Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosea, siyo Mhasibu ni Mwasibu.Mhasibu omba radhi
Na Avatar yake imegonga suti Kali kabisa kupendana na jina lake.Mhasibu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaomuita "Mhasibu" wanatujosea sana wakati tumekubaliana ndugu yetu ni Mwasibu , Mwachibu , Hasibu la CAF , Muha sibu nkUmekosea, siyo Mhasibu ni Mwasibu.
Mhasibu anahesabu hela za kiJamaa kiburi Mimi nilimsihi Hilo tokea siku za akabisha nikaufufua huu uzi na kuuActivate siku ambayo tuliyowafunga Club African na kuingia makundi shirikisho.
Nikamsihi tena baada ya kumpiga spana , jamaa akawa mbishi akawa anakuja kudhihaki humu eti sisi majobless hatuna mishe za maana Wala wake ,asubuhi baada ya kutulia na wake zetu tunakuja kujazana humu.
Ikiwa tukimtag Mwasibu wetu OKW BOBAN SUNZU aombe radhi anakuja kibabe kutoa dislikes humu.
Mpaka aelewe yaani huyuHahahaaa. Tumekataa hatujaipokea hii radhi. 😅😅
🤣🤣 hii itakuwa zaidi ya kumuamulia. 🤣🤣Mpaka aelewe yaani huyu
Mpaka ki anazeeka anaacha mpira huu uzi tutakua nao
Team yeyote atakayoenda tutakua tunamletea updates
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Accounti
Bro umekurupuka we mhasibu WA mchongo 😀😀vipi Azizi Ki anaendeleaje?Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account