Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Mhasibu anahesabu hela za ki
 
Mwasibu aje ajitokeze hata kwa kutoa dislikes humu
 
Vipo

Bro umekurupuka we mhasibu WA mchongo 😀😀vipi Azizi Ki anaendeleaje?
 
Watu wakorofi sana mwenye Uzi hautaki uzi wake tena niliposoma huu uzi kwa mara kwanza nilishangaa sana sijui mzala aliwaza nini aisee..uzuri mpira sio siasa unaonekana kiwanjani hesabu zake lazima zigome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…