Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kutokukiri mapema kuwa Aziz K kaprove wrong kuwa ununuzi wake ni hasara ni sababu huu uzi kumwandama ndugu OKW. mapema tu ile unakiri kukosea, hakuna mwanamichezo asiyekosea uchambuzi.
 
Dah
Hii imezidi
Kila mtu anamtukana jamaa sio poa
 
Wakiufunga moto utakaowawakia hawataamini. Wauache tu maana mwasibu mwenyewe ni ngangari kweli kweli!

On a serious note: Sidhani kama anachukulia serious japo pale mwanzoni alikuwa mkali kweli kweli. Natumaini huwa anaishia kucheka tu!
Mkurugenzi,Hii ni fedheha Kwa muanzisha Uzi.
 
Wachezaji wa Yanga wana Jihad siku zote na mashabiki wao wana Hasira.

Waliposema nyumba Mwiko walikuwa wanamaanisha.

Ngoja sasa waje wakutimulie vumbi. Maana wao wako bize na Dejan wanasahau wana watu kibao pale hata goli moja hawana.
Hivi huyu jamaa alieandika hivi yupo?
 
Asubuhi asubuhi badala ya kumpiga mashine mkeo unakuja kuhangaika na uzi. Hovyoooooo
Agost 31πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hua nacheka kinoma nkisoma hi comments

Mkuu hi ndio last seen yako humu
Ulikuja kutupangia muda wa kupiga mashineπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Cc @kelpin
 
Uzi tutaufunga siku ya sherehe za Aziz Ki kukabidhiwa kiatu chake cha dhahabu cha mfungaji Bora wa msimu huu wa 2024.

Sasa Simba lile zee Lao la kulazimisha ufungaji Bora mechi moja anafuga magoli matano ya mchongo kapotelea wapi?
Kaka kiatu anabeba feisal
 
Agost 31πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hua nacheka kinoma nkisoma hi comments

Mkuu hi ndio last seen yako humu
Ulikuja kutupangia muda wa kupiga mashineπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Cc @kelpin
Oya sio pow
Me nliscreenshoot hiyo comments kabisaπŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…