Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
wi a sapoz tu helpu awaself πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha ushamba ww kingereza sio ishu kwa watu wenye akili zao ila kwa sa babu una utumwa wa kifikra ndio maana unaongea upupu huo bila kufikiri na kufanya utafiti.nch za wenzetu wanapenda lugha za mataifa yao kushinda hyo lugha ya kishoga.

Sasa wewe ndio unaharibu, kama sio issue mbona mtukufu anataka kuongea?, si angeongea Kiswahili tu.
 
Kiingereza n lugha kama kinyamwezi...ko sio sihu sana...
Apa kaz tu
 

Kwako lazima utaona "ameflow" safi kabisa, maana umefundishwa "englishi" sio English kama wengine.
 
Sasa wewe ndio unaharibu, kama sio issue mbona mtukufu anataka kuongea?, si angeongea Kiswahili tu.
MKUU SI MZEE WA COMEDIAN LAZIMA ACHOMBEZE KIDOGO NA ILE SAUTI LAZIMA WATU WACHEKE KIDOGO
 
mzazi umenena, asante huyu poyoyo kakuelewa
 
😁😁😁😁 bac mumsamehe buleee na ndo kashakuwa kiongpzi wenu ss mtake msitake
 
😁😁😁😁 bac mumsamehe buleee na ndo kashakuwa kiongpzi wenu ss mtake msitake
Hapo sawa!! Lakini tusianze ku justify upuuzi!! Shida ipo tukubali sio ohoo mala english haileti maendeleo!!!
 
you may think ni igizo la praimari kumbe ni kitu real kinatokea!
Jamani nimemsikilza leo akiongea kiingereza , yaani mpaka mimi mwenyewe nimeona aibu, kasema you marry her we marry there anamaana intermarriages yaani nimecheka kama namuona bambo aki act
 
Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
ONLY WORK CAN SAVE US. TANZANIANS THEY WERE NOT WORKING EVER SINCE.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…