Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,527
Aisee naomba iwe hivyo maana nchi hii kuna wengine waajiliwa na serikali ama wananchi ila wanaishi kama wapo peponi ili hali wengine hata mlo mmoja kwao ni kitendawili. Ameongea kwa huzuni sana Leo Mzee Warioba tofauti hizi.
Unabiwa enzi za mwali ratio ya mishahara ya watumishi wa uma ilikuwa 1:8 ila Leo ni karibia 1:50, huu ni unyanyapaa pia.
Unabiwa enzi za mwali ratio ya mishahara ya watumishi wa uma ilikuwa 1:8 ila Leo ni karibia 1:50, huu ni unyanyapaa pia.