Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tako la nyani.Makosi ni nini ?
Watu hawaelewi kiswahili kule, mkalimani unnecessary cost for something magu can do himself regardless his faults every sane individual will understand him. Something nyumbus like you, can not comprehend.Kwanini asiongee Kiswahili?
Huna lolote, wewe ni nyumbu tu.Mimi nimemzidi mengi tu..
La kwanza na la muhimu Mimi sio kichaa kama yeye.
Nyumbu ni hicho Kiingereza chako cha kipumbavu! mpuuzi wewe!Watu hawaelewi kiswahili kule, mkalimani unnecessary cost for something magu can do himself regardless his faults every sane individual will understand him. Something nyumbus like you, can not comprehend.
Hiyo 'miundo mbinu imara' iko wapi?Kwanza amejitahidi mno. Kiingereza ni lugha yetu ya nne baada ya Kiswahili, kilugha cha mama na baba. Ningekuwa yeye ningeongea Kiswahili kabisa na translator afanye kazi yake. Mbona hamuwasemi wachina na wajapani? Yaani tujue lugha ya kiingereza siyo maendeleo ya nchi. Wananchi wanataka Miundombinu imara na pesa mfukoni. Blablaa za lugha siyo kipaumbele kwao.
only wekiShame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
brothers and sisters nameta kwenu dj Sinyorita........makofi tafadhariTo wek tugeza ez bradhaz endi sisitaz!!!
Huyu mtu anatuaibisha!
Ndiyo keshajidhalilisha huko Malawi. Pole sanaShame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Aibu kwa rais ni aibu kwa taifa zima yeye ni kioo chetu nje ya nchi!Serious unammock!only weki
Wamalawi wanajua watanzania ndo tuko hivo kama unadhani kaabika rais mwenyewe you are wrong! wewe pia umeaibika!Ndiyo keshajidhalilisha huko Malawi. Pole sana
Naanzaje mm kuaibika? Aibu ni yake mwenyewe labda na wwWamalawi wanajua watanzania ndo tuko hivo kama unadhani kaabika rais mwenyewe you are wrong! wewe pia umeaibika!
Ok.Sawa!Naanzaje mm kuaibika? Aibu ni yake mwenyewe labda na ww
Hapana, lafidhi ya Nelson Mandela ilikuwa ni ya ki-Xhosa, lakini hakuwahi kuchemka kwenye grammar. Kila mtumiaji wa kiingereza anajua ukisema EVERYONE basi utafuatishia na HAS au HAD, siyo HAVE.Sio lafidhi yake ndio inamponza?
Henry Kissinger alishtuka sana alipotembelea China kwa mara ya kwanza kwamba muda wote aliopokelewa na kufanya kazi na Chuo-en-Lai (huyu alikuwa waziri mkuu wakati huo) waliongea kupitia mkalimani. Ajabu siku anaondoka wakiwa uwanja wa ndege ulipowadia wakati wa kuagana alishangaa Chuo-en-Lai akimuaga na kumsemesha kwa lugha fasaha ya kiingereza. Nadhani kwa vile Tanzania ndiyo nchi mama ya kiswahili, ni mantiki kwamba viongozi wetu wawatumie wakalimani huku wao wakibakia kwenye kiswahili. Jambo hili halihitaji kubana matumizi. Ni sura ya nchiWatu hawaelewi kiswahili kule, mkalimani unnecessary cost for something magu can do himself regardless his faults every sane individual will understand him. Something nyumbus like you, can not comprehend.
Lugha siyo kigezo cha uadilifu au intelligence. Pole sana kwa kuwa na akili fupi.Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?