongera sana utani uendelee, ndiyo maana ligi ya bongo ni miongoni mwa ligi bora kwasababu ya ushabiki wa kweli
 
Hi hater!
 
Hivi haiwezekani kufuta uzi JF?[emoji1787][emoji1787] jamaa anadhalilika kinoma
Ndo kukomaa huko. Akipita hapa anakuwa kajifunza kitu kikubwa mno na atakuwa tofauti na ambaye hajawahi kusemwa. Tena ingekuwa si fake Id ingemkomaza zaidi. Binafsi ningekuwa ni yeye ningekuwa naingia kujibu watu humu. Nisingekimbia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…