Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ukweli kwenye post yako, serikali ya ccm sijawai kuiamini hasa kupitia huyu msanii JK.!nakwambia sasa ,,, hayo tumeyaweka ,, ila itakuwa kwa maneno na si kwa vitendo ,, kamwe,, tumefanya hivyo kupunguza jaziba za wananchi, wafanyakazi n.k, ila mwisho mpunga uko palepale wabishi endeleeni kubisha .full stop
Kingwangala ela yote ameimalizia kuzunguka kutafuta wadhamini wa Urais,,Jimbo lake la Nzega Bashe atalichukua kiulaini teh teh teh
Linawezekana kweli hilo?
yaani wewe kibuyu kweli....Lema alishaondoka bungeni siku nyingi...waliogoma leo ni wabunge wa CCM
mmmm inaweza kuwa kwelu asubuhi nilimsikia kigwa akimwambia zungu kwamba kuna minogono ndani ya bunge
Elimu yangu, hata ukiunga unga vielimu vyote vya ukoo wako hata robo hamfikii. Kwahilo ondoa shaka,jadili mada iliyopo mbele yako.Ungekuwa karibu wewe ningekula tigo! Kama hujui au huna hakika jifunze kuuliza! Natilia shaka hata elimu yako!!
Kama mwishi wa mambo utakua hivi jumlisha na unyunyu wa segerea kwa Yona na Mramba nitanenepa kwa furaha.
Itakuwa move ya kupangwa? ili ku deflect hasira za wana nchi dhidi ya ccm, baada ya "ccm" kupitia spika kuwafukuza ukawa. Ccm haijawahi kuwa na nia njema kwa taifa kwani hata hizo 130 m, bado ni nyingi kulipwa kwa kipindi cha miaka mi 5 tu. Wanatakiwa wajiunge kwenye mifuko ya hifadhi za jamii ili twende sawa???Kilichokuwa kiinua Mgongo cha wabunge kimeota mbawa rasmi baada ya kutokea mtafaruku wa wabunge wa UKAWA kususia Bunge.
Jambo ambalo limefanya kiinua mgongo kufutwa kwa wabunge wa UKAWA, na hii imetokana na kuongezeka kwa Hasira za kumsusia Rais Bunge hapo kesho wakati Spika ametengua tayari adhabu.
Source: Wabunge wa CCM
Muulize mbunge wako
==========
Yaani pamoja na wabunge wa Sisiemu kufanya kazi ya 'kutukuka' kwa kupitisha kwa asilimia 100 muswada ulioletwa kwa hati ya dharura wa gesi na mafuta, bado serikali imeamua kuwapiga 'teke' katika kutekeleza kwa vitendo kile kitu kinachoitwa shukurani ya punda ni mateke katika yale mafao yao, ambapo kila Mheshimiwa Mbunge alitarajia 'kulamba' shilingi milioni 230?
Ndipo hapo wabunge wa CCM wajifunze na koona faida ya kuusaliti Umma wa watanzania na kuwakumbatia wawekezaji wa nchi za nje pamoja na 'wapambe' wao hapa nchini, ambao ni watawala.
Elimu yangu, hata ukiunga unga vielimu vyote vya ukoo wako hata robo hamfikii. Kwahilo ondoa shaka,jadili mada iliyopo mbele yako.
Sijaelewa. Ina maana kiinua mhongo kwa Ukawa au kwa wote? Kama ni kwa wote sawa. Kama.ni sehemu tu.ni kwamba wanaleta vita.
Malipo ya Wabunge yanapendekezwa na CAG?