Duh! Padri Mcharo AKA Chief Engineer yuko na Cv ya namna hii... Maana akili yake alikua anaijua mwenyewe.Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona umemuachia Swalehe simu aje atuvuruge huku jf ,Upstairs na kichwani ni nini
Mzee Mwinyi alisema wamsamehe, wakamuachia.
Ni mtu wa hovyohovyo anadharau hadi waleviHajui, Ana kiburi sana, anadharau IST, anadharau viongozi wenzake, anadharau viongozi wa dini, anadharau kila mtu isipokuwa yule jamaa wa Mabuludoza utadhani ndiye aliyemuumba
Wakati wa awamu ya 3 ya JKAlimpiga wakati Mwinyi bado Rais au juzi juzi hapa?
Soma hapa uelewe zaidiHuyu Mwinyi nae alipenda kupigwa, uzee wote huo bado anahimiza kondom za mini sasa?
Sawa mkuuNi 2009
Ndio nani huyo mkuuDuh! Padri Mcharo AKA Chief Engineer yuko na Cv ya namna hii... Maana akili yake alikua anaijua mwenyewe.
Ndio hivyo mkuuHuu uzi umenifanya nijue watu wengi ni wajuzi juzi huku JF. Yaani hili tukio kumbe kuna watu hawakulijua. Ila halikuwa kofi wala kibao ni jamaa alimdokoa kidogo tu mzee mwinyi, kama vile tumbili [emoji626]
RIP Bro
Mwinyi alimsamehe kama kumbukumbu zangu zipo sahihiHivi alifugwaga aliachiwa
Mkuu hiyo sio sababuMwinyi alimsamehe kama kumbukumbu zangu zipo sahihi
Okay,nashukuru kwa masahihishoMkuu hiyo sio sababu
Sababu kuu ni kugundulika hakuwa na akili rimamu huko jela walimpeleka Mirembe
We mgomvi, mbona jamaa kaeleweka!?sijaona jibu, upupu tu uliochorachora
Kupiga kofi ni kule kupiga kiganja kimoja cha mkono na kingine kama katika kushangilia au kumtanabahisha mtu, hicho ndiyo kiswahili fasaha na si kupiga makofi, na kupiga kibao ni kumpiga mtu kwa kutumia kiganja cha mkono (kwenye tumbo la kiganja) shavuni, na ukimpiga mtu shavuni kwa kutumia nyuma ya kiganja hicho kinaitwa kibao cha kelb.[emoji2960][emoji2960]
Uchonganishi kama huu unakusaidia nini mkuu? Waliosoma naye wanasema dishi lilikuwa linahama wakati mwingine, kuna member hapa kasema alisoma naye IFM alikuwa akiingia class anazima AC mara anzima taa kisha huyooo anatokomea mtaani.....Kule alikopelekwa baada ya kupiga sirikale...ndio slimoanzia huo ugonjwa!
Mengine tujifunze kumezea tu!
maana ndio vile...kaisari naye yupo...
Mkuu, naomba nikupongeze kwa kumiliki mkoko Darisalama....Mara ya mwisho nilimuona miezi miwili iliyopita, nilipaki gari pale IFM posta, akaja akaanza kukunja side mirror kwa nguvu. Nilikosa cha kumfanya kwa muda huo, maana alikuwa amerukwa na akili. Niliwauliza wenyeji huyu chizi katoka wapi, ndiyo wakanipa historia yake.
Daaah, kumbe mshikaji ameshafariki!!!
R.I.P