Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Maradona mwamba kuliko mchezaji yoyote hata mesi au pele hawana ubavu alikosa penati .
Roberto baggio alikosa ,wajerumani walikosa , zidane alishakosa , bado kukosa kwa aziz ki hakupunguzi ubora wake, jana alifunga goli la ushindi bahasha na ukubwa wa motsepe vikageuza matokeo!
Mkuu kuwa na heshima kwa messi na Pele.
Kimafanikio na takwimu Maradona ni mdogo sana kwa Messi na Pele.
Mkuu kuwa na heshima bhanaaaa!
 
Kilichompata Mayele ndo kinaendelea kwa mleta mada.
 
Aisee hii thread inamtesa mno OKW BOBAN SUNZU , kungekua na option ya ku delete threads angeshaifuta hii kitambo. Its a pain in the ass that will haunt him as long as this thread lives.
Mashabiki wa Yanga mitandaoni wakiamua kukuandama wanakuandama. Hata Mayele yalimkuta aliposema katupiwa majini. Labda itapungua Aziz K akiondoka Yanga.
 
Back
Top Bottom